Waziri wa Maliasili na Utalii, TAWA kuua wanyama kiholela haikubaliki

Waziri wa Maliasili na Utalii, TAWA kuua wanyama kiholela haikubaliki

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Mhe. Waziri wa Maliasili na Utalii, naomba nitoe mtazamo wangu kuhusu Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA).
Wenzetu wa TAWA wamekosa weledi na hawatumii kabisa taaluma zao katika kushughulikia Wanyama waliopo nje ya Hifadhi, hakika wanachofanya siyo Profesionalism na Kinahamasisha Umma wa Watanzania kuua Wanyama Ovyo Ovyo pindi wanapowaona nje ya Hifadhi.

Mwaka huu wa 2020 tumeshuhudia UPUUZI WA TAWA kule ARUSHA baada ya Tembo kuwepo eneo la Makazi akachokozwa na Bodaboda akamrarua huyo boda boda, TAWA walipoitwa walikuja wakampiga Risasi za Moto tembo na kumuuua.

Baada ya siku chache NYATI alionekana eneo la Madare Jijini Daaaslam, TAWA walipopata taarifa walikuja wakamuuua Nyati na kuondoka na Nyama zao kama kawaida yao.

Juzi tarehe 25/12
Askari wa kituo cha Mapori ya Akiba Lukwati/Piti Mkoa wa Songwe walipewa taarifa ya Simba kuonekana kwenye mapori ya Kijiji hicho walichofanya ni kuja na AK 47 za kumwaga na MaLandcruiser yao wakamuuua Simba kwa Risasi zaidi ya 15 yaaani walichakaza vibaya sana mbele ya Macho ya Wanakijiji wakabeba ule mzoga na Kuondoka nao.

Hakika Mhe.Waziri hivi vitendo havifurahishi na wala sio vya KISOMI kamweee na Havikubaliki kwenye Ulimwengu wa Kisasa. Hivi kuuwa wanyama ndio utendaji wa Kisayansi huo??? Hakuna njia nyingine ya Kistaarabu ya kuwaondoa hawa Wanyama kistaarabu kwenye maeneo wanapovamia makazi?? Hili nalo mpaka alisemee Mhe.Rais??

Au hili nalo mpaka jamii za Kimataifa za Haki za Wanyama waje watuweke kwenye ripoti zao ndio tubadilike??? Hakika Wote wanaoshuhudia Ukatili mnaowafanyia Wanyama hawafurahishwi na mnachofanya.

Badilikeni na kutumia njia nyingine za kuondoa hawa wanyama ikiwemo matumizi ya sindano za Usingizi ili kuwahamishia kwenye maeneo rasmi ili Uhifadhi uwe endelevu.
Ni mtazamo wangu tu.
 
Hongera mtoa thread hii ni hekima kabisa ni muhimu kulinda Maisha ya raia TAWA kutokan na visa vya wanyama lakin ni kweli kabisa wanakosea inamaana wataalam walio soma BVM ( bachelor of vertenary medicine) na wild life Management hawaonekan kazi zao kwa hili inabidi wafanye utaratibu na huu nikumpa mzigo Mh Rais wetu mpendwa
 
Yaani Mkuu ilipaswa TAWA waanze kutuhamasisha na kutuwekea namba ya Dharura sisi Raia wa kawaida tunapowaona kwenye mazingira yetu Kenge, Chatu, Swila na Wanyama wengine adimu tuwapigie simu wakawachukue wakawahidhi lkn kwa Upuuzi wa kijinga wanaoufanya Raia nao wataona hakuna Hajja ya kuwaita ni kuuuua tu. Sijui wanatufundisha nini sisi raia wa kawaida tusio na Elimu ya Uhifadhi, inaudhi na inakera sana hapo napo utakuta Jitu limetuna Ofisini linajiiita Mkurugenzi Mkuu wakati upuuzi kama huu unaendelea kwenye Ofisi yake, shwain kabisa
 
