GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waziri Awesso hutoshei katika hiyo ( hii ) Wizara na muda mfupi tu uliopita nimetoka Kukusikia ukizungumza Radio One Nipashe na Kugundua kuwa hata Kichwani pia ni mtupu mno.
Unaongea ( Unatoa Maelezo ) yako Kienyeji ( Kiuswahili ) zaidi na siyo Kitaalamu na Kitaaluma halafu pia hauko that detailed na Facts zako hazieleweki vyema kwa Watu wenye Akili Kubwa kukuzidi akina GENTAMYCINE na wengine wengi hapa Jamiiforums na Kwingineko.
Pia nifikishie Salamu zangu za Uchungu kwa Watu wa Dawasa ( hasa Yule CEO Wao mwenye Tumbo Kubwa lisilo na Faida kama Tenki la Maji Goba ) kwa Kitendo cha Kutudanganya Wakazi wa Kawe ( Lugalo na Makongo Jeshini zikiwemo ) kuwa Jana Alhamisi zingepata Maji kwa Saa 24 ( kutokana na Ratiba yao ) lakini cha Kusikitisha Jana Alhamisi nzima mpaka hivi sasa naandika hivi Kawe nzima haina Maji.
Sijui Rais Samia aliona nini Kwako Waziri wa Maji Awesso mpaka akakuamini na Kukuteua kwani Mimi kama GENTAMYCINE sioni kama Unatoshea katika hiyo Wizara Muhimu na Nyeti kwa Ustawi wa Mtanzania na Mwanadamu yoyote yule hivyo nakuombea Mabaya Ili Utumbuliwe hapo hata kama Unaroga ( Unanyangindo ) sana Ili ubakie hapo.
Unaongea ( Unatoa Maelezo ) yako Kienyeji ( Kiuswahili ) zaidi na siyo Kitaalamu na Kitaaluma halafu pia hauko that detailed na Facts zako hazieleweki vyema kwa Watu wenye Akili Kubwa kukuzidi akina GENTAMYCINE na wengine wengi hapa Jamiiforums na Kwingineko.
Pia nifikishie Salamu zangu za Uchungu kwa Watu wa Dawasa ( hasa Yule CEO Wao mwenye Tumbo Kubwa lisilo na Faida kama Tenki la Maji Goba ) kwa Kitendo cha Kutudanganya Wakazi wa Kawe ( Lugalo na Makongo Jeshini zikiwemo ) kuwa Jana Alhamisi zingepata Maji kwa Saa 24 ( kutokana na Ratiba yao ) lakini cha Kusikitisha Jana Alhamisi nzima mpaka hivi sasa naandika hivi Kawe nzima haina Maji.
Sijui Rais Samia aliona nini Kwako Waziri wa Maji Awesso mpaka akakuamini na Kukuteua kwani Mimi kama GENTAMYCINE sioni kama Unatoshea katika hiyo Wizara Muhimu na Nyeti kwa Ustawi wa Mtanzania na Mwanadamu yoyote yule hivyo nakuombea Mabaya Ili Utumbuliwe hapo hata kama Unaroga ( Unanyangindo ) sana Ili ubakie hapo.