Waziri wa fedha Kenya: Kuna Wakenya wanapiga pesa za Umma wanaenda kuzitakatishia Tanzania na baadae wanarudisha Kenya

Sisi inatuhusu nini kujua wametoa wapi fedha zao. Cha msingi wanaziwekeza, ajira zinapatikana na Kodi wanalipa. Then faida wakienda kujenga kwao hamna tatizo. Zamani walikuwa wanazipeleka Uswisi kuwekeza.
Maana yake huku wanakuja na pesa chafu na wanapokelewa, hakuna kuulizwa vyanzo vya pesa
 
Usipoteze Muda bwashee hata Osama angependa zama zile angewekeza tu Tanzania 😄
Sielewi maana yako au unalenga nini hapa! Nijuavyo, asingeweza hata kwa dakika moja kuwekeza hapa wakati wa Magufuli.
Sasa eleza ulicho lenga ni nini hasa!
 
Gachagua na chuki zake!, ni ngumu sana upuuzi kama huu kutokea, kwa ujirani uliopo!
Karibuni wakenya muwekeze Tanzania,
Taifa la Kenya ni la pili kwa kuwekeza Tanzania baada ya wingereza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…