Waziri wa Fedha: Serikali inatarajia kukusanya na kutumia Tsh. Trilioni 47.424 Mwaka 2024/2025

Baada ya vipindi vya Mama kuwa vimemalizika, achukue fomu
 
Hahaha...........hatari Mkuu, ila kama unavyosema muhimu amani ya nafsi na roho
Kabisa Mkuu maana maisha ni mafupi sana ila safari yake ni ndefu kidogo !
Ukikosa Amani ya moyo kila kitu ni kazi bure kabisa katika hii Dunia !!
 
Kabisa Mkuu maana maisha ni mafupi sana ila safari yake ni ndefu kidogo !
Ukikosa Amani ya moyo kila kitu ni kazi bure kabisa katika hii Dunia !!
Sahihi Mkuu

Ndiyo maana ni muhimu kuupa moyo pumziko la nafsi kila unapopata nafasi ya kifedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…