Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki wa Rwanda awekewa vikwazo na Marekani. Mungu wabariki wazungu, Mungu mbariki Trump!

Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki wa Rwanda awekewa vikwazo na Marekani. Mungu wabariki wazungu, Mungu mbariki Trump!

Wakati nchi za Afrika Mashariki zikiendelea kumpet pet Kagame, masaa machache yaliyopita Wizara ya Fedha ya Marekani imetangaza rasmi kuwawekea vikwazo Waziri wa Mambo ya Afrika Mashariki wa Rwanda Generali James Kabarebe na Msemaji wa M23 Lawrence Kanyuka Kingston kutokana na vita vinavyoendelea Mashariki mwa Kongo.


Wakati Viongozi wa Afrika Mashariki wakiendelea kumlea Kagame ambaye sasa anawachezea kama vitoy Wazungu wameamua kufanya kweli.

Itakumbukwa James Kabarebe amekuwa akitajwa sana kama mtu anayetumiwa sana na Kagame katika kupanga na kufanikisha mipango ya ku destabilise Congo.

Wasiomfahamu General James Kabarebe amewahi kuwa bodyguard wa Kagame kipindi vuguvugu lililosababisha cha mauaji wa kimbari nchini Rwanda mwaka 1994. Pia amewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Congo baada ya kumsadia Mtutsi .wenzao Raurent Kabila kupindua Serikali ya Mobutu Seseko. Aidha amewahi kuwa Mkuu wa Majeshi wa Rwanda na Waziri kwenye Wizara mbalimbali ambapo kwa sasa anashika cheo cha Waziri wa Afrika Mashariki wa nchi hiyo.


Asante sana Trump. Usiache kumulika hawa Viongozi wa CCM wanaotaka kufanya Uchaguzi bila Reforms.
View attachment 3243253
Hapo mwisho nimecheka sana..na huyu nakumbuka wakati tumepeleka jeshi pale DRC kupitia SAMIDRC alikuja Tanzania akakaa kama wiki mbili pale Zanzibar akijifanya kufuatilia kombe la mapinduzi,baada ya hizo wiki mbili Kagame na M7 wakaja kumuona Samia na Hussein Mwinyi
 
Hakuna mzungu mwenye uchungu na maisha ya nwafrika. Miaka zaidi ya 100 walikuwa wakiuza na kununua watumwa kutoka afrika huku wengine wakiuawa kikatili.

Nakushangaeni leo mnakuja kuwasifia hapa. Na huu ujinga ndio unawawafanya wazidi kutuona washenzi
Heri wazungu kwa Sasa kuliko waafrika. Mwafrika Ni mbaya zaidi Tena naona Bora watutawale Tena wazungu
 
Hapo mwisho nimecheka sana..na huyu nakumbuka wakati tumepeleka jeshi pale DRC kupitia SAMIDRC alikuja Tanzania akakaa kama wiki mbili pale Zanzibar akijifanya kufuatilia kombe la mapinduzi,baada ya hizo wiki mbili Kagame na M7 wakaja kumuona Samia na Hussein Mwinyi
Yaaani huyu ndo Think Tank na Brain ya Kagame.

All Rwanda and Kagame atrocities the man behind such evil ni huyu Gen. James Kabarebe.
 
Mungu ambariki Trump huyuhuyu anayetaka kuyachukua makazi ya Wapalestina labda kama unamzungumzia abarikiwe na Shetani sawa
Hayo ya wa Palestine hayatuhusu ndo maana hujawahi msikia hata mwarabu mmoja akionyesha sympathy Kwa wacongo Wala blacks wengine waoupitia madhira
 
Field General James Kabarege aka the war machine, kiongozi wa operation Kitona, PK right hand man na mmoja wa master mind wa operation nyingi sana za RPF.

Mmoja wa watu wenye nidhamu sana kwenye taalum yake ya kijeshi, ni moja ya watu wazalendo sana kwa Taifa lao la Rwanda, lakini ni moja ya askari mtiifu sana kwa PK.
Naamini kama Mwenyezi Mungu akimchukua Leo PK basi Gen James Kabarege anaweza kushika usukani.
 
Ikimpendeza trump aichukue DRC iwe jimbo la marekani.Bamutu ba Congo banateseka sanaaa.Nina imani Gaza hakuna cha maana Zaidi ya Congo.

Wacongomani watafurahi sana kuwa part ya amerika😂
😂😂
 
Hao Viongozi wa Afrika walipokutana Addis Ababa, Ethiopia kuna jambo lolote la maana limetokea?

Au walivyokutana Dar, Viongozi wa SADC na EAC kuna lolote la maana walifanya? Au walikunywa juice tu?

