BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Who told you I need to know you in order to conclude that you’re ZERO BRAIN?
Toa upumbavu wako hapa! Waafrika tumetumia vaccination na madawa mbali toka nchi za Magharibi kwa miaka chungu nzima bila matatizo yoyote Halafu leo unakuja humu kuandika UZWAZWA wako!!!
Toa upumbavu wako hapa! Waafrika tumetumia vaccination na madawa mbali toka nchi za Magharibi kwa miaka chungu nzima bila matatizo yoyote Halafu leo unakuja humu kuandika UZWAZWA wako!!!
Mind your tongue you damn silly fool - typical moronic behavior like a drunken comet - unawezaje kubwatukia watu ambao huwajui vizuri?
Hapa tunazungumzia kuhusu vaccines za ku-innoculate raia dhidi ya ugonjwa wa COVID-19, sasa kutokana na sintofahamu kuhusu origin ya ugonjwa huo ndio maana nikapendekeza kwamba Serikali yetu iwe makini kwenye suala hili especially kama kutakuwepo ulazima wa kununua chanjo, basi, zinunuliwe kutoka kwenye mataifa ambayo hayana ajenda za siri kuhusu ku contain population explosion kwenye third World - huo ulikuwa ni ushauri wangu - kama wewe ufatilii kwa karibu speeches za Bill Gates especially presentation aliyo toa mwaka 2015 miaka mitano kabla ya COVID -19 haija ikumba Dunia - alijuaje sura ya virus itakavyo fanana to the letter miaka mitano baada ya kutoa speech yake ambayo iliambatanishwa na michoro (graphics, Bill Gates si mtume wala nabii mwenye maono, je, alijuaje sura ya Virus itakavyo fanana, wangapi wanajua ajenda za siri za Bill Gates na wenzake ambao wako overly obsessed na upunguzaji wa World population hasa idadi ya watu kwenye third World Nations - yeye na genge lake ovu wanadai kwamba wasipo fanya hivyo basi Dunia itapungukiwa na resources, wako Determined and well organised kutekeleza ajenda zao kwa siri kwa kupitia kwenye chanjo zao, mfano: Chanjo wanazo dai zinazuia cancer ya kizazi kwa wasichana mashuleni na akina mama - Ufilipino, Malaysia, Thailand na India walizipiga marufuku baada ya kugunduwa kwamba chanjo cha kufanya akina mama wasitunge mimba kirahisi na in case ikitojea kashika