Yaani Mkuu ilipaswa TAWA waanze kutuhamasisha na kutuwekea namba ya Dharura sisi Raia wa kawaida tunapowaona kwenye mazingira yetu Kenge, Chatu, Swila na Wanyama wengine adimu tuwapigie simu wakawachukue wakawahidhi lkn kwa Upuuzi wa kijinga wanaoufanya Raia nao wataona hakuna Hajja ya kuwaita ni kuuuua tu. Sjui wanatufundisha nini sisi raia wa kawaida tusio na Elimu ya Uhifadhi, inaudhi na inakera sana hapo napo utakuta Jitu limetuna Ofisini linajiiita Mkurugenzi Mkuu wakati upuuzi kama huu unaendelea kwenye Ofisi yake, shwain kabisa
Naaona kaka umeongea kwa uchungu mkubwa hili swala tunatakiwa tumlipue nalo mtu kwa ile majibu papo kwa papo
 
Weledi ziro kumbe hawa TAWA! Na unakuta mkurugenzi wa TAWA na wenzake wanafanya ziara za mafunzo nje ya nchi! Hawaambuliagi kitu huko? Bongo bhana!
Mkuuu kama hilo lipo wanapaswa kurudisha pesa zote za Peediem walizolipwa maaana hakuna walichojifunza. Ni aibu mnooo kwa huu unyama wanaofanyiwa Maliasili zetu. Watambue Wanyama hawa ni Urithi, hivyo tunapaswa kuziihifadhi Vizazi hata Vizazi vije kujionea urithi wao.
 
Weledi ziro kumbe hawa TAWA! Na unakuta mkurugenzi wa TAWA na wenzake wanafanya ziara za mafunzo nje ya nchi! Hawaambuliagi kitu huko? Bongo bhana!
Ulaya kuna Mbuga za wanyama? Wazungu wenyewe wanakuja huku Afrika kuona wanyama...
 
Mhe. Waziri wa Maliasili na Utalii, naomba nitoe mtazamo wangu kuhusu Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA).
Wenzetu wa TAWA wamekosa weledi na hawatumii kabisa taaluma zao katika kushughulikia Wanyama waliopo nje ya Hifadhi, hakika wanachofanya siyo Profesionalism na Kinahamasisha Umma wa Watanzania kuua Wanyama Ovyo Ovyo pindi wanapowaona nje ya Hifadhi.

Mwaka huu wa 2020 tumeshuhudia UPUUZI WA TAWA kule ARUSHA baada ya Tembo kuwepo eneo la Makazi akachokozwa na Bodaboda akamrarua huyo boda boda, TAWA walipoitwa walikuja wakampiga Risasi za Moto tembo na kumuuua.

Baada ya siku chache NYATI alionekana eneo la Madare Jijini Daaaslam, TAWA walipopata taarifa walikuja wakamuuua Nyati na kuondoka na Nyama zao kama kawaida yao.

Juzi tarehe 25/12
Askari wa kituo cha Mapori ya Akiba Lukwati/Piti Mkoa wa Songwe walipewa taarifa ya Simba kuonekana kwenye mapori ya Kijiji hicho walichofanya ni kuja na AK 47 za kumwaga na MaLandcruiser yao wakamuuua Simba kwa Risasi zaidi ya 15 yaaani walichakaza vibaya sana mbele ya Macho ya Wanakijiji wakabeba ule mzoga na Kuondoka nao.

Hakika Mhe.Waziri hivi vitendo havifurahishi na wala sio vya KISOMI kamweee na Havikubaliki kwenye Ulimwengu wa Kisasa. Hivi kuuwa wanyama ndio utendaji wa Kisayansi huo??? Hakuna njia nyingine ya Kistaarabu ya kuwaondoa hawa Wanyama kistaarabu kwenye maeneo wanapovamia makazi?? Hili nalo mpaka alisemee Mhe.Rais??

