Waziri wa Maji Jumaa Aweso alivyomzawadia Diamond Platnumz kwenye birthday yake

Waziri wa Maji Jumaa Aweso alivyomzawadia Diamond Platnumz kwenye birthday yake

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, alimzawadia Diamond Platnumz KEKI kwenye kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake hapo jana Oktoba 2 na kula pamoja diko la birthday nyumbani kwa Staa huyo wa Bongo Fleva.
IMG_0039.jpeg

Diamond alishukuru Waziri kwa heshima hiyo na kutoboa siri kuwa Waziri alihusika kupendekeza wimbo ulio-set rekodi mbalimbali Duniani, KOMASAVA utoke na baadae kupata mapokezi makubwa.

 
Jamaa maji ni shida ila yupo busy na kina Mondi
Waislamu hawafai kuwa viongozi huo ndiyo ukweli ...ni rahisi kumwona samia kwenye tamasha la mashoga kuliko kumwona kwenye mipango na miradi ya nchi ...nikama mzee wa msoga huonekana tu kwenye matamasha matamasha basi na hii kitu ni kwa waislamu wote wanaookuwa viongozi .
 
Kusikia alipanda ghorofani kwa P Diddy kuangakia movie basi mmenza na nyinyi kumualika
 
Kwamba Waziri anataka kusafiria nyota ya Diddy!!Ameona fursa kwa mwana
 
Active kwanini mmefuta comment yangu konki yenye kufunua ukweli na kutoa elimu niliyo mjibu jamaa kuhusu marais waislamu na ushahidi wa udhaifu wao kwenye uongozi ...rudisheni comment yangu haraka...ngoja na nimtsfute bosi wenu anieleze kosa au uongo upowapi mbona hata aliye bisha nilipo toa hiyo comment akuweza tena kupinga...?
 
Back
Top Bottom