Waziri wa mambo ya Nje wa Zimbabwe amefariki kutokana na maradhi ya COVID

Waziri wa mambo ya Nje wa Zimbabwe amefariki kutokana na maradhi ya COVID

Who told you I need to know you in order to conclude that you’re ZERO BRAIN?

Toa upumbavu wako hapa! Waafrika tumetumia vaccination na madawa mbali toka nchi za Magharibi kwa miaka chungu nzima bila matatizo yoyote Halafu leo unakuja humu kuandika UZWAZWA wako!!!
Mind your tongue you damn silly fool - typical moronic behavior like a drunken comet - unawezaje kubwatukia watu ambao huwajui vizuri?

Hapa tunazungumzia kuhusu vaccines za ku-innoculate raia dhidi ya ugonjwa wa COVID-19, sasa kutokana na sintofahamu kuhusu origin ya ugonjwa huo ndio maana nikapendekeza kwamba Serikali yetu iwe makini kwenye suala hili especially kama kutakuwepo ulazima wa kununua chanjo, basi, zinunuliwe kutoka kwenye mataifa ambayo hayana ajenda za siri kuhusu ku contain population explosion kwenye third World - huo ulikuwa ni ushauri wangu - kama wewe ufatilii kwa karibu speeches za Bill Gates especially presentation aliyo toa mwaka 2015 miaka mitano kabla ya COVID -19 haija ikumba Dunia - alijuaje sura ya virus itakavyo fanana to the letter miaka mitano baada ya kutoa speech yake ambayo iliambatanishwa na michoro (graphics, Bill Gates si mtume wala nabii mwenye maono, je, alijuaje sura ya Virus itakavyo fanana, wangapi wanajua ajenda za siri za Bill Gates na wenzake ambao wako overly obsessed na upunguzaji wa World population hasa idadi ya watu kwenye third World Nations - yeye na genge lake ovu wanadai kwamba wasipo fanya hivyo basi Dunia itapungukiwa na resources, wako Determined and well organised kutekeleza ajenda zao kwa siri kwa kupitia kwenye chanjo zao, mfano: Chanjo wanazo dai zinazuia cancer ya kizazi kwa wasichana mashuleni na akina mama - Ufilipino, Malaysia, Thailand na India walizipiga marufuku baada ya kugunduwa kwamba chanjo cha kufanya akina mama wasitunge mimba kirahisi na in case ikitojea kashika
 
Mind your tongue you damn silly fool - typical moronic behavior like a drunken comet - unawezaje kubwatukia watu ambao huwajui vizuri?

Hapa tunazungumzia kuhusu vaccines za ku-innoculate raia dhidi ya ugonjwa wa COVID-19, sasa kutokana na sintofahamu kuhusu origin ya ugonjwa huo ndio maana nikapendekeza kwamba Serikali yetu iwe makini kwenye suala hili especially kama kutakuwepo ulazima wa kununua chanjo, basi, zinunuliwe kutoka kwenye mataifa ambayo hayana ajenda za siri kuhusu ku contain population explosion kwenye third World - huo ulikuwa ni ushauri wangu - kama wewe ufatilii kwa karibu speeches za Bill Gates especially presentation aliyo toa mwaka 2015 miaka mitano kabla ya COVID -19 haija ikumba Dunia - alijuaje sura ya virus itakavyo fanana to the letter miaka mitano baada ya kutoa speech yake ambayo iliambatanishwa na michoro (graphics, Bill Gates si mtume wala nabii mwenye maono, je, alijuaje sura ya Virus itakavyo fanana, wangapi wanajua ajenda za siri za Bill Gates na wenzake ambao wako overly obsessed na upunguzaji wa World population hasa idadi ya watu kwenye third World Nations - yeye na genge lake ovu wanadai kwamba wasipo fanya hivyo basi Dunia itapungukiwa na resources, wako Determined and well organised kutekeleza ajenda zao kwa siri kwa kupitia kwenye chanjo zao, mfano: Chanjo wanazo dai zinazuia cancer ya kizazi kwa wasichana mashuleni na akina mama - Ufilipino, Malaysia, Thailand na India walizipiga marufuku baada ya kugunduwa kwamba chanjo cha kufanya akina mama wasitunge mimba kirahisi na in case ikitojea kashika
Serikali inasema maombi ya siku tatu kwa Mungu yamemaliza ugonjwa.