Au hili nalo mpaka jamii za Kimataifa za Haki za Wanyama waje watuweke kwenye ripoti zao ndio tubadilike??? Hakika Wote wanaoshuhudia Ukatili mnaowafanyia Wanyama hawafurahishwi na mnachofanya.

Badilikeni na kutumia njia nyingine za kuondoa hawa wanyama ikiwemo matumizi ya sindano za Usingizi ili kuwahamishia kwenye maeneo rasmi ili Uhifadhi uwe endelevu.
Ni mtazamo wangu tu.
Yaani wanashindwa kumpiga sharubu dawa ya usingizi wambebe kumrudisha msituni? TAWA hovyo kabisa!
 
Mhe. Waziri wa Maliasili na Utalii, naomba nitoe mtazamo wangu kuhusu Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA).
Wenzetu wa TAWA wamekosa weledi na hawatumii kabisa taaluma zao katika kushughulikia Wanyama waliopo nje ya Hifadhi, hakika wanachofanya siyo Profesionalism na Kinahamasisha Umma wa Watanzania kuua Wanyama Ovyo Ovyo pindi wanapowaona nje ya Hifadhi.

Mwaka huu wa 2020 tumeshuhudia UPUUZI WA TAWA kule ARUSHA baada ya Tembo kuwepo eneo la Makazi akachokozwa na Bodaboda akamrarua huyo boda boda, TAWA walipoitwa walikuja wakampiga Risasi za Moto tembo na kumuuua.

Baada ya siku chache NYATI alionekana eneo la Madare Jijini Daaaslam, TAWA walipopata taarifa walikuja wakamuuua Nyati na kuondoka na Nyama zao kama kawaida yao.

Juzi tarehe 25/12
Askari wa kituo cha Mapori ya Akiba Lukwati/Piti Mkoa wa Songwe walipewa taarifa ya Simba kuonekana kwenye mapori ya Kijiji hicho walichofanya ni kuja na AK 47 za kumwaga na MaLandcruiser yao wakamuuua Simba kwa Risasi zaidi ya 15 yaaani walichakaza vibaya sana mbele ya Macho ya Wanakijiji wakabeba ule mzoga na Kuondoka nao.

Hakika Mhe.Waziri hivi vitendo havifurahishi na wala sio vya KISOMI kamweee na Havikubaliki kwenye Ulimwengu wa Kisasa. Hivi kuuwa wanyama ndio utendaji wa Kisayansi huo??? Hakuna njia nyingine ya Kistaarabu ya kuwaondoa hawa Wanyama kistaarabu kwenye maeneo wanapovamia makazi?? Hili nalo mpaka alisemee Mhe.Rais??

Au hili nalo mpaka jamii za Kimataifa za Haki za Wanyama waje watuweke kwenye ripoti zao ndio tubadilike??? Hakika Wote wanaoshuhudia Ukatili mnaowafanyia Wanyama hawafurahishwi na mnachofanya.

Badilikeni na kutumia njia nyingine za kuondoa hawa wanyama ikiwemo matumizi ya sindano za Usingizi ili kuwahamishia kwenye maeneo rasmi ili Uhifadhi uwe endelevu.
Ni mtazamo wangu tu.
Point [emoji106][emoji106]
 
Kweli kabisa siyo sawa...
South Africa kwenye mambo kama hayo, wanawakamata hao wanyama na kuwarudiha sehemu stahiki...





Cc: mahondaw
 
Kwanza tuwaulize TAWA, bajeti yenu ni shilingi ngapi kuweza kuwarudisha wanyama waliovamia maeneo ya watu. Maana gharama za kumlaza, kumweka kwenye gari maalumu na kumrudisha tembo au nyati mbugani zinaweza kuwa kubwa sana..
 
Kweli kabisa siyo sawa...
South Africa kwenye mambo kama hayo, wanawakamata hao wanyama na kuwarudiha sehemu stahiki...





