Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwani ni yupi yule mamvi aliye wahi kuwa waziri?
Kakamatwa Anagawa Pesa Hadharani Sasa Unafikiri Atapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakamatwa Anagawa Pesa Hadharani Sasa Unafikiri Atapona
Jinyonge
Hivi mbunge wake aliye maliza term hii ni nani?Nimefika buhigwe.. wilaya maskini sana..
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania Ubunge jimbo la Buhigwe.
Huyo Anaitwa Albert Ntabaliba (Obama) Ndiyo Alikuwa Na Jimbo Mpaka Bunge LinakwishaKwani ni yupi yule mamvi aliye wahi kuwa waziri?
Wengine wakiutaka ni tamaa! Btw, ameomba ruhusa kwa mkulu? Nafasi yake itajazwa na mwingine?Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania Ubunge jimbo la Buhigwe.
Huyo Anaitwa Albert Ntabaliba (Obama) Ndiyo Alikuwa Na Jimbo Mpaka Bunge Linakwisha
Week 2 Zimepita Kakamatwa Anagawa Cash Kama 250000/=
Mfukoni Akiwa Na Millions 2
...mpaka huyu mmoja hapa mahakama ya rufaa anabebwa tu lkini huridhiki
Yap Buhigwe pamechoka Majirani wa Burundi hao.Nimefika buhigwe.. wilaya maskini sana..
Hapajachoka Ni Wilaya MpyaYap Buhigwe pamechoka Majirani wa Burundi hao.
Hapana, ni mtumishi wa kada flani kwa malengo flani tu, Main Registry hapa Dar.Mahakama ya rufaa ni jaji?
Kasulu ni moja ya wilaya inayokua kwa kasi mji umependeza ule nilikua juzi pale.Hapajachoka Ni Wilaya Mpya
Mambo Haya Yalipigiwa Kelele Kugawa Wilaya
Wakati Kasulu Yenyewe Bado Inachechemea
WAPI?Tunakwenda na Charles kimei 2020
napendeza ukilinganisha na mji gani?Kasulu ni moja ya wilaya inayokua kwa kasi mji umependeza ule nilikua juzi pale.
CRDBWAPI?
Sasa Hivi Ndiyo Unakuwa Ilikuwa Hadi BuhingweKasulu ni moja ya wilaya inayokua kwa kasi mji umependeza ule nilikua juzi pale.
Acha Utata 😀😁😂😄😃😃🤣u
napendeza ukilinganisha na mji gani?
Isije ikawa unalinganisha na igurusi huko?