Chanjo ya nini?
 
Serikali yetu iwe makini sana wasikubali kuletewa chanjo za kampuni za Pfizer na moderna, kumpuni ya moderna inatumia fedha nyingi na hila katika harakati zake za kutaka kulazimisha Dunia ikubali chanjo zao zenye walakini mkubwa.

Watanzania tutakuwa salama tukitumia chanjo za kutoka China au Urusi - hizi chanjo za magharibi wanalazimisha mno, mpaka kufikia hatua ya kufanya usanii wanajitia wanawadunga sindano za chanjo Viongozi wa ngazi za juu wa Mataifa hayo kumbe hiyo si kweli wanafanya maigizo tu mbele ya TV kuwazuga raia wakubali kuchanjwa ili kampuni hizo zipige hela ndefu - hilo ndilo lengo lao kuu.
Almost madawa yote na chanjo tunazotumia zinatoka kwenye kampuni za Western acha uzwazwa
 
Mind your tongue you damn silly fool - typical moronic behavior like a drunken comet - unawezaje kubwatukia watu ambao huwajui vizuri?

Hapa tunazungumzia kuhusu vaccines za ku-innoculate raia dhidi ya ugonjwa wa COVID-19, sasa kutokana na sintofahamu kuhusu origin ya ugonjwa huo ndio maana nikapendekeza kwamba Serikali yetu iwe makini kwenye suala hili especially kama kutakuwepo ulazima wa kununua chanjo, basi, zinunuliwe kutoka kwenye mataifa ambayo hayana ajenda za siri kuhusu ku contain population explosion kwenye third World - huo ulikuwa ni ushauri wangu - kama wewe ufatilii kwa karibu speeches za Bill Gates especially presentation aliyo toa mwaka 2015 miaka mitano kabla ya COVID -19 haija ikumba Dunia - alijuaje sura ya virus itakavyo fanana to the letter miaka mitano baada ya kutoa speech yake ambayo iliambatanishwa na michoro (graphics, Bill Gates si mtume wala nabii mwenye maono, je, alijuaje sura ya Virus itakavyo fanana.

Sasa swali ni: wangapi wanajua ajenda za siri za Bill Gates na wenzake ambao wako overly obsessed na upunguzaji wa World population, hasa idadi ya watu kwenye third World Nations -Bill Gates na genge lake ovu wakiwemo akina: Billionea SOROS, Billionea Buffet, Rockerfella foundation, RothsChild family - mabillionea wote walio tajwa hapo juu wanadai wana wajibu mkubwa wa kupunguza idadi ya watu Duniani kwamba wasipo fanya hivyo basi Dunia itapungukiwa na resources, wako Determined and well organised kutekeleza ajenda zao kwa siri kwa kupitia kwenye chanjo zao, mfano: Chanjo wanazo dai zinazuia cancer ya kizazi kwa wasichana mashuleni na akina mama - Ufilipino, Malaysia, Thailand na India walizipiga marufuku baada ya kugunduwa kwamba chanjo hizo zinawafanya akina mama wasitunge mimba kirahisi na in case ikitokea wakashika mimba inatoka yenyewe/abort.

Kwa kuwa nilijua kwamba mfadhili mkubwa wa maabara za tafiti za chanjo pamoja na madawa ni Bill Gate pamoja na like minds wenzake, basi Serikali yetu hisiruhusu chanjo hizo kuingizwa nchini na kuwachanja Watanzania, nikaongezea kwamba raia wa Tanzania tutakuwa safe tukitumia chanjo za kutoka aidha Urusi au China, at least mataifa hayo hayana ajenda za ajabu ajabu - hicho ndicho nilikuwa naamaanisha mimi.
Serekali yako inataka kununu au inasubiria msaada Kama Ilivyokua kwenye ARVs na chanjo nyingine

Kwa kukusaidia serekali hata bajeti haijatenga ya kununua hizo chanjo, na bill gate ana uhusikaje na Pfizer/ biotech vaccine achana na hizo conspiracy theory

Chanjo ya china Ina success rate ya 50%, na Pfizer/biotech na moderna 95%, Wazungu wangetaka kuuwa waafrika wangewaua siku nyingi sana, usifanye watu ni watu ni wajinga alafu wewe ndo unaakili,
 
Who told you I need to know you in order to conclude that you’re ZERO BRAIN?

