Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mbona shosti yako anaiba na kuzipeleka Zanzibar na Ulaya?Waca waniletee mimi niwasaidie kuzitakatisha, wakenya ibeni tu huko mzilete Tanzania kuliko kuzipeleka mbali Ulaya.
Mwamposa yupo kimkakati zaidi na yule mwenzake wa pale Kimara Temboni, in short zinapitishwa makanisani kuchangia harambee badae pigwa pasuSasa je Wapigaji wa Tanzania wao wanaenda kutakatishia wapi pesa? au wao wanatakatishia humu humuhumu nchini ikiwemo kununua Vilabu vya Mpira wa miguu?
Wewe Bibi huko shule ulifundishwa ujinga?Waca waniletee mimi niwasaidie kuzitakatisha, wakenya ibeni tu huko mzilete Tanzania kuliko kuzipeleka mbali Ulaya.
Jifunze kujenga hoja huru, badala ya kuniletea ujuaji wako wa kidwanzi.Kuna wakati ni shida sana kuwaelewa nyie watanzania. Hapa ndio huwa namkumbuka FaizaFoxy kuwa huko shule mlienda kusomea ujinga? Hao wanaowaambia mtunge Sheria za money laundering wao ndio biashara yao kubwa wanayofanya. Hivi mnadhani kwenye hizo vita wanazopigana, Dola na madhahabu wanayoyakuta wanafanyia nini?
Afrika kila siku inalia na wezi wa Fedha za umma wanaenda kufungua akauti huko kwao nje, ulisikia siku moja Sheria ya money laundering wakiitumia ili kuokoa pesa zetu? Money laundering moja ya Sheria za kipuuzi kabisa kuzuia maendeleo ya Afrika.
Wewe unafikri uwekezaji wote unaofanyika TanZania, Wakenya hakuna?Wewe Bibi huko shule ulifundishwa ujinga?
Usipoteze Muda bwashee hata Osama angependa zama zile angewekeza tu Tanzania 😄Kwani hawawezi kushirikiana na hao wenzao toka Kenya, kwa njia hizo hizo?
Na kama hawajaanza kufanya hivyo, hii ni njia rahisi sana kwao kutakatisha pesa pande zote mbili.
Anza kwa kufahamu pesa hiyo inayo ingizwa nchini inaingizwa kwenye shughuli zipi, na wahusika wa shughuli hizo ni akina nani!
Tz ni hovyo sana!Waziri wa Fedha wa Kenya leo hii kasema kuna Vigogo Kenya wanapiga pesza za umma na baadae wanazileta Tanzania kuzitakatisha ba wakisha maliza kuzitakatisha wanazirudisha Kenya kwenda Kujenga Majengo.
Maana yake Tanzania ndio kituo cha Wezi wa Mali za Umma Kenya kuja kutakatishia pesa zao,na hii nu kutokana na siku hizi kuficha pesa Ulata kuwa ngumu kama ilivyo kuwa zamani.
Sasa je Wapigaji wa Tanzania wao wanaenda kutakatishia wapi pesa? au wao wanatakatishia humu humuhumu nchini ikiwemo kununua Vilabu vya Mpira wa miguu?
Hizi ni tuhuma nzito sana, na kama wa Kenya wanakuja kutakatishia pesa zao Tanzania, je wa Tanzania wanaenda takatishia wapi? Hili ni swali gumu.
Kwa vile wewe ni mkongwe unaweza nielewa. Naona kibao kinageuka, wakati ukuta. Enzi za Nyerere waliokuwa wanaiba pesa hapa Tanzania walikuwa wanahamishia Kenya.Wewe unafikri uwekezaji wote unaofanyika TanZania, Wakenya hakuna?
Mahindi yako, mananasi yako, ng'ombe zako za Tanzania unafikiri eanunuzi wakubwa ni kina nani kama si Wakenya?
Ulifikiri mpaka Bashe awaambie wakija kununuwa wajindikishe ilikuwa ni kwanini?
Walikuwa wanatakatisha boila Watanzania kufaidika, sasa tufaidike.Na bado wanatakatisha nyingo sana. Wanaleta pesa za Kenya wanarudi kwao na hiliki, machungwa, mananasi, mahindi, sasa wamevamia na kariakoo.
Unafikiri hizo pesa zote wanapitisha kisheria, zinakuja na boda boda tu.
Maduka mengi ya kriakoo ni ya wakenya, kimya kimya. kama ulikuwa huelewi.
Binladen wanahisa kwa wanaowekeza Tanzania kama kina Barrick, ile namba nyingine, siyo uwekezaji uchwara wale.Usipoteze Muda bwashee hata Osama angependa zama zile angewekeza tu Tanzania 😄
Mimi sijaona wapi ameandika wanakuja kutakatisha ( Money Laundering) bali amesema wanakuja kuwekeza ( invest) Kwani mtu akiwekeza mahali na kutengeneza faida ni kosa kurudi kujenga nyumbani?Waziri wa Fedha wa Kenya leo hii kasema kuna Vigogo Kenya wanapiga pesza za umma na baadae wanazileta Tanzania kuzitakatisha ba wakisha maliza kuzitakatisha wanazirudisha Kenya kwenda Kujenga Majengo.
Maana yake Tanzania ndio kituo cha Wezi wa Mali za Umma Kenya kuja kutakatishia pesa zao,na hii nu kutokana na siku hizi kuficha pesa Ulata kuwa ngumu kama ilivyo kuwa zamani.
Sasa je Wapigaji wa Tanzania wao wanaenda kutakatishia wapi pesa? au wao wanatakatishia humu humuhumu nchini ikiwemo kununua Vilabu vya Mpira wa miguu?
Hizi ni tuhuma nzito sana, na kama wa Kenya wanakuja kutakatishia pesa zao Tanzania, je wa Tanzania wanaenda takatishia wapi? Hili ni swali gumu.
Sasa umepanic nini?!Binladen wanahisa kwa wanaowekeza Tanzania kama kina Barrick, ile namba nyingine, siyo uwekezaji uchwara wale.
Wakati ule, kampuni yao ya ujenzi, Binladen Organization, ndiyo ilikuwa kampuni kubwa binafsi ya ujenzi, katika dunia.
Unafikiri wenzako wale?
Huyo Waziri katoa mfano wa kigogo yeyote wa Kenya aliyefanya hivyo? Naamini Serikali ya Tanzania itataka maelezo kama niliyokuuliza hapo juu toka Kenya.Maana yake huku wanakuja na pesa chafu na wanapokelewa, hakuna kuulizwa vyanzo vya pesa zao
Mambo yalianzia kwenye TALA sahv kuna apps nying sanaMikopo ya online huenda ni moja ya mbinu wanayotumia kutakatisha fedha.
We pumbavu,kwanza jifunze kuandika.Hija ya mjinga hiii
Kukomaa Typing error haikufanyi usiwe mjinga bwasheeWe pumbavu,kwanza jifunze kuandika.
Pili kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo