TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

mbona huu uzushi tumeuona sana humu jamvini mnataka leo tuamini tupeni evidence za kutosha.
 
Dah! RIP.. mbona ghafla. ni ajali, alipanda bodaboda? mbona hatujasikia kuwa mara alienda sauzi au India? Anyway msalimie mandela mwambie kinana kwa kushirikiana na wachina wanetumalizia tembo wetu!
 
poleni sanasan na MUNGU awape moyo wa uvumilivu HaKIKA MWANADMU SKUZAKE SIINYINGI.
 
Rest in Peace Dr. Tunakuja tuko nyuma yako.
 
Tetesi zilizopo ni kwamba Mgimwa alipandwa na presha baada ya ------ kutumia fedha zote Hazina na vi note... vyake... mpaka hali ya kifedha wizarani ni mbaya... mwenye ukweli zaidi tafadhali atujulishe nini chanzo cha ugonjwa na Mauti ya Mgimwa
 
Magamba yatapukutika sana mwaka huu...hatujui saa wala siku,tujiandae sote..dhuluma sio nzuri,
 
P.I.P ndio nini bwana Kibo255

Kibo255 huenda ameandika kwa kutumia simu ya mkononi ambapo P na R ziko katika button namba 7. Kama sivyo basi P.I.P. alimaanisha Pumzika In Peace. Pole sana wafiwa wote, Taifa limempoteza mtumishi aliyejitoa kwa ajili ya nchi yake. R.I.P. Dr. Mgimwa.
 
Last edited by a moderator:
Mbona muda mrefu about a month amelazwa south africa. Was seriously heal. May his soul rest in peace
 
Kila chenye PUMZI kitalala mavumbini,,,,!
R.i.p Dr,,!
 
Pumzika kwa amani Mgimwa.
Je alikuwa na historia ya ugonjwa mbaya wa kufisha haraka hivyo?
 
Haya mliokuwa hamuamini sasa mmeamini baada ya Breaking news ya ITV

Balozi anaulizwa amefariki akiwa anasumbuliwa Na nini anasema sijui yeye si msemaji anachojua ni kuwa alilazwa
So awaulize ndugu zake.!!!
 
Inguluvi ikutange Mnyalukolo...mvaha vangu,kuna munu akatigile vakusopye va mbeva,umulomo huu nene...Alee gendelage uludodifu,ulukafu luladenyeka...Vahungilage va maseto, mng'anzagala,mahuvi,mhafiwa,va sengelingosi...mbevalii....longolage myaaa
 
Back
Top Bottom