Waziri wa Maliasili na Utalii, TAWA kuua wanyama kiholela haikubaliki

Waziri wa Maliasili na Utalii, TAWA kuua wanyama kiholela haikubaliki

Huenda unapoint..na Hawa tembo wanaokuja kula mahindi kwenye Mashamba nao wamefukuzwa na wenzao...coz naona pia watu kuishi karibu na mbuga kunaharibu ecosystem kitu kinachowafanya hao wanyama wasake nahitaji yao kwenye makazi ya watu
Hao in groups ni issue ya survival....searching chakula. Ni kweli ukilima karibu na mipaka au buffer zones na ndani ni kiangazi watavuka tu..

Huyu nilimjibu issues zake za mmoja mmoja ambazo zilikuwa specific cases..
[/QUOTE]
Umeshindwa kabisa kujibu hojja kwa weledi zaidi umeweka ubishi mbele. Eleza kitaalam mnyama yupi kafukuzwa kwenye kundi na anakuwa na sifa zipi? Na hao waliouliwa ovyo ovyo hapo juuu hawakuwa na madhara kwa Binadamu ila TAWA ndio walifika kuwadhuru nk kipi wataalam walikiona kwao mpaka kuwararua kwa Risasi nyingi. Weka nondo za Kisayansi hatutaki porojo na ngojera zako ulizoharisha hapo juu.
 
Huelewi na hujakaa karibu na mapori/hifadhi za wa wanyama usingeandika vile, wanyama wanaotoroka hifadhi na kuingia vijijini huwa Ni tishio kwa usalama wa raia na Mali zao, wanaharibu mashamba hasa tembo na kuua watu kila mara.

Tuna wanyama wengi Sana Ni vyema kuwaua wanapoingia kwenye makazi ya watu ili kuwapa hofu ya kutozoea maeneo hayo. Simba akishajitenga Hana huruma na yeyote, unayetetea wasipigwa risasi ungekuwa na wazazi au ndugu zako wanaoishi kule usinge thubutu kuwaanika hao maaskari pori wanaofanya jitihada za kunusuru maisha na rasilimali za watu.
 
Kule Nepal, Tiger 😾akiingia mjini humdunga sindano ya usingizi kwa kutumia bunduki maalum kisha wanambeba na kumrudisha msituni
Hawa wa Kigagwalah hawana weledi wala ujuzi wowote,sawa na wale waliosimamia 'uchafuzi' ZnZ na Tarime.
 
Kule Nepal, Tiger 😾akiingia mjini humdunga sindano ya usingizi kwa kutumia bunduki maalum kisha wanambeba na kumrudisha msituni
Hawa wa Kigagwalah hawana weledi wala ujuzi wowote,sawa na wale waliosimamia 'uchafuzi' ZnZ na Tarime.

Wewe ndo kichekesho. Nepal unataka kufananisha na mbuga za bongo ?
Unajua tofauti ya tropical na temperate ecosystems ?
Achana na hao wanatoroka kutafuta pizza na ice cream... ktk Park kubwa kama golf course ya gymkhana...
 
Wewe ndo kichekesho. Nepal unataka kufananisha na mbuga za bongo ?
Unajua tofauti ya tropical na temperate ecosystems ?
Achana na hao wanatoroka kutafuta pizza na ice cream... ktk Park kubwa kama golf course ya gymkhana...
Siku zote lazima ujifunze kwa aliyekuzidi ili ufanikiwe zaidi, kwahiyo ulitaka aitolee mfano Sudan Kusini ndio sahihi
 
Nendeni mkasome Part VIII ya Wildlife Conservation Act 05, 2009. Inazungumzia maswala ya Human-Wildlife Conflicts. Mtaelewa mengi kuliko kuja na kuanza kulaumu TAWA. Sheria inawaongoza sio wamekurupuka tu.
 
Hoja ya Msingi sana hii.... Jamaa hawana taaluma ya kuwarejesha wanyama porini kwao...
 
TAWA NI JANGA KABISA.
Kwa wilaya ya Same kuna matukio ya Kiboko kuuwa watu watano ktk mto Pangani.
TAWA wameambiwa na kuja kufanya picnic tu hawajaweza chochote mara zote wanaondoka na kuwaacha wananchi wa kata za Mabilioni na Hedaru bila msaada.
Ukienda Serengeti vijiji vya Robanda kata ya Ikoma na jirani zao Simba , Chui na fisi wanakula Ng'ombe, mbuzi na ndama bila msaada.
Nachoshauri TAWA ivunjwe na majukumu ya wanyama kokote yafanywe na TANAPA.
 
Hoja ya Msingi sana hii.... Jamaa hawana taaluma ya kuwarejesha wanyama porini kwao...
Subiri siku yakukute ndo utajua kama hiki unachoongea huna utaalamu nacho. Nakushauri tu, jaribu kufanya study ya assessment ya impacts za human wildlife conflicts katika vijiji vilivyopo karibu na mipaka ya hifadhi. Utakupata majibu.
 
TAWA NI JANGA KABISA.
Kwa wilaya ya Same kuna matukio ya Kiboko kuuwa watu watano ktk mto Pangani.
TAWA wameambiwa na kuja kufanya picnic tu hawajaweza chochote mara zote wanaondoka na kuwaacha wananchi wa kata za Mabilioni na Hedaru bila msaada.
Ukienda Serengeti vijiji vya Robanda kata ya Ikoma na jirani zao Simba , Chui na fisi wanakula Ng'ombe, mbuzi na ndama bila msaada.
Nachoshauri TAWA ivunjwe na majukumu ya wanyama kokote yafanywe na TANAPA.
Usije ukapuuza kabisa juhudi zinazofanywa na hiyo taasisi. Me naifahamu kwasababu kuna majanga yalishatukutaga wao ndo wakawa msaada mkubwa.
 
Tumeshauri ivunjwe kwa kuwa inalegalega kufanya majukumu yake siyo kuipuuza .
Ningekuelewa ungetoa mifano ya ufanisi wake kama mimi na mleta uzi tulivyoonyesha wanavyokwama kutimiza wajibu.
 
Tumeshauri ivunjwe kwa kuwa inalegalega kufanya majukumu yake siyo kuipuuza .
Ningekuelewa ungetoa mifano ya ufanisi wake kama mimi na mleta uzi tulivyoonyesha wanavyokwama kutimiza wajibu.
TAWA wamekuwa janga lingine Baada ya CORONA
 
Back
Top Bottom