jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Kwanza saccos hii imejaa watumishi wazembe na wasio na hekima katika muktadha wa huduma kwa wateja.
Askari hasa wa mikoani huwalazimu kutoa hadi rushwa ya zaidi ya milioni ili tu wasaidiwe kupata nyaraka muhimu kwa mfano zinazohusu mikopo.
Kama huna rushwa ya kuanzia laki tano na kuendelea sahau kupata huduma hasa ukiwa askari wa nje ya Dar es Salaam.
Kuna jamaa yangu leo ni mwezi wa pili unaenda hajajibiwa email yake aliyoituma ili aweze kupata mkopo benki ya Nmb kwa sababu hana pesa ya kuhonga.
Waziri Simbachawene shitukiza kwenye ofisi za hiyo saccos ili ujione lundo la nyaraka za askari wa mikoani wasiojibiwa hata kwa nyaraka ambazo ilibidi ziwe zinajibiwa ndani ya dakika 5.
Askari hasa wa mikoani huwalazimu kutoa hadi rushwa ya zaidi ya milioni ili tu wasaidiwe kupata nyaraka muhimu kwa mfano zinazohusu mikopo.
Kama huna rushwa ya kuanzia laki tano na kuendelea sahau kupata huduma hasa ukiwa askari wa nje ya Dar es Salaam.
Kuna jamaa yangu leo ni mwezi wa pili unaenda hajajibiwa email yake aliyoituma ili aweze kupata mkopo benki ya Nmb kwa sababu hana pesa ya kuhonga.
Waziri Simbachawene shitukiza kwenye ofisi za hiyo saccos ili ujione lundo la nyaraka za askari wa mikoani wasiojibiwa hata kwa nyaraka ambazo ilibidi ziwe zinajibiwa ndani ya dakika 5.