Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Sisi inatuhusu nini kujua wametoa wapi fedha zao. Cha msingi wanaziwekeza, ajira zinapatikana na Kodi wanalipa. Then faida wakienda kujenga kwao hamna tatizo. Zamani walikuwa wanazipeleka Uswisi kuwekeza.
Maana yake huku wanakuja na pesa chafu na wanapokelewa, hakuna kuulizwa vyanzo vya pesa