Waziri wa Maji Aweso kuweka Kambi jijini Dar Es Salaam hadi kieleweke

Waziri wa Maji Aweso kuweka Kambi jijini Dar Es Salaam hadi kieleweke

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
WAZIRI AWESO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA DAR ES SALAAM

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefanya ziara ya kushtukiza jijini Dar Es Salaam akitembelea maeneo muhimu yanayopata huduma ya Maji kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA).
Ziara hii inatarajiwa kufanyika maeneo mbalimbali ambapo Waziri Aweso ameeleza kuwa rasmi anaweka Kambi jijini Dar Es Salaam.
IMG-20240630-WA0022.jpg
IMG-20240630-WA0021.jpg
IMG-20240630-WA0020.jpg
IMG-20240630-WA0019.jpg
IMG-20240630-WA0018.jpg
IMG-20240630-WA0008.jpg
 
Watu wamelalamika kwa miezi kadhaa, ameona DAWASA wanakaribia kumaliza tatizo anajifanya kuja kuchota ujiko, kiazi kweli hiyo jamaa.
 
Ujinga ni kuikazania Dar ilihali kuna mikoa mingi kuna shida ya maji na mabwawa, mito na Ziwa zipo za kutosha.
 
Back
Top Bottom