Waziri wa fedha Kenya: Kuna Wakenya wanapiga pesa za Umma wanaenda kuzitakatishia Tanzania na baadae wanarudisha Kenya

Waziri wa fedha Kenya: Kuna Wakenya wanapiga pesa za Umma wanaenda kuzitakatishia Tanzania na baadae wanarudisha Kenya

Waca waniletee mimi niwasaidie kuzitakatisha, wakenya ibeni tu huko mzilete Tanzania kuliko kuzipeleka mbali Ulaya.
 
Sasa je Wapigaji wa Tanzania wao wanaenda kutakatishia wapi pesa? au wao wanatakatishia humu humuhumu nchini ikiwemo kununua Vilabu vya Mpira wa miguu?
Mwamposa yupo kimkakati zaidi na yule mwenzake wa pale Kimara Temboni, in short zinapitishwa makanisani kuchangia harambee badae pigwa pasu
 
Kuna wakati ni shida sana kuwaelewa nyie watanzania. Hapa ndio huwa namkumbuka FaizaFoxy kuwa huko shule mlienda kusomea ujinga? Hao wanaowaambia mtunge Sheria za money laundering wao ndio biashara yao kubwa wanayofanya. Hivi mnadhani kwenye hizo vita wanazopigana, Dola na madhahabu wanayoyakuta wanafanyia nini?

Afrika kila siku inalia na wezi wa Fedha za umma wanaenda kufungua akauti huko kwao nje, ulisikia siku moja Sheria ya money laundering wakiitumia ili kuokoa pesa zetu? Money laundering moja ya Sheria za kipuuzi kabisa kuzuia maendeleo ya Afrika.
Jifunze kujenga hoja huru, badala ya kuniletea ujuaji wako wa kidwanzi.
 
Wakenya, Waganda, Congo, Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, Mumbiji, Zimbabwe. Zileteni tu, wala msiwe na shaka tena sasa hivi tunanunuwa majengo manne matano ya Kariako tunafanya moja la kisasa.
Nitafuteni, niwasaidie kuwawekea hizo pesa na kuwardishia Kenya kila mnapohitaji na nyingine tunawekeza hapa TZ tunagawana faida, mimi yangu ndogo tu.
 
Wewe Bibi huko shule ulifundishwa ujinga?
Wewe unafikri uwekezaji wote unaofanyika TanZania, Wakenya hakuna?
Mahindi yako, mananasi yako, ng'ombe zako za Tanzania unafikiri eanunuzi wakubwa ni kina nani kama si Wakenya?

Ulifikiri mpaka Bashe awaambie wakija kununuwa wajindikishe ilikuwa ni kwanini?

Walikuwa wanatakatisha boila Watanzania kufaidika, sasa tufaidike.Na bado wanatakatisha nyingo sana. Wanaleta pesa za Kenya wanarudi kwao na hiliki, machungwa, mananasi, mahindi, sasa wamevamia na kariakoo.

Unafikiri hizo pesa zote wanapitisha kisheria, zinakuja na boda boda tu.

Maduka mengi ya kriakoo ni ya wakenya, kimya kimya. kama ulikuwa huelewi.
 
Kwani hawawezi kushirikiana na hao wenzao toka Kenya, kwa njia hizo hizo?
Na kama hawajaanza kufanya hivyo, hii ni njia rahisi sana kwao kutakatisha pesa pande zote mbili.

Anza kwa kufahamu pesa hiyo inayo ingizwa nchini inaingizwa kwenye shughuli zipi, na wahusika wa shughuli hizo ni akina nani!
Usipoteze Muda bwashee hata Osama angependa zama zile angewekeza tu Tanzania 😄
 
Awamu ya sita Nchi imeharibika sana.pesa haramu zinakuja kutakatishwa mabilioni na mabilioni.
 
Waziri wa Fedha wa Kenya leo hii kasema kuna Vigogo Kenya wanapiga pesza za umma na baadae wanazileta Tanzania kuzitakatisha ba wakisha maliza kuzitakatisha wanazirudisha Kenya kwenda Kujenga Majengo.
screenshot_20241118_171844_com-facebook-katana-jpg.3155590


Maana yake Tanzania ndio kituo cha Wezi wa Mali za Umma Kenya kuja kutakatishia pesa zao,na hii nu kutokana na siku hizi kuficha pesa Ulata kuwa ngumu kama ilivyo kuwa zamani.

