mzee wa miba
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 759
- 125
Mzee wa mimba kumbuka kwamba sisi sote ni watanzania, kua magamba si kuwaombea wafe. Inatakiwa wawepo wayaone mabadiliko yakitokea.
A cha wafe waoze kabisa......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa mimba kumbuka kwamba sisi sote ni watanzania, kua magamba si kuwaombea wafe. Inatakiwa wawepo wayaone mabadiliko yakitokea.
Kulikuwa hakuna namna nyingine,
Kila mmoja alijaribu kwa namna aliyoweza,
Lakini haikuwezekana.
Wengine walikesha wakikuombea,
Wengine walishinda karibu na kitanda chako wakikuhudumia
Na wengine walitumia kila ujuzi waliokua nao kukuepusha na mauti,
Wala haikusaidia.
Aliyekupa pumzi alikwisha kufanya maamuzi,
Hakutaka uondoke bila kuifahamu sura ya mwaka mpya aliouandaa,
Sijui,
pengine ulikuwa mwema sana,
Ama kuna jambo alitaka kulitimiza,
Nani nayejua?
Umelitumikia taifa kwa kadri ulivyoweza,
Na mwenyezi Mungu atatenda kwako ka kadri ya matendo yako,
KWA KHERI MBUNGE WA KALENGA..
KWA KHERI WAZIRI WETU WA FEDHA..
TULIKUPENDA SANA
Wewe wasema!A cha wafe waoze kabisa......
Marehem wilium Mgimwa ni daktari (PhD), amefanya kazi kama mbunge kisha waziri wa fadha, Ni Mnyalukolo mwili wake utasafirishwa na serikali kurudi home (unyaluni???). KUMBUKUMBU: Marehemu Balali pia ni daktari (PhD), alifanya kazi umoja wa mataifa kisha wizara ya fedha kama gavana, ni mnyalukolo, mwili wake haukurudi. hii serikali ina double standard eee!!!!:drama:
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii
Totoe ushauri mzuri namna hii hata kwa vyama vyetuKama ni kweli.
So sad.Mwenyezi Mungu ampe pumziko panapomstahili.
Rai yangu tu,Hazina wasitumie msiba huu kuhujumu taifa.Naishia hapa
Rose mayemba,
naelewa sasa ni mapema mno na maombi na faraja kwa familia ni muhimu
naomba kujua hali ya kisiasa ya chadema kalenga nilifanya research yangu ndogo niliyoifanya ktk uchaguzi uliopita
mgombea wa chadema anaitwa REHEMA hakufanya vizuri kwy jimbo hili najua hali na mazingira yamebadilika ukilinganisha na 2010 naomba kujua mtazamo wako juu ya cdm kuweza kuibuka kidedea.