Waziri wa Maji amtumbua Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Mwanza, Mhandisi Leonard Msenyele

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) leo tarehe 20 Agosti, 2023 amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza (MWAUWASA), Mhandisi Leonard Msenyele.

Mhe. Aweso amechukua hatua hiyo kwa mamlaka aliyo nayo kupitia Sheria Namba 5 ya Usambazaji Maji Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019.

Taratibu za kujaza nafasi hiyo zinafanyika.


Pia Soma:

Ni aibu Jiji la Mwanza kuwa na mgao wa maji
MWAUWASA mjitathmini sio lazima kutenguliwa ndipo muwajibike
Mwauwasa (Mwanza): Tunazalisha maji Lita Milioni 90 kwa siku, mahitaji ni Lita Milioni 160
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…