Cc: mahondaw
South wako mbali sana kwenye uhifadhi wa Viumbe Mkuu hata ukiona Kobe au baadhi ya Mijusi unawapigia Wataaalam wanakuja kuikamata na kuipeleka kwenye hifadhi
 
Ndugu
Kwanza hujui animal behaviours kwa hiyo umeandika mengi kama mwanasiasa...
Hao wanyama hawaji ktk makazi na boda boda, kwamba utaongea nao warudi.
Pili, hizo njia nyingine unazosema kama sindano inatumika pale inabidi tu.
Kwa ufupi hao wengi wanakuwa wametimuliwa ktk makundi hasa sababu ya umri. Makazi hayo mapya watarudi tu, na kama kashaonja au ona dalili za sambusa nzuri ndo kabisa.

Ktk mambo ya control sera na sheria zipo zinaruhusu.

Wapongeze badala ya kuwalaumu hao, inawezekana ndg yako au wangu, au mifugo ingeangamia.

QUOTE="mmteule, post: 37687588, member: 56194"]
Mhe. Waziri wa Maliasili na Utalii, naomba nitoe mtazamo wangu kuhusu Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA).
Wenzetu wa TAWA wamekosa weledi na hawatumii kabisa taaluma zao katika kushughulikia Wanyama waliopo nje ya Hifadhi, hakika wanachofanya siyo Profesionalism na Kinahamasisha Umma wa Watanzania kuua Wanyama Ovyo Ovyo pindi wanapowaona nje ya Hifadhi.

Mwaka huu wa 2020 tumeshuhudia UPUUZI WA TAWA kule ARUSHA baada ya Tembo kuwepo eneo la Makazi akachokozwa na Bodaboda akamrarua huyo boda boda, TAWA walipoitwa walikuja wakampiga Risasi za Moto tembo na kumuuua.

Baada ya siku chache NYATI alionekana eneo la Madare Jijini Daaaslam, TAWA walipopata taarifa walikuja wakamuuua Nyati na kuondoka na Nyama zao kama kawaida yao.

Juzi tarehe 25/12
Askari wa kituo cha Mapori ya Akiba Lukwati/Piti Mkoa wa Songwe walipewa taarifa ya Simba kuonekana kwenye mapori ya Kijiji hicho walichofanya ni kuja na AK 47 za kumwaga na MaLandcruiser yao wakamuuua Simba kwa Risasi zaidi ya 15 yaaani walichakaza vibaya sana mbele ya Macho ya Wanakijiji wakabeba ule mzoga na Kuondoka nao.

Hakika Mhe.Waziri hivi vitendo havifurahishi na wala sio vya KISOMI kamweee na Havikubaliki kwenye Ulimwengu wa Kisasa. Hivi kuuwa wanyama ndio utendaji wa Kisayansi huo??? Hakuna njia nyingine ya Kistaarabu ya kuwaondoa hawa Wanyama kistaarabu kwenye maeneo wanapovamia makazi?? Hili nalo mpaka alisemee Mhe.Rais??

Au hili nalo mpaka jamii za Kimataifa za Haki za Wanyama waje watuweke kwenye ripoti zao ndio tubadilike??? Hakika Wote wanaoshuhudia Ukatili mnaowafanyia Wanyama hawafurahishwi na mnachofanya.

Badilikeni na kutumia njia nyingine za kuondoa hawa wanyama ikiwemo matumizi ya sindano za Usingizi ili kuwahamishia kwenye maeneo rasmi ili Uhifadhi uwe endelevu.
Ni mtazamo wangu tu.
[/QUOTE]
 
Ndugu
Kwanza hujui animal behaviours kwa hiyo umeandika mengi kama mwanasiasa...
Hao wanyama hawaji ktk makazi na boda boda, kwamba utaongea nao warudi.
Pili, hizo njia nyingine unazosema kama sindano inatumika pale inabidi tu.
Kwa ufupi hao wengi wanakuwa wametimuliwa ktk makundi hasa sababu ya umri. Makazi hayo mapya watarudi tu, na kama kashaonja au ona dalili za sambusa nzuri ndo kabisa.

