The Planner
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 357
- 118
Kama alihusika kubuni Mradi wa EFD machine za TRA, itakuwa Mungu imesikia kilio cha wafanyabiashara tusio na mitaji mkubwa tuaolazimshwa kununa EFD.
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii
Natoa pole za dhati kwa familia ya Dr. Msigwa, Mungu awajalie faraja wakati huu mgumu wa pigo kubwa kwa familia yao. Natoa pia pole kwa ndugu jamaa, marafiki na wale wote ambao wameumizwa na msiba huu Mungu kwenye faraja awaponye na kuwasimamia wakati huu wa majonzi. Raha ya Milele Umpe Ee Bwana...
Ni Msigwa au Mgimwa au wana unduguNatoa pole za dhati kwa familia ya Dr. Msigwa, Mungu awajalie faraja wakati huu mgumu wa pigo kubwa kwa familia yao. Natoa pia pole kwa ndugu jamaa, marafiki na wale wote ambao wameumizwa na msiba huu Mungu kwenye faraja awaponye na kuwasimamia wakati huu wa majonzi. Raha ya Milele Umpe Ee Bwana...
Kesho Lukuvi
Haisaidii kwani hata kama amefariki, mashine zile zitaendelea kusisitizwa kutumika kwani ndo mfumo wa kisasa wa mataifa mengi katika kukusanya kodi! Poleni wafiwa. Jipeni moyo!
Ni mpango wa Mungu kutuondolea Mafisadi!aliwasilisha bajeti kwa mbwembwe huku akijua ni maumivu kwa wananchi.
Ee Mungu endelea kutuondolea majanga,mafisadi,mafedhuli na madhulumati ya ccm.
"weka unafiki pembeni toa yaliyo moyoni''
Natoa pole za dhati kwa familia ya Dr. Msigwa, Mungu awajalie faraja wakati huu mgumu wa pigo kubwa kwa familia yao. Natoa pia pole kwa ndugu jamaa, marafiki na wale wote ambao wameumizwa na msiba huu Mungu kwenye faraja awaponye na kuwasimamia wakati huu wa majonzi. Raha ya Milele Umpe Ee Bwana...
Nyeee himagava ngayalukani, umkwamisi Wilyamu afwe deni de?
Vahungilage na va Mng'anzagala, va Maseto, va Chimbilongo, va Lihangawike, va Julyasi, va Pyangidako, va Sengidunda, va Kihulo na vangi mbevali.
Ndemwisukuluwo ndilimumigo ya kuyipilula inyi mumawoko ga vanyainyi.
Twisuka utwimilile tuyipilule inyi iyi pe tufisile 2015