Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amwambia Antony Blinken kuwa Afrika haitaki kulazimishwa na Marekani kuzichukia Urusi na China

Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amwambia Antony Blinken kuwa Afrika haitaki kulazimishwa na Marekani kuzichukia Urusi na China

Sikirimimimasikini, hivi unaona ninacho kiona mimi??Mkuu,kwa masikitiko makubwa naona kumbe Afrika bado saaana - ndio maana watu wa magharibi utuchukulia kwamba majority ya watu weusi tuko "WIRED weirdly by our MAKER" ndio maana wazungu wanakuwa na ujeuri/ubavu wa kuwaburuza puta baadhi ya Viongozi wa Africa kama gari bovu.

Mkuu jaribu kupitia tena majibu jibu ya kushangaza yanayo semwa na baadhi ya JF members - just imagine wana sababu gani za msingi kumjia juu waziri wa Afrika kusini, wanambatiza majina ya kila sampuri, kumbeza beza - kisa!! wanakasirika kutokana mama wa watu kumwambia ukweli waziri wa Merikani, ambay uchukuliwa na baadhi ya Wafrika kana kwamba ni Mungu wao mdogo wa Dunia ambaye hapashwi kujaribiwa hata siku moja, akisha sema kitu/toa amri Dunia nzima inapaswa kumsikiliza na kuufyata, hakuna kuhoji swali!!
Uko sahihi, nimeshayaona hapo juu majibu ya baadhi ya waafrika walionyweshwa bendera za kutawaliwa kikoloni na kitumwa. Yaani mtu kwa kuwa babu zake na bibi zake walikuwa watumwa au walitawaliwa kikoloni, haamini kama yeye hivi sasa yupo huru!
 
South Africa yenyewe imeshajiweka upande wa BRICS kitambo sana wana urafiki tena zaidi ya urafiki na Russia na China
Well said, actually BRICS alliance ndilo litakuwa kaburi la western financial institutions specifically IMF, World Bank, Rothchild&Co, Chase Manhattan Bank (Rockerfeller family) jeuri zao za kipesa wanaitumia kunyonya third World Nations (Banana Republics) kwa kutumia mbinu za kuzikopesha fedha huku wakijua wazi kwamba mwisho wa siku wata slap mataifa hayo maskini with punitive interest ambazo wakopaji watashindwa kuzilipa, wanaishia kupewa mashariti ya kudhalilisha yenye lengo la kuwadidimiza kiuchumi ili waendelee kubaki omba omba ie yaishie kwenye kutembeza bakuri yakiomba misaada!!
 
Back
Top Bottom