Waziri wa Mambo ya Nje China: “Mkakati wa Indo Pasifiki” wa Marekani utashindwa tu

Waziri wa Mambo ya Nje China: “Mkakati wa Indo Pasifiki” wa Marekani utashindwa tu

Aliapa kumlinda Ukraine na pia alisema endapo Russia ataivamia Ukraine Basi boma la gasla midstream 1 alitakuwepo kwenye ardhi ya Ukraine hayo yametimia[emoji848]? Usidhani china au urusi ni Kama msumbiji au Congo unification ya china[PRC] na Taiwan[ROC ] itafanyika na hakuna kitu U.S.A atafanya Kama china anvyojenga visiwa artificial na U.S.A hakuna kitu anafanya zaidi ya kuropoka ropoka Kama malaya Malaya tu
Hao wavimba macho ni wanafiki wa kupindukia nadhani hata Kremlin hawakuamini macho yao kuwaona wamemute pale UN,eti US hakuna kitu atafanya sasa China kinamshinda nini kwenda Taiwani anabaki kubwata bwata kama mbwa koko.
 
Kwa hio hao waliopiga kura ya wazi wameisadia nini Russia kushinda China na India ambao hawajapiga kura ya wazi[emoji848]?
Tunaongelea Unafiki wa wavimba macho hapa.Wamekuwa wanafiki kwa kiwango cha SGR kisa wamemuogopa bwana mkubwa Us,vinginevyo soko la US/Ulaya ingebaki historia,kashindwa msuport rafiki yake kisa anajua hana msaada sana kwenye uchumi wake,akaishia kufyata mkia kwenye kupiga kura.
 
Unapaswa ufahamu unification ya Taiwan[ROC] na China mainland [PRC] kwa nini haifanikiwi mpaka sasa ? 😁 Wale wanabifu toka mda paka wakapigana wenyewe kwa wenyewe 1949 ndio ikazaliwa Republic Of china [ROC /Taiwan Kisiwa] na ikazaliwa pia People's Republic of China [PRC /china mainland] kwa hio sio rahisi Kama unavyodhani
Hao wavimba macho ni wanafiki wa kupindukia nadhani hata Kremlin hawakuamini macho yao kuwaona wamemute pale UN,eti US hakuna kitu atafanya sasa China kinamshinda nini kwenda Taiwani anabaki kubwata bwata kama mbwa kok
 
Ni

Ni Wewe pekee ndio unaichukulia china poa mmulize U.S.A kuhusu Korean war Nani alimpa support Korea mpaka U.S.A akakimbia Kama sio iyo china ya Mao Zedong waliopeleka jeshi Korea nchi pekee iliyopewa jukumu la kuilinda kwa silaha na kwa wanajeshi toka utawala wa Mao ni North Korea siku U.S.A avamie Kama utaona china atakaa kimya
[/QUOTE
Ni USSR ndio iliisaidia North Korea kwa kiwango kikubwa
 
Kashindwa kumsupport kivipi wakati kiteknolojia kipingi hiki cha vikwako kampuni ya china Huwawei inamsupport Russia, kibank na kimfumo wa kifedha china Ina msupport Russia kupitia CIPS na union pay,gas ,makaa ya mawe,mafuta na ushirikiano wa kibiashara wa china na Russia umeongezeka wakati huu wa vikwazo😁
, Tunaongelea Unafiki wa wavimba macho hapa.Wamekuwa wanafiki kwa kiwango cha SGR kisa wamemuogopa bwana mkubwa Us,vinginevyo soko la US/Ulaya ingebaki historia,kashindwa msuport rafiki yake kisa anajua hana msaada sana kwenye uchumi wake,akaishia kufyata mkia kwenye kupiga kura
 
Kitu alichofanya China Cha undumilakuwili kwa Russia kitamponza Sana. Na hapo awe makini wote tunajua mwenye uwezo wa kumpiga Mrusi kwa mapigo mazito ni Russia tu na mwenye uwezo wa kumpiga Russia kwa mapigo mazito ni Marekani tu. Marekani ataipiga China ili kuzuia Hilo akubali tu yupo kwenye ligi nene aweke ukaribu wa kijeshi na Russia
Unataka China aiunge mkono Russia kwenye maslahi binafsi ya Russia. Unadhani mataifa huwa yanaendeshwa kienyeji hivyo? Soma hata Suez crisis ambavyo Marekani ilijikataa mbele ya Uingereza na Ufaransa, na Ufaransa ikajikataa mbele ya Uingereza mwishoni UK ikabaki yenyewe kwenye mgogoro na Egypt na hatimaye wakakubali Suez iwe mali ya Egypt.

