Waziri wa Kusambaza Mitungi ya Gesi anataka kuwa Rais?

Waziri wa Kusambaza Mitungi ya Gesi anataka kuwa Rais?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Makamba hajawahi kuwa smart. Ilikuwa inasaidia miaka ile sababu alikuwa kimya. Sasa anafunua kinywa ndo tunasema "Kwa nini sasa unaongea? Au hupendi kuonekana una akili?"

Tangu amekuwa waziri wa Nishati namwona tu akizunguka kugawa mitungi ya gesi. Hana ubunifu. Na ikitokea akaongea anaongea pumba. Sisi tumejaribu sana kumtetea na yeye anakazana sana kutetereka. Inafikia hatua tunajivika mabomu na kutukana wanaomkosoa.

Ukweli ni kuwa jamaa ni kilaza. Tufuatilie Elimu yake pale Galanois tutajifunza mengi, hawa watu wamebebwa na mfumo tu ila kichwani hamna kitu kabisa.
 
Makamba hajawahi kuwa smart. Ilikuwa inasaidia miaka ile sababu alikuwa kimya. Sasa anafunua kinywa ndo tunasema "Kwa nini sasa unaongea? Au hupendi kuonekana una akili?"

Tangu amekuwa waziri wa Nishati namwona tu akizunguka kugawa mitungi ya gesi. Hana ubunifu. Na ikitokea akaongea anaongea pumba. Sisi tumejaribu sana kumtetea na yeye anakazana sana kutetereka. Inafikia hatua tunajivika mabomu na kutukana wanaomkosoa.

Ukweli ni kuwa jamaa ni kilaza. Tufuatilie Elimu yake pale Galanois tutajifunza mengi.hawa watu wamebebwa na mfumo tu ila kichwani hamna kitu kabisa.
😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂
 
Makamba hajawahi kuwa smart. Ilikuwa inasaidia miaka ile sababu alikuwa kimya. Sasa anafunua kinywa ndo tunasema "Kwa nini sasa unaongea? Au hupendi kuonekana una akili?"

Tangu amekuwa waziri wa Nishati namwona tu akizunguka kugawa mitungi ya gesi. Hana ubunifu. Na ikitokea akaongea anaongea pumba. Sisi tumejaribu sana kumtetea na yeye anakazana sana kutetereka. Inafikia hatua tunajivika mabomu na kutukana wanaomkosoa.

Ukweli ni kuwa jamaa ni kilaza. Tufuatilie Elimu yake pale Galanois tutajifunza mengi.hawa watu wamebebwa na mfumo tu ila kichwani hamna kitu kabisa.
Nadhani ni habari njema sana kwa mtu ambaye umedai hayuko smart, ni kilaza na kichwani hamna kitu, kuutaka Urais, maana ataukosa (kutokana na mapungufu hayo ya kiufundi).

Kwa mtu ambaye hupendi au hupendezewi na hilo unalodai analitaka litokee, unapaswa kuwa ni mtu mwenye furaha sana.
 
Jamaa umeamua usife na kinyogo 😂😂....Makamba hajawahi kunisawishi hata kidogo ..huenda kwa kuwa sipendi siasa...

Hamna kitu kabisa....ameamua kuzimazima umeme ili agawe mitungi...
 
Makamba hajawahi kuwa smart. Ilikuwa inasaidia miaka ile sababu alikuwa kimya. Sasa anafunua kinywa ndo tunasema "Kwa nini sasa unaongea? Au hupendi kuonekana una akili?"

Tangu amekuwa waziri wa Nishati namwona tu akizunguka kugawa mitungi ya gesi. Hana ubunifu. Na ikitokea akaongea anaongea pumba. Sisi tumejaribu sana kumtetea na yeye anakazana sana kutetereka. Inafikia hatua tunajivika mabomu na kutukana wanaomkosoa.

Ukweli ni kuwa jamaa ni kilaza. Tufuatilie Elimu yake pale Galanois tutajifunza mengi.hawa watu wamebebwa na mfumo tu ila kichwani hamna kitu kabisa.
Mule ni kichwa tupu. Anachojua ni kupiga pesa tu.

Huyu ni kati ya watu walio firisi NSSF.
 
Jamaa umeamua usife na kinyogo 😂😂....Makamba hajawahi kunisawishi hata kidogo ..huenda kwa kuwa sipendi siasa...

Hamna kitu kabisa....ameamua kuzimazima umeme ili agawe mitungi...
"Ameamua kuzima umeme ili agawe mitungi"

Mkuu, kwahiyo kumbe hapo kuna uhusiano ?
 
Mh. Chalamila ametahadharisha kuwa Yuko Waziri anatafuta pesa nje ya nchi kwa ajili ya kugombea Urais 2025. Na Mkuu wa Mkoa Mmoja anajipanga pia. Ni akina Nani hawa? Itabidi ianzishwe Thread yake tuidadavue.
 
Kiafya na kimazingira, nakubaliana na yeyote anayesema kuni ni hatari kuliko sigara.
Why apromoti Gesi ya Mtwara? Why asaidi TPDC kuwezesha Upatikanaji wa Funds ku malizia mradi wa kusambaza Gesi ya Kupikia katika jiji la Dar es salaam ambao umekwama kutokana na Kukosekana Fundings na mabomba tayari yapo mpaka maeneo ya Meeda Sinza?

Anampango gani kama Waziri mwenye Dhamana kuongeza matumizi ya Gesi yetu ili iweze kuongeza pato la taifa na kuwezesha patikana hela za kulipa China waliotupa mkopo na kutujengea Miundo mbinu ya Gesi- maana Deni linaongezeka kila kukicha na marejesho kizungu mkuti
 
Ila kweli kipindi cha nyuma nilikuwa namuona huyu jamaa kuwa ni smart sana hadi nikawa naona anafaa kuwa rais, kweli naamini kunyamaza kunaficha ujinga.
 
Jamaa yuko legelege sana, mpaka naanza kuamini yale yaliyosemwa na warumi wa mji mzito huu.

Amekaa type ya akina Lowasa, upigaji mbele na tamaa.
 
Tatizo ni kuwapa nafasi watoto wa vigogo ambao hata wakiboronga kumuwajibisha mbaka babazao waombwe kwanza.

Hakuna kitu kibaya kama kumuongoza mtu ambae anajiamini kwamba hagusiki kirahisi.
 
Nadhani ni habari njema sana kwa mtu ambaye umedai hayuko smart, ni kilaza na kichwani hamna kitu, kuutaka Urais, maana ataukosa (kutokana na mapungufu hayo ya kiufundi).

Kwa mtu ambaye hupendi au hupendezewi na hilo unalodai analitaka litokee, unapaswa kuwa ni mtu mwenye furaha sana.
Shida kubwa Tanzania ina Vilaza wengi kuliko walio smart. So tatizo huwa inaogopesha mgombea Urais anapokuwa kilaza maana ana back up kubwa nyuma yake. Usifanye mchezo na vilaza. Ni kundi kubwa. Wanakuwa hatari zaidi wanapochagua viongozi
 
Back
Top Bottom