Waziri wa Maliasili: Nani karuhusu jamii hii irekodiwe na wageni? Wanalipwa? Inatuchafua sana

Waziri wa Maliasili: Nani karuhusu jamii hii irekodiwe na wageni? Wanalipwa? Inatuchafua sana

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Ndugu Waziri Salam,

Kuna video za jamii ya Wahadzabe zinazoishi maisha ya kijima porini, na ni jamii "duni" kulingana na mfumo wa maisha wa kisasa.

Lakini kwa bahati mbaya sana, kuna wageni wenye asili ya Asia wamekuwa waki record mtindo wao wa maisha na ku label kama Watanzania.

Ni video zenye komenti nyingi sana za wageni, yani hadi kufika comment 20k, na wote wanaona kama hao sio watu ni wanyama.

Wakishauliza wapi, jibu ni Tanzania.

Hiyo account inaitwa Our traditional tribe. Mbaya sana, hakuna cha kujivunia ni kudhalilisha hiyo jamii, lakini zaidi kwa watu ambao hawajawahi fika Africa, wanaweza dhani watanzania tunaishi hivi.

Hata kama ni utamaduni, mbona jamii ya Kimasai inarecodiwa kwa mazuri?

Tunaweza control kipi cha ku record na kipi si cha ku record.

Mheshimiwa sana ndugu Waziri hapana, hili lipo kwenye uwezo wako.

Screenshot_20241120-201323.png
Screenshot_20241120-193047.png
 
Mbona wameandika Hadzabe Tribe? Au kiingereza ni changamoto? Kingine huoni inavutia watalii kuja nchini.

Mbona Amazon huwa tunaonyeshwa makabila yanaishi "duni" sana!! Na hakunaga malalamiko. Hakuna aibu yoyote kujivunia culture yako ni ajabu sana kuona aibu mtu akijua mila yako wakati ndio uhalisia!!
 
Ndugu Waziri Salam,

Kuna video za jamii ya Wahadzabe zinazoishi maisha ya kijima porini, na ni jamii "duni" kulingana na mfumo wa maisha wa kisasa...

Lakini kwa bahati mbaya sana, kuna wageni wenye asili ya Asia wamekuwa waki record mtindo wao wa maisha na ku label kama Watanzania...

Ni video zenye komenti nyingi sana za wageni, yani hadi kufika comment 20k, na wote wanaona kama hao sio watu ni wanyama..

Wakishauliza wapi, jibu ni Tanzania...

Hiyo account inaitwa Our traditional tribe... Mbaya sana, hakuna cha kujivunia ni kudhalilisha hiyo jamii, lakini zaidi kwa watu ambao hawajawahi fika Africa, wanaweza dhani watanzania tunaishi hivi....

Hata kama ni utamaduni, mbona jamii ya Kimasai inarecodiwa kwa mazuri?

Tunaweza control kipi cha ku record na kipi si cha ku record..

Mheshimiwa sana ndugu Waziri hapana, hili lipo kwenye uwezo wako...
Kwani Wahadzabe si Watanzania?
 
Huu ndiyo utamaduni halisi wa mtu wa bara la Afrika kusini mwa jangwa la Sahara mambo ya kuiga kutoka bara Mashariki ya kati na ulaya siyo tanaduni zetu.

Congo, Nigeria, Ghana, Afrika ya Kati, Sudan, Ethiopia, Tanzania, Kenya, Namibia n.k watu kula panya, konokono, kima ( siyo pilau), mamba, kiboko, senene, funza, papa wa kuchoma aliyevundikwa n.k ni jambo la kawaida kufuatana na nyama protein inatopatikana katika maeneo husika inayowajenga kimwili na kiakili wasiopate utopiamlo kwashakoo au vitambi viriba vya bia za viwandani.

Mazingira huunda utamaduni, mila, ufundi wa ku survive kutoka kizazi kimoja hadi kingine hawana tofauti na wa Eskimo wa Greenland au Sámi wa Filand, Mongol wa Mongolia, wa Japani wa Japan n.k


View: https://m.youtube.com/watch?v=VoXbDhDEgdg


View: https://m.youtube.com/watch?v=H2L51J_6SWM&pp=ygUMTW9uZ29sIGhvcnNl
 
Basata Kazi Yao kufungia nyimbo tu badala hata wafungie aina hii ya content zinazoidhalilisha Tanzania, wenyewe wapo wamelala nchi inavuliwa nguo.
 
Ndugu Waziri Salam,

Kuna video za jamii ya Wahadzabe zinazoishi maisha ya kijima porini, na ni jamii "duni" kulingana na mfumo wa maisha wa kisasa...