Hakuna taifa lenye akili dunia hii linaenda kwa mkumbo. Sio kama Nyerere na matakwa yake binafsi eti Obote kapinduliwa Uganda, yeye anampa assylum hapa bongo na anakaribisha makamanda wake kupanga mashambulizi dhidi ya Iddi Amin. Tangu Otto von Bismarck awakutanishe waigawe Afrika hawakurupuki kuunga mkono lolote la rafiki yako. Ukiona wameungana ujue kuna calculations na kila mmojawapo anajua maslahi ya mwenzake. China hana maslahi na mgogoro wa Ukraine wala hafaidiki kitu. Yani akose kufanya exportation na abaniwe high end technologies kisa Russia?

Russia sio mara ya kwanza kupigana, tangu Soviet Union wamepigana Afghanistan na Mchina anawatazama, wamevunja muungano yupo, wamepigana na ugaidi ndani ya Chechnya yupo, wamepigana Georgia, wakaja kuitambua Southern Ossetia hadi annexation of Crimea kote uko Mchina yupo anawatazama. Leo hii ashiriki kwenye uvamizi wa Ukraine ili agundue nini, faida gani atapata. China ni optimistic na hawakurupuki, ile CCP wanajua madhara ya sanctions na vita kote uko wamepitia.

Uzuri China wanajua bado hawana nguvu, they are waiting for the right time. Na hawana mpango wa kuivamia Taiwan ambapo 40% ya semiconductors zote duniani ndio zinatoka. Wanavumilia co-existence waliyonayo wala Taiwan haina uwezo wa kuivamia China. Wanakaa kimachale labda Marekani ianze yenyewe ila sio wao.
 
Kashindwa kumsupport kivipi wakati kiteknolojia kipingi hiki cha vikwako kampuni ya china Huwawei inamsupport Russia, kibank na kimfumo wa kifedha china Ina msupport Russia kupitia CIPS na union pay,gas ,makaa ya mawe,mafuta na ushirikiano wa kibiashara wa china na Russia umeongezeka wakati huu wa vikwazo[emoji16]
Ndiyo maana nikakwambia China anakunjua mbawa zake pale anapoona ana maslahi tu na Russia,hivi ni nini kilimshinda kuside na Russia pale UN?
 
Kitu alichofanya China Cha undumilakuwili kwa Russia kitamponza Sana. Na hapo awe makini wote tunajua mwenye uwezo wa kumpiga Mrusi kwa mapigo mazito ni Russia tu na mwenye uwezo wa kumpiga Russia kwa mapigo mazito ni Marekani tu. Marekani ataipiga China ili kuzuia Hilo akubali tu yupo kwenye ligi nene aweke ukaribu wa kijeshi na Russia
Alisikika Mlevi mmoja wa Tandahimba Akisema
 
Na
Unataka China aiunge mkono Russia kwenye maslahi binafsi ya Russia. Unadhani mataifa huwa yanaendeshwa kienyeji hivyo? Soma hata Suez crisis ambavyo Marekani ilijikataa mbele ya Uingereza na Ufaransa, na Ufaransa ikajikataa mbele ya Uingereza mwishoni UK ikabaki yenyewe kwenye mgogoro na Egypt na hatimaye wakakubali Suez iwe mali ya Egypt.

Hakuna taifa lenye akili dunia hii linaenda kwa mkumbo. Sio kama Nyerere na matakwa yake binafsi eti Obote kapinduliwa Uganda, yeye anampa assylum hapa bongo na anakaribisha makamanda wake kupanga mashambulizi dhidi ya Iddi Amin. Tangu Otto von Bismarck awakutanishe waigawe Afrika hawakurupuki kuunga mkono lolote la rafiki yako. Ukiona wameungana ujue kuna calculations na kila mmojawapo anajua maslahi ya mwenzake. China hana maslahi na mgogoro wa Ukraine wala hafaidiki kitu. Yani akose kufanya exportation na abaniwe high end technologies kisa Russia?

