Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni upo 'serious' kweli katika Kupambana na Ajali za Barabarani nchini Tanzania?

Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni upo 'serious' kweli katika Kupambana na Ajali za Barabarani nchini Tanzania?

hii ligi haikuhusu mkuu. Just mind ur own businesses.

Don't take it seriously. I think ur smarter than that.

Tuache tuenjoy vituko vya Popoma.

# don't reply me plz
Mkuu with due respect,hii thd ni serious thd inahusu uhai wa binadamu,najua JF kuna jokes but kwenye thd kama hii sidhani kama ni jambo la busara,ndio maana nikakwambia kuwa "Ni ushauri tu,ukikupendeza uchukue,na ukiona haukufai achana nao" But kumbuka kua ajali haichagui mtu,kabila,rangi ya ngozi wala eneo analoishi.
 
Yaani Waziri Masauni umeshakiri Mwenyewe kuwa Wamiliki wa Mabasi ya Mikoani kwa Makusudi wameondoa 'Spidi Gavana' katika Mabasi ya hali inayopelekea Madereva Wao kwenda Mwendo Kasi na Kusababisha Maafa (Ajali) zinazoua Watanzania na kuwapa Ulemavu wa kudumu halafu Wewe unawapa 'Ultimatum' ya miezi Sita (6) Kurejesha hizo 'Spidi Gavana' badala ya kuwapa Siku Saba (7) tu zijazo.

Kwahiyo Waziri Masauni kwa Lugha nyepesi hapa ni kama vile Umeshatoa ruhusa ya Watanzania Kuuwawa (Kuuliwa) na Madereva wa Mabasi ya Mikoani kwa Miezi Sita (6) ijayo na baada ya hapo ndipo mtawaonea Huruma kwa kuanza Kuwajali kwa Ustawi wao wawapo Safarini.

Hivi nyie Mawaziri baadhi yenu Vichwani mwenu (hasa Kiakili) mpo sawa sawa kweli au labda mnahitaji Tiba ya haraka Hospitali za Mirembe (Dodoma) na Lutindi (Tanga) kutokana na Kauli zenu na Maamuzi yenu yasiyovumilika kutokana na kuwa ni ya 'Kiudhaifu' zaidi?

Kuna Waziri Mwenzako wa Maji Jumaa Aweso nae Wiki Mbili nyuma alimsifia kweli kweli Boss Mkuu wa DAWASA Cyprian Luhemeja mbele ya Rais Samia huko Chalinze huku akimnadi kuwa ndiyo Mfanyakazi Bora wa mwaka na Jana tu katika Ripoti ya CAG Taasisi yake imekutwa na 'Madudu' ya 'Ubadhirifu' ya karibia Tsh Milioni 800 kwa Kuwadhulumu Watanzania hasa katika Usomaji Hewa wa Mita zao za Maji huko Majumbani mwao.

Waziri Masauni labda nikuambie tu Wewe pamoja na Boss wako Mkuu na Watendaji Wenzako (hasa Mawaziri) kuwa Watanzania tunajitahidi mno Kumsahau Hayati Rais Dkt. Magufuli, ila kwa huu Upuuzi wenu, Maamuzi yenu na Utendaji wenu wa hovyo hovyo ndiyo mnatufanya Watanzania (akina GENTAMYCINE) kila mara tuwe si tunamkumbuka bali pia tumlilie sana Rais Hayati Dkt. Magufuli kutokana na Utendaji wake uliokuwa ni wa Kutukuka na wa Kishujaa zaidi.

Haya Madereva wa Mabasi ya Mikoani na Wamiliki wa Mabasi ya Mikoani jitahidini sasa mtuue kwa Ajali za Mwendo Kasi kwani tayari Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni ameshawapeni ruhusa ya Miezi Sita (6) na hata wale ambao bado Mabasi yenu yana Spidi Gavana mlizofunga mnaweza sasa mkazing'oa tu ili mtuue kwa Mwendo Kasi ndani ya Miezi Sita (6) ijayo na baada ya hapo (mkishashiba Damu zetu na Viungo vyetu) mtazirejesha kama mlivyoagizwa na Waziri.

Halafu akina GENTAMYCINE na Watanzania wengine baadhi wanaojua Kufikiri na Kuona mbali (kwa Kubarikiwa na Mwenyezi Mungu) wakiwakosoa kwa nia ya Kuwajenga na kuwapeni Fursa ya Kujitathmini mnatuchukia, mnatuona ni Wapinzani, tunatumwa na Mabeberu, tuna Chuki Binafsi nanyi na mpaka mnatamani tupotee tu kabisa duniani.

