Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Kama yana şifa kama alqaeda, Isis, alshabaab basi ni makundi ya kigaidiSinn Fein ni magaidi? ANC ni Magaidi? PLO ni Magaidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama yana şifa kama alqaeda, Isis, alshabaab basi ni makundi ya kigaidiSinn Fein ni magaidi? ANC ni Magaidi? PLO ni Magaidi!
Ndiyo maana sitaacha kutoa hiii elimu. Umeulizwa hivi, sifa za ugaidi ni zipi? Hujaulizwa makundi ya ugaidi.Magaidi yana sifa kama za hayo makundi niliyoyataja.
Kwani wewe hujui matendo ya kigaidi ya Isis, alqaeda, bokoharam, Islamic jihad, Hamas nk.Ndiyo maana sitaacha kutoa hiii elimu. Umeulizwa hivi, sifa za ugaidi ni zipi? Hujaulizwa makundi ya ugaidi.
Orodhesha sifa za mtu au taasisi ya kigaidi
Orodhesha nani anatoa hadhi ya ugaidi
Nani anaondoa hadhi ya ugaidi
Kuelewa swali ni muhimu sana kuliko jibu
Nadhani huna jibu la nani ni gaidi kwa maana ya ugaidi unatafsiriwaje. Niishie hapo, lakini nitaendelea kutoa elimuKama yana şifa kama alqaeda, Isis, alshabaab basi ni makundi ya kigaidi
Kama PLO ilikua inafanya matendo ya kigaidi kama Hamas, basi nyerere aliunga mkono magaidiNadhani huna jibu la nani ni gaidi kwa maana ya ugaidi unatafsiriwaje. Niishie hapo, lakini nitaendelea kutoa elimu
Watu wasimeze tu vitu bila kujua maana wala wasishabikie. Ikiwa PLO ni magaidi , Nyerere aliunga mkono ugaidi!
Hapana , matendo hayatoi definition. Kinachoanza ni definition halafu unaoanisha na matendo mwisho una conclude kwamba hapa kuna kundi au hili ni tendo la kigaidi.Kwani wewe hujui matendo ya kigaidi ya Isis, alqaeda, bokoharam, Islamic jihad, Hamas nk.
Umezaliwa leo?
Matendo ya kigaidi ni yapi? Ni matendo gani tunayosema haya yana 'qualify' taasisi au nchi kuwa ya kigaidiKama PLO ilikua inafanya matendo ya kigaidi kama Hamas, basi nyerere aliunga mkono magaidi
Matendo kama ya Hamas yaliyofanyika Oct 7Matendo ya kigaidi ni yapi? Ni matendo gani tunayosema haya yana 'qualify' taasisi au nchi kuwa ya kigaidi
Huzuni SanaDuh, Israel inamaliza viongozi wote, Ayatollah sijui atajificha wapi
Ni matendo gani yanayofanya taasisi au nchi iwe ya kigaidi. Ugaidi umekuwepo kabla ya Oct 7Matendo kama ya Hamas yaliyofanyika Oct 7
Kama lile shambulizi la kikatili la Oct 7.Ni matendo gani yanayofanya taasisi au nchi iwe ya kigaidi. Ugaidi umekuwepo kabla ya Oct 7
That's obvious. The most effective way to kill a snake ni kubonda bichwa. Bichwa likifa automatically na kiwiliwili chote kinakuwa kumekufa.Israel wanajua kumaliza tatizo ni kupambana na viongozi wakiisha hawa wako kuwadhibiti ni rahisi sana bila kumua kiongozi haujafanya lolote
Wewe unayeshabikia unasubiri mabasha 100?Apewe 72 wake amepa, aanze show.
Mkuu Nguruvi3 kama imekugusa nenda kajiorodheshe ukawatetee hao magaidi. Lakini dawa ya gaidi ni risasi tu. Kwani wao wanapojificha shuleni na hospitalini hawajui kuwa hayo siyo maeneo ya vita??Shule hizo zipo chini ya UN. Na UN wanasema hakuna Hamas!
EU wanalaani shambuli la 7 katika wiki moja ndani ya shule. Ikiwa kuna magaidi na wao wamezingira gaza angani ,majini na nchi kavu kwanini wasiondoe Raia wanasubiri kupiga usiku!
Al Shifa Hospital ilipigwa na kuua watu 500. Kuna ushahidi gani wa Hamas au mawasiliano waliyosema Israel?
Tangu vita ianze, taja Hospitali moja tu au shule moja tu iliyobainika kuficha Hamas
Hoja yangu ipo pale pale, kuna tatizo la watu kumeza propaganda tu! hasa vijana wa Tanzania. si Kenya au Zimbabwe maana ukiwasikia au kuwasoma katika forum zao utabaini kwanini vijana wetu hawawezi ku 'compete' nje ya Tanzania.
United Nations kupitia idara hiiNdiyo maana sitaacha kutoa hiii elimu. Umeulizwa hivi, sifa za ugaidi ni zipi? Hujaulizwa makundi ya ugaidi.
Orodhesha sifa za mtu au taasisi ya kigaidi
Orodhesha nani anatoa hadhi ya ugaidi
Nani anaondoa hadhi ya ugaidi
Kuelewa swali ni muhimu sana kuliko jibu
Soma hapa ujieleweshe acha kukariri tafsiriNadhani huna jibu la nani ni gaidi kwa maana ya ugaidi unatafsiriwaje. Niishie hapo, lakini nitaendelea kutoa elimu
Watu wasimeze tu vitu bila kujua maana wala wasishabikie. Ikiwa PLO ni magaidi , Nyerere aliunga mkono ugaidi!
Mollel unamjuwa ?Kuna watu kwao ni jambo la kawaida kabisa kuondoa roho za binadamu wenzao!! Inashangaza sana.
MollelKuua ni dhambi
mpewe umeme , maji na huduma nying bado mnawavamia sasa unataka wawape nn kama sio kipondo?Kuua viongozi wa HAMAS hakutamaliza huo mgogoro bali wanaendeleza uchuki itayoendeleza vita.