Waziri wa Maliasili na Utalii, TAWA kuua wanyama kiholela haikubaliki

Mkuu kwani wewe ni CEO wa TAWA mbona unawapaka mafuta sana. All in all TAWA wanapaswa kujirekebisha.
Sio CEO ila watanzia wengi ni bendera fwata upepo. Fanya utafiti wako mdogo then njoo na hoja, ningemwelewa vizuri mtoa mada angekuja na hoja ya kuuliza ili aweze kufahamishwa.

Sent from my SM-G615F using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi naona bado pia hujaelewa kuhusu TAWA.Mimi nimefanya uchunguzi na nimebaini kuwa Tawa wanasimamia wanyama wote ambao wapo nje ya National Parks (ambazo zipo chini ya TANAPA) na Ngorongoro (NCAA).Sasa hapa umeongea maeneo ya Same (ambapo kuna ecosystem ya Mkomazi National Park) na Ikoma ni Serengeti,sasa hizi zote zipo chini ya TANAPA shida ni moja mnyama akitoka nje ya Nationa Park (TANAPA) hata kama askari wa TANAPA wapo karibu hawawezi kushughulika mpaka wasubiri askari wa TAWA ambao nao mara nyingine unakuta hayo maeneo hawana Post (Kambi).Jambo moja la kuishauri Serikali ni Kuunganisha TANAPA,NCAA na TAWA ili waache kutegeana na pia ili kuongeza tija na kupunguza gharama za uendeshaji.Shirika litakuwa moja na lenye nguvu ambalo wanawexa kuwa na Post (Kambi) almost kila wilaya inayopakana na hifadhi.
 
Subiri siku yakukute ndo utajua kama hiki unachoongea huna utaalamu nacho. Nakushauri tu, jaribu kufanya study ya assessment ya impacts za human wildlife conflicts katika vijiji vilivyopo karibu na mipaka ya hifadhi. Utakupata majibu.
Kwa hiyo solution ni kuwaua hawa wanyama pori?
 
Kwa hiyo solution ni kuwaua hawa wanyama pori?
Na kama suluhisho ndilo hilo kuna hajja gani ya kuwaita TAWA wakati wananchi pia wanauwezo wa kuwaua.
TAWA ni wasaka Kitoweo tu hawana weledi wala tija yoyote.
 
Kwanza tuwaulize TAWA, bajeti yenu ni shilingi ngapi kuweza kuwarudisha wanyama waliovamia maeneo ya watu. Maana gharama za kumlaza, kumweka kwenye gari maalumu na kumrudisha tembo au nyati mbugani zinaweza kuwa kubwa sana..
Ndio wauwe?? Nini sasa maana ya uhifadhi??period
 
Mkuu umeandika kwa uchungu mkuu. Ni kweli kuna njia bora ya kuwadhibit na sio kuua tu sbb tunaweza kuua. Wasomi ktk hii fani yapaswa wachukue nafasi zao sbb hata mimi sipendi kabisa kuua kiumbe ambacho hakina utashi lkn mwenyezi Mungu katupa Sisi binadamu akili na uwezo wa kuwadhibiti bila kuwaua. Wanyama ni mapambo, wanyama ni Urembo basi na tuwe na njia bora zaidi ya kuwahifadhi na kuwakea bila kuwadhulu au kuwaua!
 
Naona baada ya hii post hapa JF Mkurugenzi wa TAWA jana tarehe 30/12 kafanya Press na media kuweka sawa sawa hili suala. Kweli JF ina nguvu sana
 
Na kama suluhisho ndilo hilo kuna hajja gani ya kuwaita TAWA wakati wananchi pia wanauwezo wa kuwaua.
TAWA ni wasaka Kitoweo tu hawana weledi wala tija yoyote.
Hapa tunawaongelea TAWA, kwa wananchi sina tatizo nao.. Maana kwao ni ktika kujilinda... TAWA ndo wamekuwa wakizembea ktk mchakato huu
 
[/QUOTE]

Mkuu umeongea mtoa mada ameongea mawazo yake na conclude bila kujua hili swala kiundani
Inabidi a ongeze kwenye animal behavior management
Alafu akasome mambo ya culling basically kwenye trouble animals!!
Nadhani akimaliza atajua hajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…