muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
poleni familia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii
sindano butu linapokuja kifo tunaweka siasa za chuki pembeni mi mwenyewe nilikuwa nampinga hata zaidi yako lakini kifo ni kitu kingine kumpoteza msomi mmoja ni hasara kwa taifa.rip mgimwa
Viongozi wa nchi hii wanafia nje ya nchi tu wanakokimbilia matibabu bora ,tunakushukuru Mungu ukiamua hata wakienda kutibiwa mwezini watakufa tu kama sisi masikini tunaofariki kwa kukosa vidonge vya malaria..Aende kwa amani.
MaCCM acha wafe tu mapumbafu sana na Mizengo wao..
sindano butu linapokuja kifo tunaweka siasa za chuki pembeni mi mwenyewe nilikuwa nampinga hata zaidi yako lakini kifo ni kitu kingine kumpoteza msomi mmoja ni hasara kwa taifa.rip mgimwa
Kama alihusika kubuni Mradi wa EFD machine za TRA, itakuwa Mungu imesikia kilio cha wafanyabiashara tusio na mitaji mkubwa tuaolazimshwa kununa EFD.
Kifo kimesababishwa name non? Kufa kitu cha kawaida na hakuna appeal hapo iwapo Dr. Kathibitisha.
R. I. P William