Lakini kwa bahati mbaya sana, kuna wageni wenye asili ya Asia wamekuwa waki record mtindo wao wa maisha na ku label kama Watanzania...

Ni video zenye komenti nyingi sana za wageni, yani hadi kufika comment 20k, na wote wanaona kama hao sio watu ni wanyama..

Wakishauliza wapi, jibu ni Tanzania...

Hiyo account inaitwa Our traditional tribe... Mbaya sana, hakuna cha kujivunia ni kudhalilisha hiyo jamii, lakini zaidi kwa watu ambao hawajawahi fika Africa, wanaweza dhani watanzania tunaishi hivi....

Hata kama ni utamaduni, mbona jamii ya Kimasai inarecodiwa kwa mazuri?

Tunaweza control kipi cha ku record na kipi si cha ku record..

Mheshimiwa sana ndugu Waziri hapana, hili lipo kwenye uwezo wako...
Mbona naona hakuna shda,Kuna movie moja ya apolicapto ilichezwa sjui Brazil, mbona ilkua nzur tuu na wamecheza kitamadun kabsaa
 
Kichwa cha uzi kinapotosha. Ni kama waziri wa Maliasili ndiye anayeuliza swali.

Ila ujumbe wako umefika.
 
Ndugu Waziri Salam,

Kuna video za jamii ya Wahadzabe zinazoishi maisha ya kijima porini, na ni jamii "duni" kulingana na mfumo wa maisha wa kisasa...

Lakini kwa bahati mbaya sana, kuna wageni wenye asili ya Asia wamekuwa waki record mtindo wao wa maisha na ku label kama Watanzania...

Ni video zenye komenti nyingi sana za wageni, yani hadi kufika comment 20k, na wote wanaona kama hao sio watu ni wanyama..

Wakishauliza wapi, jibu ni Tanzania...

Hiyo account inaitwa Our traditional tribe... Mbaya sana, hakuna cha kujivunia ni kudhalilisha hiyo jamii, lakini zaidi kwa watu ambao hawajawahi fika Africa, wanaweza dhani watanzania tunaishi hivi....

Hata kama ni utamaduni, mbona jamii ya Kimasai inarecodiwa kwa mazuri?

Tunaweza control kipi cha ku record na kipi si cha ku record..

Mheshimiwa sana ndugu Waziri hapana, hili lipo kwenye uwezo wako..tourists

Ndugu Waziri Salam,

Kuna video za jamii ya Wahadzabe zinazoishi maisha ya kijima porini, na ni jamii "duni" kulingana na mfumo wa maisha wa kisasa...

Lakini kwa bahati mbaya sana, kuna wageni wenye asili ya Asia wamekuwa waki record mtindo wao wa maisha na ku label kama Watanzania...

Ni video zenye komenti nyingi sana za wageni, yani hadi kufika comment 20k, na wote wanaona kama hao sio watu ni wanyama..

Wakishauliza wapi, jibu ni Tanzania...

Hiyo account inaitwa Our traditional tribe... Mbaya sana, hakuna cha kujivunia ni kudhalilisha hiyo jamii, lakini zaidi kwa watu ambao hawajawahi fika Africa, wanaweza dhani watanzania tunaishi hivi....

Hata kama ni utamaduni, mbona jamii ya Kimasai inarecodiwa kwa mazuri?

Tunaweza control kipi cha ku record na kipi si cha ku record..

Mheshimiwa sana ndugu Waziri hapana, hili lipo kwenye uwezo wako...
Tourst walio wengi wanapenda kuona vitu tofauti sasa mtalii akija tz akamleta masaki au oystebay hatoona tofauti kwa hiyo inabidi kum expose kwenye mazingira tofauti ili acne utafauti na hizi culture nazo ni part of tourism attraction.
 
Video za wahadzabe zipo nyingi sana mkuu.

Mtandaoni ili upate views nyingi lazima uweke kitu controversial, chenye utata aidha kichukize sana watu au kishangaze.

Travel youtubers wengi wanapenda kurecord hizo jamii za aina hiyo na sio africa tu kwa sababu hiyo.

Wapo wanaochukia, wapo wanaovutiwa, comment zote haziwezi kuwa negative.

Umesema wamaasai wanasemwa kwa mazuri nakumbuka video moja mzungu kajirekodi anakunywa nao damu kuna watu walicomment vibaya pale.

Ni marketing nzuri, hizo hasara zinapuuzika.

Hii kesi ni kama ile ya trophy hunting, tunalalamika wazungu wanaruhusiwa kuua wanyamapori lakini hatufikirii kwamba wanalipia.

Cheki hii ina 53M views, unataka kuniambia ni hasara?
1732183248399.png


Na hao wazungu watakuwa wanalipia sidhani kama ni bure.
 
Back
Top Bottom