Acha Mzungu awe Mzungu maana anajua hakika namna ya kuchukua hatua. Hacheki na Nyani anafanya kweli. Nyie endeleeni kuchekeana na kufurahisha genge.
Hiyo michango ya hizi jumuiya za maigizo ni heri nchi wanachama wangebaki na michango yao wakaenda kujenga vyoo kwenye kaya maskini na mashuleni.Kuchimba visima na kujenga miundombinu ya barabara mitaani.
 
Field General James Kabarege aka the war machine, kiongozi wa operation Kitona, PK right hand man na mmoja wa master mind wa operation nyingi sana za RPF.

Mmoja wa watu wenye nidhamu sana kwenye taalum yake ya kijeshi, ni moja ya watu wazalendo sana kwa Taifa lao la Rwanda, lakini ni moja ya askari mtiifu sana kwa PK.
Naamini kama Mwenyezi Mungu akimchukua Leo PK basi Gen James Kabarege anaweza kushika usukani.
Hayupo kwenye succession plani. Urais wa PK ni wa kifalme!!!
 
Hakuna mzungu mwenye uchungu na maisha ya nwafrika. Miaka zaidi ya 100 walikuwa wakiuza na kununua watumwa kutoka afrika huku wengine wakiuawa kikatili.

Nakushangaeni leo mnakuja kuwasifia hapa. Na huu ujinga ndio unawawafanya wazidi kutuona washenzi
Sasa mkuu kama ni hivo kila binadamu ni mshenzi tuu mbona.
Kwani tangu tupate uhuru wetu mbona tunatufuana wenyew kwa wenyew?


Viongoz wanaohujum mali za mataifa yao na kukimbiza fedha huko Ulaya wanatumwa na wazungu?.
Wanaoteka na kuua raia wao kwa kutofautiana kisiasa wanatumwa na wazungu?
Wanakwamisha maendeleo ya mataifa yao ili kuwakomoa waliomadarak wanatumwa na wazungu?
Wanaobaguana kikabila na kidini wanatumwa na wazungu?

Kama jibu ni ndiyo, basi sisi tunaokubali kutumika vibaya kudhuriana sisi kwa sisi ndo tutakuwa washenzi kuliko hao tunaowaita wazungu.
 
Hayo ya wa Palestine hayatuhusu ndo maana hujawahi msikia hata mwarabu mmoja akionyesha sympathy Kwa wacongo Wala blacks wengine waoupitia madhira
Sema wewe ndiyo hayakuhusu ila aliyewaumba wanadamu yanamhusu kwa sababu binadamu wote kwake ni sawa na wana thamani

Mtu mzima halafu unaongea usenge usenge punguza u much know
 
Sema wewe ndiyo hayakuhusu ila aliyewaumba wanadamu yanamhusu kwa sababu binadamu wote kwake ni sawa na wana thamani

Mtu mzima halafu unaongea usenge usenge punguza u much know
Sawa wewe unajiona unathamani sawa na wao ila wao hawakuoni hivo kwaiyo ni mhimu kubalance shobo
 
Wakati nchi za Afrika Mashariki zikiendelea kumpet pet Kagame, masaa machache yaliyopita Wizara ya Fedha ya Marekani imetangaza rasmi kuwawekea vikwazo Waziri wa Mambo ya Afrika Mashariki wa Rwanda Generali James Kabarebe na Msemaji wa M23 Lawrence Kanyuka Kingston kutokana na vita vinavyoendelea Mashariki mwa Kongo.


Wakati Viongozi wa Afrika Mashariki wakiendelea kumlea Kagame ambaye sasa anawachezea kama vitoy Wazungu wameamua kufanya kweli.

Itakumbukwa James Kabarebe amekuwa akitajwa sana kama mtu anayetumiwa sana na Kagame katika kupanga na kufanikisha mipango ya ku destabilise Congo.

Wasiomfahamu General James Kabarebe amewahi kuwa bodyguard wa Kagame kipindi vuguvugu lililosababisha cha mauaji wa kimbari nchini Rwanda mwaka 1994. Pia amewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Congo baada ya kumsadia Mtutsi .wenzao Raurent Kabila kupindua Serikali ya Mobutu Seseko. Aidha amewahi kuwa Mkuu wa Majeshi wa Rwanda na Waziri kwenye Wizara mbalimbali ambapo kwa sasa anashika cheo cha Waziri wa Afrika Mashariki wa nchi hiyo.


Asante sana Trump. Usiache kumulika hawa Viongozi wa CCM wanaotaka kufanya Uchaguzi bila Reforms.
View attachment 3243253
Mabeberu ndio kiboko ya PK...
 
Baada ya kikao cha EAC & SADEC, Kagame alisema hatishwi na mtu na hapangiwi na mtu. Baada ya vikwazo vya US, kasema ni vyema us ikaheshimu juhudi za jumuia za kikanda!
Huyu Mzee vikwazo vikimwingia sawasawa atalegea tu
 
Back
Top Bottom