Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii
Source please!
Pole Sana wafiwa, RIP. True I enigma huyu innocent man! Who was working under the environment asiyoijua Na alikuwa anafanya kazi kwa uaminifu Na juhudi,
Usurious ni kuwa Mungu mweyezi anaangalia Moyo wako Na aonavyo yeye sio Kama sisi wanadamu tuonavyo
Duh! Rest in Peace Dr. Mgimwa. Kwa kweli hata kwa kumuangalia huyu jamaa hakuwa mzima sana kiafya. Sijui kwanini alikubali madaraka makubwa vile. Apumzike kwa amani.
Bora Chris Lukosi arudi aachane udalali wa magari UK akagombee Kalenga.
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii