Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P tooR.I.p
Je na sisi zamu yetu lini?RIP Kabudi wa Zimbabwe
Jichanganyeni tuWacha wafe wakandamizaji, wanahudumu kwenye serikali ya dictator..... All in all RIP
Ukilinganisha na ambao haijawadhuru ni wengi ambao wanazidi Zaid ya millionJichanganyeni tuView attachment 1681974
Serikali yetu iwe makini sana wasikubali kuletewa chanjo za kampuni za Pfizer na moderna, kumpuni ya moderna inatumia fedha nyingi na hila katika harakati zake za kutaka kulazimisha Dunia ikubali chanjo zao zenye walakini mkubwa.Jichanganyeni tuView attachment 1681974
Serikali yetu iwe makini sana wasikubali kuletewa chanjo za kampuni za Pfizer na moderna, moderna frdha nyingi na hila kutaka kulazimisha Dunia ikubali chanjo zao zenye walakini mkubwa.
Tutakuwa salama tukitumia chanjo za kutoka China au Urusi - hizi za magharibi wanalazimisha mno, mpaka kufikia usanii wanawadunga sindano za chanjo Viobgozo wa juuu wa Nataifa yao kunbe hiyo si kweli wanafanya maigizo mbele ya TV kuwazuga raia ili wakubali kuchanjwa.
Mdudu yupo mjini wewe, sema kasi ya maambukizi ndio sio kama kwa watasha...
Poa poa...Bahati ipi? Kumbuka Mahiga na yule Mama Rwakatare na vifo vinaendelea Mkuu.
Alazwe pahala anapostahili
Bora maana huyu naye ametumika sana kuwatesa wazimbabwe. Wazimbabwe watafanya sherehe
Acha upumbavu wewe! Kwani chanjo za Polio, surua, kifua kikuu na madawa tunayotumia hospitalini tunatengeneza Nchini?