Uchaguzi 2020 Waziri wa Mambo ya Nje Sweden: Misingi ya kidemokrasia lazima ilindwe

Ni wao mimi 200 yangu inanitosha sina shida....tusilazimishane shida asee kwani kutokua na shida ni kumiliki maghorofa mimi hiihii 200 yangu maisha murua tusilazimishane shida pambaneni na hali zenu
 
Hata masikini licha uelewa Mdogo hawakuichagua CCM kabsa, vijijini wana changamoto nyingi kupitia mikutano ya kampeni walizinduka sana wakaikataa CCM, kilichofanyika ni uchakachuaji wizi wa kura kwani watanzania wenye Akili timamu wote hawakuichagua CCM kabsa, CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
Ni wao mimi 200 yangu inanitosha sina shida....tusilazimishane shida asee kwani kutokua na shida ni kumiliki maghorofa mimi hiihii 200 yangu maisha murua tusilazimishane shida pambaneni na hali zenu
Wewe ni mnufaika wa blackmail ndiyo maana huna shida maana kwenye tabu mateso wanufaika ni wale watekelezaji udhalimu
 
Shida mnaziona nyie mimi sina shida na sioni shida huko mbeleni nipo nafanya yangu ....shida zako usizilazimishe kwa wengine.....unadhani kila mtu humu ana maisha ya kuunga unga kama yako
Hakuna shida. Watamzania walio wengi wamepata mabadiliko chanya
minyoo matajiri na wafanyabiashara wengi wakubwa na hata makampuni walizoea kutumia nguvu ya pesa kukiuka taratibu.
Ukikaa na wanaodai kubambikiwa kodi watakuambia walivyokua wanakwepa kodi hapo awali kwa kutumia watendaji wasiokua waadilifu kwenye vyombo vya serikali. Wengi wao sasa wanafanya malipizi ya walichokwepa kulipa hadi 5,6,7,8 years ago.
Regulators nao walikua hawana meno, sasa wanawajibishwa na kuwajibika ipasavyo na sio kwamba wanatuonea

Follow the rules my friend is the only way utakuwa safe...
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za walipa kodi zote zinatumika kudidimiza demokrasia kuwahujumu kuwadhoofisha chadema kuua upinzani warejeshe mfumo wa chama kimoja badala ya maendeleo, hata tuvimaendeleo kiduchu twa SGR flyover bwawa la umeme ununuzi wa Ndege tumejaa 10% na ufisadi mkubwa mno, CCM ni ile ile ukoo wa panya, Ndungai kapiga bilion 12 peke yake, zimepigwa trilion 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara kukwepa Aibu hawana mfano wa kuigwa kwani ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ni ufisadi mwingine mkubwa.
 
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium? Bila wewe kumpiga risasi asingejuana na Amsterdam, huoni kuwa njama zako na za cyprian Musiba na wenzenu kutaka kumuua ndizo zimemfikisha hapo

Tundu amekua akifanya kazi na kina amstadamu kwa miaka kabla ya kukutwa na tukio la kupigwa risasi

Kuhusu Mimi, Bashite, Musiba sitakujibu sababu ni maneno tuu uliyojiskia kuropoka kwangu ila ningekushauri upeleke ushahidi popote pale unapoamini ilk sheria ichukue mkondo wake
 
Uonevu upo mwingi mno ndiyo maana pesa ikakosa baraka mmeshindwa kuwapa nyongeza za mishahara watumishi wa umma kwa mda wa miaka mitano kwani pesa nyingi inatumika kudidimiza demokrasia
 
Polisiccm na mahakamaccm ni vyombo vyako binafsi watapokea ushahidi kwa boss wao kutuhumiwa? Acha uzushi na huo uzushi wenu ndiyo umewafanya watanzania wakawanyima kura ndipo mkatumia wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm kupora haki za wapiga kura na kujisimika ikulu kienyeji kwa njia haramu za kishetani
 
Kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa mengi Ulimwenguni kwani badala ya kutumia pesa nyingi kukandamiza demokrasia wangetumia kuleta maendeleo makubwa kujenga barabara nzuri kila kona ya Nchi kuanzia vijijini mpa wilayani mikoani, kujenga vyuo vikuu kila wilaya, Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa kila mkoa, kujenga daraja toka DSM mpaka Zanzibar na pemba na mengineyo muhimu na ya msingi zaidi, pengine kipindi hiki makao makuu ya vitu vingi nyeti yangeweza kuwa Tanzania, lakini chini ya CCM uchumi unazidi kuvurugika wafanyabiashara wengi wanakimbilia kenya Uganda Zambia kenya ambapo Benk kuu za huko haziwadhulumu pesa zao kama BOT ambayo imewapora wafanyabiashara wengi pesa zao kisha kuwatishia kuwabambikia kesi za utakatishaji fedha .
 
Wanautafutia makumbusho mahala wauweke, vizazi vijavyo kote duniani vitakuwa vinakuja kuushangaa.
Uchaguzi wa Trump hauoni ulivyo na kura nyingi fake TENA KARIBU YAO.
 
Wazungu wanaipenda Tanzania kuliko hata mawaziri wa Magufuli.
 
Huyo balozi hata comments za waswiden wenzake wanamponda:
Mmoja kasema: Same problem in Tanzania as in Sweden!! Ha ha ha Lissu hawana uwezo wa kukupa urais hao
 
🎢🎼🎡🎡πŸ₯Naapa na naahidi mbele ya fundi25 Tanzania nitakulinda mpaka kufa 🎺🎸🎢🎢🎡🎡

☺☺☺☺☺☺☺☺
Nimeanza kuogopa watu wanao apa kweli mwaka huu viongozi wa Dini wamefanya ni tafakari baadhi ya mambo Wachina wana imani na upendo kwa serekali yao kuliko sisi tunavyo muamini Mungu !

Kwetu ukimuona mtu ana sema mimi ni mzalendo nina penda Nchi yangu jua kuna kingine!

Ukimuona mtu ana sema ukinikata mimi damu yangu ni kijani juwa kuna lingine nyuma ya pazia!

Sasa wewe upo kwenye kundi gani unaipenda serekali yako sababu ukiiba ukila rushwa ita kulinda haita kunyonga!?
Note me ni fundi kweli adi kufa kwangu siwezi kuwa mbunge ama mjumbe wa nyumba 10 au kufanya kazi serekalini sifa ninazo kumbuka msimamo wangu ni strong kuliko wa Gwajima!

Kila mtu ajitahidi kusema nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi na awe na upendo wa dhati kwa Nchi ila sio upendo wa dhati kwa sababu unapata rushwa hatutafika!
 

Sijasema uamini ninachoamini mimi, sijalazimisha uone kile ninachokiona mimi pia, ninachokiona, ninachokisema, na ilichoandika kina maana kubwa sana kwa watoto wetu, wajukuu, vitukuu, vilembwe.... zaidi yetu sisi.

Bado unaruhusiwa kuamini kwenye kile unachotaka wewe sababu hakina madhara yoyote kwa ninachokiamini mimi

Narudia tena kwamba
🎢🎼🎡🎡πŸ₯Naapa na naahidi kwamba nitamlinda mamaTanzania mpaka kufa 🎺🎸🎢🎢🎡🎡
 
Nina kubaliana na wewe 100% kulinda nchi yako au yetu je unailinda kwa sababu unaishi kwa kupata rushwa au kwa kukwepa kodi!?
 
Nina kubaliana na wewe 100% kulinda nchi yako au yetu je unailinda kwa sababu unaishi kwa kupata rushwa au kwa kukwepa kodi!?

Sijawahi kukwepa kodi, Kula rushwa wala kumsaidia yoyote kwenye hayo mambo.

Na ninampongeza rais John Pombe Magufuli kwa kuondoa ule uharamia wa kununua haki ulikua unahalalishwa na watu wachache waliokua mafisadipapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…