Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni upo 'serious' kweli katika Kupambana na Ajali za Barabarani nchini Tanzania?

Kama unafuata sheria na utaratibu stress inatoka wapi?
Barabara Haina mvukaji, ni jumapili Kuna kibao Cha watoto WA shule, dereva anaendesha Kwa taadhari Kwa speed 55kpm, polisi anazuka na kukukamata na kujenga Mazingira ya kupata chochote huoni dereva anaongezewa stress!?
 
Barabara Haina mvukaji, ni jumapili Kuna kibao Cha watoto WA shule, dereva anaendesha Kwa taadhari Kwa speed 55kpm, polisi anazuka na kukukamata na kujenga Mazingira ya kupata chochote huoni dereva anaongezewa stress!?
Hauwezi kukamatwa kama hauna kosa.

Ukiona una stress maana yake umevunja sheria.

Askari hawezi kukukamata kama hauna kosa.
 
Eti Mbezi Beach. Mbezi Beach ya Tarime sio? . Umezaliwa Bunda vijijini, umekulia Bunda vijijini na unaishi Bunda vijijini. Kama kuna jiji kubwa ulilowahi kufika basi itakuwa ni Mwanza mjini ambako nako hujakaa Zaidi ya mwezi mmoja...

Uhalisia wako unanisaidia nn mm ?

U live in denial mkuu. Yani hutaki kuukubali ukweli wako kwamba wewe ni wa kijijini?

Something must be missing in ur head
 
Kuna wakati mwingine unaweza hata kutamani yule mzee aliyekua anakata mauno majukwaani kuna baadhi ya vitu aliviweza ila kwasababu ndio watu wenyewe hawa wa michongo endeleeni kuvumilia tu , nyama mtazikuta chini kunyweni kwanza mtori
Kama Ile kupigwa marufuku upigaji WA speed torch Kwa nyuma ya Gari umepunguza sana wigo WA rushwa!! Sasa imetokea tabia ya kupigwa picha kibao Cha kumalizia 50kph na kulazimishia na kuchukulia kama ushahidi WA anayeingia kwenye 50kph, ila kibao Cha kuingia kinakuwa hakionekani, Sasa wanalazimisha uwe kwenye 50kph kabla hujaingia ndani ya eneo takiwa, hii ipo Kilimanjaro Mwanga, na njia yote chalinze segera, Ila Mwanga ni tatizo kubwa@DC
 

Hamad Masauni kwao ni visiwani, huku bara hata mkaisha wote hana hasara.​

Tangu lini waziri wa mambo ya ndani akatoka visiwani kama hii sio shida imeingia Tanganyika?​

Kumbe wewe hujui kuwa wizara hii ni moja ya mihimili ya muungano. Mawaziri wengi toka zamani walikuwa ni Wazanzibar kama Moyo, Mwinyi, Natepe, Salmin, Mapuri, Vuai na wengineo.
 
Hata mimi nilisikia hilo jana.
Ati Waziri wa Mambo ya ndani anawaomba wamiliki wa mabasi....." tafazwali rudisheni yakhe zile sphidhi gavana atii, ndani ya miezi sita......."
Nikacheka tu, nikajiuliza is this guy serious?
 
Hata mimi nilisikia hilo jana.
Ati Waziri wa Mambo ya ndani anawaomba wamiliki wa mabasi....." tafazwali rudisheni yakhe zile sphidhi gavana atii, ndani ya miezi sita......."
Nikacheka tu, nikajiuliza is this guy serious?
Waziri ameangalia chanzo Cha ajali, Gari inagongana uso Kwa uso kukwepa pikipiki speed governor inahusika!? Poor over taking speed governor inahusika !? Lorry linakosa break mtelemko mkali speed governor inahusika!?
Tumuache waziri ashirikiane na wataalamu WA wizara
 
kwa tanzania hakuna basi linalotumia speed govenor,kilichofanyika kwenye mabasi wamefunga tu vts ambazo zinasoma speed ya gari inapokuwa safarini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…