Toa upumbavu wako hapa! Waafrika tumetumia vaccination na madawa mbali toka nchi za Magharibi kwa miaka chungu nzima bila matatizo yoyote Halafu leo unakuja humu kuandika UZWAZWA wako!!!
Ni mjing sana
 
Serekali yako inataka kununu au inasubiria msaada Kama Ilivyokua kwenye ARVs na chanjo nyingine

Kwa kukusaidia serekali hata bajeti haijatenga ya kununua hizo chanjo, na bill gate ana uhusikaje na Pfizer/ biotech vaccine achana na hizo conspiracy theory

Chanjo ya china Ina success rate ya 50%, na Pfizer/biotech na moderna 95%, Wazungu wangetaka kuuwa waafrika wangewaua siku nyingi sana, usifanye watu ni watu ni wajinga alafu wewe ndo unaakili,

Nimewambieni fatilieni big pharma companies zinazo pewa rusuku kubwa kutoka kwenye mfuko wa Bill/Melinda Gates foundation kama unasema Pfizer/Biotech na Moderna hawapewi funds za kufanyia tafiti za chanjo za COVID-19 na chanjo nyingine basi wewe ni mbishi tu by default - hutaki kujua ukweli - eti Chinese vaccine success rate ni 50% while Pfizer/Biotech na Moderna ni above 95% una ushahidi gani wa kisayansi ku-support madai yako, wakati hata WHO na wana sayansi wanao walisema madawa na chanjo za kampuni ya Moderna hazina ufanisi wowote wanacho fanya ni kutumia MSM kulazimisha Dunia ikubaliane na dawa/chanjo zao zenye walakini mkubwa, hata Rais Trump alipo umwa wasaidizi wake walikataa kutumia madawa yanayo zalishwa na kampuni ya Moderna, kitu kingine hakuna popote nilipo sema wazungu wamepania kutuua - ninesema genge la Bill Gates, ambaye anapingwa mpaka na wazungu wenzake wa huko America na Ulaya kwamba hana nia nzuri - sasa wewe kama unaona wanao pinga ajenda zake ni wehu, basi jitolee kuwa wa kwanza kudungwa chanjo zao.

Chanjo za Uchina na Urusi zimesambazwa mataifa mengi ya America ya kusini, mashariki ya kati na Misri, je mataifa hayo yana maoni gani kuhusu ufanisi wa chanzo hizo including after effect compared na western stuff - kinacho fanyika ni ushindani wa biashara pamoja na hidden ageda za makampuni mengine hasa ya magharibi, ukweli unabaki kwamba sijawahi kuona/sikia ushahidi waku-support kwamba Success rate ya western produced vaccine ni above 95% or there about.
 
Muda ukifika utajua!!! Kumbuka kuwa wanasiasa sio watu wa kuwaamini!!!
Kumbuka JPM si mwanasiasa bali mwanasayansi. Politician ni yule Mr Mzungu anayedai mchana kweupe mbele ya kamera eti hospital facilities siyo maendeleo. Muangaliega na nyie watu wa kuwaweka frontline!???
 
Serekali yako inataka kununu au inasubiria msaada Kama Ilivyokua kwenye ARVs na chanjo nyingine

Kwa kukusaidia serekali hata bajeti haijatenga ya kununua hizo chanjo, na bill gate ana uhusikaje na Pfizer/ biotech vaccine achana na hizo conspiracy theory

Chanjo ya china Ina success rate ya 50%, na Pfizer/biotech na moderna 95%, Wazungu wangetaka kuuwa waafrika wangewaua siku nyingi sana, usifanye watu ni watu ni wajinga alafu wewe ndo unaakili,
Huyu jamaa ni zwazwa sana,ana itikadi za Kikomunist kila kila cha Magharibi hakitaki lakini anatumia Innovation zao.
 
Acha upumbavu wewe! Kwani chanjo za Polio, surua, kifua kikuu na madawa tunayotumia hospitalini tunatengeneza Nchini?
Labda zinatengenezwa China au Urusi... 😀
 
Back
Top Bottom