Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Mhe. Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha lazima ufahamu kuwa wanaostaafu leo ni Kaka zako, Ndugu zako na dada zako pia waliostaafu siku nyingi wengine ni Baba zako wadogo na ndugu wa damu.
Nikushauri tu, achia pesa watu walipwe, miradi ina umuhimu pia wastaafu wanahitaji waishi maisha yao.
Hutakuwa na Baraka kwenye kiti hicho endapo utaendelea kutowathamini hao wastaafu na kujua ni haki yao. Kumbuka hao wengi wao ni askari Polisi.
Nikushauri tu, achia pesa watu walipwe, miradi ina umuhimu pia wastaafu wanahitaji waishi maisha yao.
Hutakuwa na Baraka kwenye kiti hicho endapo utaendelea kutowathamini hao wastaafu na kujua ni haki yao. Kumbuka hao wengi wao ni askari Polisi.