Sasa je Wapigaji wa Tanzania wao wanaenda kutakatishia wapi pesa? au wao wanatakatishia humu humuhumu nchini ikiwemo kununua Vilabu vya Mpira wa miguu?

Hizi ni tuhuma nzito sana, na kama wa Kenya wanakuja kutakatishia pesa zao Tanzania, je wa Tanzania wanaenda takatishia wapi? Hili ni swali gumu.
Tz ni hovyo sana!
 
Huyu Waziri ni Kibwengo tu anapaswa kusema Kenya na Tanzania ni majirani pacha Kila kinachofanyika huku na kule hivyo hivyo, finance Ina reciprocal friendships globally
 
Wewe unafikri uwekezaji wote unaofanyika TanZania, Wakenya hakuna?
Mahindi yako, mananasi yako, ng'ombe zako za Tanzania unafikiri eanunuzi wakubwa ni kina nani kama si Wakenya?

Ulifikiri mpaka Bashe awaambie wakija kununuwa wajindikishe ilikuwa ni kwanini?

Walikuwa wanatakatisha boila Watanzania kufaidika, sasa tufaidike.Na bado wanatakatisha nyingo sana. Wanaleta pesa za Kenya wanarudi kwao na hiliki, machungwa, mananasi, mahindi, sasa wamevamia na kariakoo.

Unafikiri hizo pesa zote wanapitisha kisheria, zinakuja na boda boda tu.

Maduka mengi ya kriakoo ni ya wakenya, kimya kimya. kama ulikuwa huelewi.
Kwa vile wewe ni mkongwe unaweza nielewa. Naona kibao kinageuka, wakati ukuta. Enzi za Nyerere waliokuwa wanaiba pesa hapa Tanzania walikuwa wanahamishia Kenya.
 
Usipoteze Muda bwashee hata Osama angependa zama zile angewekeza tu Tanzania 😄
Binladen wanahisa kwa wanaowekeza Tanzania kama kina Barrick, ile namba nyingine, siyo uwekezaji uchwara wale.

Wakati ule, kampuni yao ya ujenzi, Binladen Organization, ndiyo ilikuwa kampuni kubwa binafsi ya ujenzi, katika dunia.

Unafikiri wenzako wale?
 
Waziri wa Fedha wa Kenya leo hii kasema kuna Vigogo Kenya wanapiga pesza za umma na baadae wanazileta Tanzania kuzitakatisha ba wakisha maliza kuzitakatisha wanazirudisha Kenya kwenda Kujenga Majengo.
screenshot_20241118_171844_com-facebook-katana-jpg.3155590


Maana yake Tanzania ndio kituo cha Wezi wa Mali za Umma Kenya kuja kutakatishia pesa zao,na hii nu kutokana na siku hizi kuficha pesa Ulata kuwa ngumu kama ilivyo kuwa zamani.

Sasa je Wapigaji wa Tanzania wao wanaenda kutakatishia wapi pesa? au wao wanatakatishia humu humuhumu nchini ikiwemo kununua Vilabu vya Mpira wa miguu?

Hizi ni tuhuma nzito sana, na kama wa Kenya wanakuja kutakatishia pesa zao Tanzania, je wa Tanzania wanaenda takatishia wapi? Hili ni swali gumu.
Mimi sijaona wapi ameandika wanakuja kutakatisha ( Money Laundering) bali amesema wanakuja kuwekeza ( invest) Kwani mtu akiwekeza mahali na kutengeneza faida ni kosa kurudi kujenga nyumbani?
 
Binladen wanahisa kwa wanaowekeza Tanzania kama kina Barrick, ile namba nyingine, siyo uwekezaji uchwara wale.

Wakati ule, kampuni yao ya ujenzi, Binladen Organization, ndiyo ilikuwa kampuni kubwa binafsi ya ujenzi, katika dunia.

Unafikiri wenzako wale?
Sasa umepanic nini?!

Bin Laden ni Sawa na Mbowe tu 😂
 
fisadi lenye upara lililotumbuliwa
lenye baba mshenzi kama yeye
aliyesema eti watu wazuri hawafi
lilisema linataka likajenge kenya
kwa pesa za Tz, nilishangaa sana
 
Back
Top Bottom