Waziri wa Fedha & Uchumi wa Hamas (Abd al-Fattah al-Zari) Afariki kwa Shambulio la Ndege

Waziri wa Fedha & Uchumi wa Hamas (Abd al-Fattah al-Zari) Afariki kwa Shambulio la Ndege

Tokea mwanzo Netanyahu alikua anazungumzia kuvamia Gaza na kuivunja Hamas. Kukuomboa mateka haikuwa hoja yake, hii kaanza kuigusia baada ya maandamano nchini kwake kutaka hao mateka warejeshwe.
atakomboa mateka mara ngap ? ilihali watekaj wapo hai ? hesabu ndogo tu hizo
 
Mkuu Nguruvi3 kama imekugusa nenda kajiorodheshe ukawatetee hao magaidi.
Hapana, haijanigusa. Kilichonigusa ni uelewa mdogo wa Vijana wa Tanzania.
Kwa mfano wewe huwezi kueleza ugaidi nini lakini unazungumzia ugaidi tu.

Nimeuliza maana ya ugaidi napewa majina ya makundi yanayoitwa ya kigaidi.
Yes yanaitwa ya kigaidi kwasababu kama Al Qaeda ni magaidi, CIA ya Marekani ni magaidi zaidi kwasababu ndio walianzisha , wakafundisha na kugharamia Al Qaeda

Huwezi kuwa na Hamas kama magaidi ukaacha PLO!
Nyerere alitoa Ofisi za Ubalozi Upanga. Je, Mwalimu aliunga mkono ugaidi!

Nakuuliza swali, nani anatoa hadhi ya ugaidi na nani anaweza kuiondoa.


Lakini dawa ya gaidi ni risasi tu. Kwani wao wanapojificha shuleni na hospitalini hawajui kuwa hayo siyo maeneo ya vita??
Nimekuuliza tangu Oct 7 Onyesha sehemu moja tu ya shule au Hospitali kwenye ushahidi wa Hamas kujificha
Israel haijaweza, labda kuna mwenye maelezo hapa JF kuzidi Israel na wewe unaweza kutusaidia
Ukae shuleni urushe makombora tukuache tu??
Shule gani? Shule zote zipo chini ya UN na EU.
UN na EU wanasema hakuna magaidi. Wewe una ushahidi upi ?
Kumchinja ngamia siyo lazima aelekee library, bali huchinjwa kwa kwa namna alivyojielekeza,
Sijui una maana gani ''library''


Point ninayotaka muipate vijana wa kitanzania, kwanza, ni wavivu wa kusoma.
Pili hamjishughulishi kutafuta maarifa. Tatu mnadhani mnajua kumbe hamjui.

Mnaposimama na Vijana wa Kenya, Uganda , South Africa au Zimbabwe Vijana wa Tanzania ni maboya tu
 
Wewe unayeshabikia unasubiri mabasha 100?
Bikra 72 waoenda kupewa si ipo kwenye vitabu?

Habari ya mabasha 100 hizi dini zingine hazina, maana wao wanasema mbinguni kwao hakuna kuoa wala kuoelwa wala hakuna jinsia na wanavalishwa miili mipya.
Hawa HAMAS na MAGAIDI wengine duniani mbinguni kwao ndoi wanaenda na jinsia na kupewa zawadi ya bik** 72 kama zawadi ya kuua wasio na hatia.
 
Bikra 72 waoenda kupewa si ipo kwenye vitabu?

Habari ya mabasha 100 hizi dini zingine hazina, maana wao wanasema mbinguni kwao hakuna kuoa wala kuoelwa wala hakuna jinsia na wanavalishwa miili mipya.
Hawa HAMAS na MAGAIDI wengine duniani mbinguni kwao ndoi wanaenda na jinsia na kupewa zawadi ya bik** 72 kama zawadi ya kuua wasio na hatia.
Itakuwa ukristo wako huujuwi

kasome QJV bible

Matthew 19:29 utapewa mabasha 100

 
Kamuulize kibwetere
Kibwetere aliua kwa kuchoma moto wenzake kwa kutetea Cult yake ? Alia watu wa imani nyingine?
Kibwetere aliua ili watu wawe wafuasi wake?
Kibwetere alikuwa anamtukuza Yesu ama mizimu yake?
Unajua Cult wewe ?
Ukikosa hoja, kaa chini, sema nlikuwa sijui hivyo najifunza.
 
Itakuwa ukristo wako huujuwi

kasome QJV bible

Matthew 19:29 utapewa mabasha 100

Matayo 19: 27-29
27.Kisha Petro akasema, "Na sisi je? Tumeacha yote tukakufuata; tutapata nini basi?"
28Yesu akawaambia, "Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
29Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele.

EWE MPAGANI Jagina
Maana ya hilo neno hapo ni kwamba, Yote ni kuhusu Mungu na injili yake . Pili, anatuambia kwamba kumfuata Yeye ni mkali na uliokithiri. Ni lazima tuwe tayari kuacha kila kitu nyuma na kufa kwa matakwa na matamanio yetu ya ubinafsi. Tatu, Yeye pia hutuhimiza kwamba kuna thawabu zilizopo sasa na baraka za milele tunapomfuata

 
Matayo 19: 27-29
27.Kisha Petro akasema, "Na sisi je? Tumeacha yote tukakufuata; tutapata nini basi?"
28Yesu akawaambia, "Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
29Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele.

EWE MPAGANI Jagina
Maana ya hilo neno hapo ni kwamba, Yote ni kuhusu Mungu na injili yake . Pili, anatuambia kwamba kumfuata Yeye ni mkali na uliokithiri. Ni lazima tuwe tayari kuacha kila kitu nyuma na kufa kwa matakwa na matamanio yetu ya ubinafsi. Tatu, Yeye pia hutuhimiza kwamba kuna thawabu zilizopo sasa na baraka za milele tunapomfuata


hayo ni maneno labda ya injili yako , Injili ya Jaji mfawidhi

Nilikuambia kasome biblia ya Queen james Version utaona hao mia ni nani
 
Kibwetere aliua kwa kuchoma moto wenzake kwa kutetea Cult yake ? Alia watu wa imani nyingine?
Kibwetere aliua ili watu wawe wafuasi wake?
Kibwetere alikuwa anamtukuza Yesu ama mizimu yake?
Unajua Cult wewe ?
Ukikosa hoja, kaa chini, sema nlikuwa sijui hivyo najifunza.

Umekuwa msemaji wa Kibwetere ??
 
Back
Top Bottom