Waziri wa Maji ingilia kati suala hili wateja waunganishiwe maji hapa Malimbe, Nyegezi

Waziri wa Maji ingilia kati suala hili wateja waunganishiwe maji hapa Malimbe, Nyegezi

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
Eti bomba la maji linapita sehemu lakini mtu aliyeko zaidi ya mita 60 haruhusiwi kuungiwa.Hii haijakaa sawa Mheshimiwa.

Najua wewe ni mchapakazi mzuri hii Wizara unaitendea haki kabisa Mungu akujalie pia unamsaidia sana Rais kwenye utendaji wako wa kazi.

Naomba ingilia hili suala hapa Nyegezi-Malimbe
 
Back
Top Bottom