Russia sio mara ya kwanza kupigana, tangu Soviet Union wamepigana Afghanistan na Mchina anawatazama, wamevunja muungano yupo, wamepigana na ugaidi ndani ya Chechnya yupo, wamepigana Georgia, wakaja kuitambua Southern Ossetia hadi annexation of Crimea kote uko Mchina yupo anawatazama. Leo hii ashiriki kwenye uvamizi wa Ukraine ili agundue nini, faida gani atapata. China ni optimistic na hawakurupuki, ile CCP wanajua madhara ya sanctions na vita kote uko wamepitia.

Uzuri China wanajua bado hawana nguvu, they are waiting for the right time. Na hawana mpango wa kuivamia Taiwan ambapo 40% ya semiconductors zote duniani ndio zinatoka. Wanavumilia co-existence waliyonayo wala Taiwan haina uwezo wa kuivamia China. Wanakaa kimachale labda Marekani ianze yenyewe ila sio wao.
Nadhani watu hawafahamu kuhusu china na namna anavyochukuwa ya liyowahi kuwa maeneo yake through diplomacy hawataona hata bomu wala risasi ikitua Taiwan hapo mchezo utakao chezwa ni through one country two systems Kama walivyofanya kwa Hong Kong na Macau
 
Utajaribu kwa kila namna kujaribu kuupamba usaliti wa China kwa mshirika wake mkuu lakini ukweli utabaki,china kamnafikia Russia katika hili.Hayo mengine uliyosema ni vile China anafaidika nayo ndiyo maana akaside nae.Pale UN ndipo palikuwa mahali sahihi pa kuonyesha msimamo wake na siyo kukaa kimya akitaka asiwaudhi US na Western Europe maana kule ndipo anapategemea kama soko lake kuu.Russia na China wana urafiki wa mashaka.
China it seems hakubaliani na wazo la Russia kuvamia Ukraine. China majirani zake South Korea na Japan wana majeshi ya Marekani hapo naye hataki. Alichokifanya Russia ni kuamini China kwamba lolote tunalofanya watatuunga mkono, na hata hivyo hakuna mabadiliko yangetokea maana sio kila resolution ya UN hutimizwa. China ina malengo yake kiuchumi na yanategemea dunia nzima hasa hao Westerns ambao ndio wenye purchasing power kubwa na technology nzuri wakimiliki patents nyingi. Kuachana na uchumi kukimbilia ugomvi wa kununua ni maamuzi ya ovyo.

China inaielewa vizuri Russia, wenzake wanakua kiteknolojia na uwekezaji yeye yuko busy na kuuza makaa ya mawe na gesi uko. Hata UAE nowadays iko busy kwenye defence investments, Qatar wana sovereign wealth fund wanawekeza nje kufanya diversification. Russia yuko busy na ama bidhaa za kuchimba kama gesi ama za kilimo kama ngano na mbao. China anategemea manufacturing zaidi, cha kufia nini eti aunge mkono operation ya Ukraine
 
Ni unafki mkubwa alofanya china, ile vita wakati inaanza kati ya ukraine na russia, china akatoa msaada wa dollar kadhaa kwenda ukraine.
Unafahamu nini kuhusu msaada wa kiraia ambao china alitoa🤔? Unafahamu pia Russia ilitoa msaada wa kiraia Ukraine 🤔?
 
Aliapa kumlinda Ukraine na pia alisema endapo Russia ataivamia Ukraine Basi boma la gasla midstream 1 alitakuwepo kwenye ardhi ya Ukraine hayo yametimia🤔? Usidhani china au urusi ni Kama msumbiji au Congo unification ya china[PRC] na Taiwan[ROC ] itafanyika na hakuna kitu U.S.A atafanya Kama china anvyojenga visiwa artificial na U.S.A hakuna kitu anafanya zaidi ya kuropoka ropoka Kama malaya Malaya tu
Wewe hujui hata unachoongea, China si aivamie basi Taiwan anasubiri nini miaka yote.

Some people only talking under the influence of the cannabis sativa.
 
Wewe hujui hata unachoongea, China si aivamie basi Taiwan anasubiri nini miaka yote.

Some people only talking under the influence of the cannabis sativa.
Sawa bwana umeshinda 🙌😁 Ila ningependa ufatilie kwanza kuhusu civil war of China 1949 mpaka kuzaa RPC na ROC alafu ufatilie Sasa ishu ya Taiwan Unification au RPC na ROC unification ni hayo tu
 
Back
Top Bottom