Ktk mambo ya control sera na sheria zipo zinaruhusu.

Wapongeze badala ya kuwalaumu hao, inawezekana ndg yako au wangu, au mifugo ingeangamia.

QUOTE="mmteule, post: 37687588, member: 56194"]
Mhe. Waziri wa Maliasili na Utalii, naomba nitoe mtazamo wangu kuhusu Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA).
Wenzetu wa TAWA wamekosa weledi na hawatumii kabisa taaluma zao katika kushughulikia Wanyama waliopo nje ya Hifadhi, hakika wanachofanya siyo Profesionalism na Kinahamasisha Umma wa Watanzania kuua Wanyama Ovyo Ovyo pindi wanapowaona nje ya Hifadhi.

Mwaka huu wa 2020 tumeshuhudia UPUUZI WA TAWA kule ARUSHA baada ya Tembo kuwepo eneo la Makazi akachokozwa na Bodaboda akamrarua huyo boda boda, TAWA walipoitwa walikuja wakampiga Risasi za Moto tembo na kumuuua.

Baada ya siku chache NYATI alionekana eneo la Madare Jijini Daaaslam, TAWA walipopata taarifa walikuja wakamuuua Nyati na kuondoka na Nyama zao kama kawaida yao.

Juzi tarehe 25/12
Askari wa kituo cha Mapori ya Akiba Lukwati/Piti Mkoa wa Songwe walipewa taarifa ya Simba kuonekana kwenye mapori ya Kijiji hicho walichofanya ni kuja na AK 47 za kumwaga na MaLandcruiser yao wakamuuua Simba kwa Risasi zaidi ya 15 yaaani walichakaza vibaya sana mbele ya Macho ya Wanakijiji wakabeba ule mzoga na Kuondoka nao.

Hakika Mhe.Waziri hivi vitendo havifurahishi na wala sio vya KISOMI kamweee na Havikubaliki kwenye Ulimwengu wa Kisasa. Hivi kuuwa wanyama ndio utendaji wa Kisayansi huo??? Hakuna njia nyingine ya Kistaarabu ya kuwaondoa hawa Wanyama kistaarabu kwenye maeneo wanapovamia makazi?? Hili nalo mpaka alisemee Mhe.Rais??

Au hili nalo mpaka jamii za Kimataifa za Haki za Wanyama waje watuweke kwenye ripoti zao ndio tubadilike??? Hakika Wote wanaoshuhudia Ukatili mnaowafanyia Wanyama hawafurahishwi na mnachofanya.

Badilikeni na kutumia njia nyingine za kuondoa hawa wanyama ikiwemo matumizi ya sindano za Usingizi ili kuwahamishia kwenye maeneo rasmi ili Uhifadhi uwe endelevu.okujavkula mahindi
Ni mtazamo wangu tu.
[/QUOTE]
Huenda unapoint..na Hawa tembo wanaokuja kula mahindi kwenye Mashamba nao wamefukuzwa na wenzao...coz naona pia watu kuishi karibu na mbuga kunaharibu ecosystem kitu kinachowafanya hao wanyama wasake nahitaji yao kwenye makazi ya watu
 
Huenda unapoint..na Hawa tembo wanaokuja kula mahindi kwenye Mashamba nao wamefukuzwa na wenzao...coz naona pia watu kuishi karibu na mbuga kunaharibu ecosystem kitu kinachowafanya hao wanyama wasake nahitaji yao kwenye makazi ya watu
[/QUOTE]
Hao in groups ni issue ya survival....searching chakula. Ni kweli ukilima karibu na mipaka au buffer zones na ndani ni kiangazi watavuka tu..

Huyu nilimjibu issues zake za mmoja mmoja ambazo zilikuwa specific cases..
 
Back
Top Bottom