Kwa wale mnaopenda kujua Maamuzi haya ya 'Kipuuzi' ya Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni nimeyasikia wapi ni kwamba nimeyasikia hivi punde tu kutoka katika Kipindi kizuri cha Nipashe kutoka Radio One ambapo Mtangazaji wa Zamu leo ( Alhamisi ) alikuwa ni Mtangazaji Mahiri na Makini Maulid Kambaya.
Yes wapo serious...wameanza ukaguzi wa stika za nenda kwa usalama kwenye vyombo vya moto. 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mkuu with due respect,hii thd ni serious thd inahusu uhai wa binadamu,najua JF kuna jokes but kwenye thd kama hii sidhani kama ni jambo la busara,ndio maana nikakwambia kuwa "Ni ushauri tu,ukikupendeza uchukue,na ukiona haukufai achana nao" But kumbuka kua ajali haichagui mtu,kabila,rangi ya ngozi wala eneo analoishi.
K
 
Huyo jamaa anaona mtu kuishi Dar au kua umefika Dar basi ndio maisha umesha yapatia,point yake kile thd ni kukusakama kuhusu Dar! hiyo pia ni aina ya racism,watu wapo mbele mbona but hawamtambii mtu? yaani unamjadili mtu kuhusu kufika Dar au kutokufika? serious kweli? unaacha kujadili thd inayohusu uhai wa binadamu unamshambulia mleta mada kufika Dar au kuishi Kijijini? haya ni maajabu aisee.
Sitaki kusema Uhalisia wangu wa Kimaisha ( ambao Yeye ndiyo Kutwa ) anahangaika kutaka Kuujua na kumuonyesha kuwa sipo hivyo anavyonidhania Yeye au anavyodanganywa ( alivyodanganywa ) nimemtajia Mtu ambaye ananijua vyema, anaijua Familia yangu na mpaka nilipokulia ambaye ni JamiiForums Founder na Mtani wangu wa Kihaya Maxence Melo bila kumsahau na Mdogo wangu wa damu kabisa steveachi na Jirani yangu mkubwa katika Mji mwingine wa Familia Mbezi Beach aitwae Bujibuji Simba Nyanaume na wengine Wachache ambao kwa Unyeti wa Nafasi zao nawahifadhi ila ID hii wanaijua na wananijua Physically.

Wengine hatujakuzwa katika Tabia za Kujitapa, Kujionyesha au Kujisifia hovyo ( sometimes ) Kiuwongo na Kweli hapa JamiiForums kama ambavyo Watu wengi wanapenda Kufanya hivyo bali tumekuzwa katika kuishi Maisha ya Kawaida na Kuridhika na kilichopo au na hali uliyonayo.

Na siyo kwamba nachukia Maisha ya Vijijini ( tena ndiyo huwa nayapenda ) kwani yananifanya niweze kujua zaidi Changamoto za Kwetu huko Butuguri ( Wilayani Butiama ) kwa Wazanaki ili basi na Mimi huko mbeleni Mwenyezi Mungu akina Baraka za Kiuchumi niweze Kuwasaidia na Kuwainua Ndugu zangu Wapendwa wa huko na hata wa Mkoa mzima wa Mara ( Musoma ) ambako ndiyo Asili yangu.

Wa Kijijini ( Mshamba ) nimeshamaliza Kufafanua nawasubiri wa Mjini Masaki na Oysterbay na Matajiri wa JamiiForums nzima waje na waendelee Kunidhihaki ili wafurahishe Nafsi zao huku Wakijidanganya na Wakidanganyana pia.

Natural Charm yangu inawatesa Wengi.
 
hii ligi haikuhusu mkuu. Just mind ur own businesses.

Don't take it seriously. I think ur smarter than that.

Tuache tuenjoy vituko vya Popoma.

# don't reply me plz
Unanipiga BAN Saa ngapi? Wajibu Members.
 
Mkuu with due respect,hii thd ni serious thd inahusu uhai wa binadamu,najua JF kuna jokes but kwenye thd kama hii sidhani kama ni jambo la busara,ndio maana nikakwambia kuwa "Ni ushauri tu,ukikupendeza uchukue,na ukiona haukufai achana nao" But kumbuka kua ajali haichagui mtu,kabila,rangi ya ngozi wala eneo analoishi.
Katumwa huyo ili Lengo lao Kuu litimie.
 
Kwahiyo ulitaka nisikilize Unavyokazwa au?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila nimekuonea bure Tu wewe unaishi kijijini unastahili kusikiliza redio.

But on a serious note hivi Redio One wanasikika Bunda?
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila nimekuonea bure Tu wewe unaishi kijijini unastahili kusikiliza redio.

But on a serious note hivi Redio One wanasikika Bunda?
Inasikika zaidi Makalioni mwako hasa pale ukitokwa na Kinyesi.
 
Back
Top Bottom