tapemeasure
Senior Member
- Jan 15, 2020
- 160
- 106
kigoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yemwa!!!kigoma
sasa vijana wa pale wakiwa na haja huwa wanatimiza wapi kiu yao? ama ndio wanapelekana mashambani?Kumbe Dingo anatokea Buhigwe? Aibu sana sana, Buhigwe nzima kuna Lodge moja tu? Na Guest Bubu za buku tatu buku tatu wakati pale ni mpakani kabisa
Sehemu Moja Inaitwa Kasumo Huko Huko!!!Kumbe Dingo anatokea Buhigwe? Aibu sana sana, Buhigwe nzima kuna Lodge moja tu? Na Guest Bubu za buku tatu buku tatu wakati pale ni mpakani kabisa
hahahaaaaaamazee yanapenda vyeo haya
hawaridhiki na walivyo navyo, kajenga Tabata nyumba kubwa na ana biashara ya malori makubwa ya kwenda Congo, sasa hivi kahamia CHANIKA -huko kajenga kama ikulu ya CHAMWINO, watoto wake wote kawachomekea serikalini sehemu nzuri, ana mafao karibu aina nne lakini haridhiki kuachia vijana ambao hata ajira ya kwanza hawajanusa,mazee yanapenda vyeo haya
Iko Burundi.Buhigwe iko mkoa gani?
Kuna mapori ya kutosha sana na mashamba ya migomba kwa upande ule wa secondary, kikubwa unakua na kisu cha kukatia majani yaa mgomba na kuyatandika vyema chini, changamoto ya majani ya mgomba ni Konokono tu....sasa vijana wa pale wakiwa na haja huwa wanatimiza wapi kiu yao? ama ndio wanapelekana mashambani?
Kumbe Dingo anatokea Buhigwe? Aibu sana sana, Buhigwe nzima kuna Lodge moja tu? Na Guest Bubu za buku tatu buku tatu wakati pale ni mpakani kabisa
Ooghh kumbe, shukrani kwa taarifa MpwaPango anagobea jimbo tu lakini anazaliwa huko karibu na kijiji cha mwanga, ni ndugy yake na askofu mstaafu Gerald Mpango na padre mmoja anaitwa Nzabayanga.
Ongezea ni wilaya masikini ya kutupwaNimefika buhigwe.. wilaya maskini sana..
Nimefika buhigwe.. wilaya maskini sana..
Puli la kutumia mawese linawahusu.sasa vijana wa pale wakiwa na haja huwa wanatimiza wapi kiu yao? ama ndio wanapelekana mashambani?
MTanzania gani wewe hujui wilaya zilizopo nchini kwako? Nyie ndio vilaza wa sisiemuBuhigwe iko mkoa gani?
MTanzania gani wewe hujui wilaya zilizopo nchini kwako? Nyie ndio vilaza wa sisiemu
Wafukua makaburiPango anagobea jimbo tu lakini anazaliwa huko karibu na kijiji cha mwanga, ni ndugy yake na askofu mstaafu Gerald Mpango na padre mmoja anaitwa Nzabayanga.
Naamini watu wa Buhigwe watafaidi matunda ya Tanzania kuingia ktk uchumi wa kati. Dkt. Mpango ni mtu mwenye hofu ya Mungu, licha ya "small little lies" zake anazolazimika kutuambia Watanzania ili amfurahishe bosi wake. Wana Buhigwe msiiechezee nafasi hii kwenu.Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania Ubunge jimbo la Buhigwe.