Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Waambie mkuuMlipoambiwa mjiandikishe mwanzoni mliona uvivu leo mambo yanaenda mpwitompwito mnatupigia kelele humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie mkuuMlipoambiwa mjiandikishe mwanzoni mliona uvivu leo mambo yanaenda mpwitompwito mnatupigia kelele humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati airtel tangu juzi wanatest mitambo ya kufungia kwa wateja wao! Hawapigi zaidi ya kupigiwa tu.
Kwa hiyo hao wanaotuambia kuwa walijisajiri toka mwezi wa nane ni waongo?Kuna tabia ya baadhi ya watu kupuuzia jambo linapoanza, likifika mwisho kama hivi mapovu tu,
Mwingine anasema mda hana lkn mwisho ukikaribia yumo kwa fooeni tena ndefu tu hata siku 3 mfululizo sijui mda anapata wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ndio walewale kesho wananchi wakitapeliwa kwa njia ya mtandao mnailaumu serikali, ila ikitaka kuzifungia ambazo hazijasajiliwa kwa vidole mnawalaumu tena
Sent using Jamii Forums mobile matapeli wapo tu kiongozi, tatizo sio kuchelewa kujiandikisha.tatizo NIDA utoaji wa hizo namba upo chini wa uwezo wao.wapo waliojiandikisha toka 2018 hadi leo hata hiyo namba hawajapata
Hata mimi picha zilivyorudi kwa uhakiki yangu ilikuwepo cha ajabu familia yangu wote wameshapata vitambulisho na tulijiandikisha siku moja tena tumefuatana kwenye mstari eti leo mimi tu naambiwa taarifa hazipatikaniNilijiandikisha mwaka jana mwezi wa pili wakati wanazunguka kijiji hadi kijiji, mtaa kwa mtaa. Wakati wanaleta picha ili kujua watakaopata vitambulisho, yangu ilikuwepo. Ajabu walipobandika namba, sikuiona ya kwangu. Ikabidi niombe taarifa zaidi mtandaoni. Jibu likawa TAARIFA HAZIPATIKANI TAFADHALI TEMBELEA OFISI ZA NIDA WILAYA YA TARIME. Niliona huu ni ujinga wa kiwango cha reli. Taarifa hazipatikani na mmejuaje niko Tarime.
Hapa nawaza moja kati ya haya
1. Warudie zoezi kwakutembea kama walivyotembea
2. Wafunge tu hii line, kwanza inadaiwa kama 160000. Tuone mimi nq hawa service providers nani atapata hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijiandikisha mwaka jana mwezi wa pili wakati wanazunguka kijiji hadi kijiji, mtaa kwa mtaa. Wakati wanaleta picha ili kujua watakaopata vitambulisho, yangu ilikuwepo. Ajabu walipobandika namba, sikuiona ya kwangu. Ikabidi niombe taarifa zaidi mtandaoni. Jibu likawa TAARIFA HAZIPATIKANI TAFADHALI TEMBELEA OFISI ZA NIDA WILAYA YA TARIME. Niliona huu ni ujinga wa kiwango cha reli. Taarifa hazipatikani na mmejuaje niko Tarime.
Hapa nawaza moja kati ya haya
1. Warudie zoezi kwakutembea kama walivyotembea
2. Wafunge tu hii line, kwanza inadaiwa kama 160000. Tuone mimi nq hawa service providers nani atapata hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ww August... Mi ndo kwanza jana nimejaza form, halaf kwenye picha sasa ya kuambatanisha na hyo form... Nimeambiwa njoo piga kesho kutwa maana karatasi za picha zimeisha hadi tuzifuate.Manengelo said:Mie toka aug nimejiandikisha had leo bila bila
Hawa nida ni wazushi sanaMimi nasubiri kwa hamu wanifungie laini zangu hawanitishi kabisa haiwezekani usajili wenye huko NIDA miyeyusho na kuzungushana.
WAFUNGE TU BARUA ZIPO
Sent using Jamii Forums mobile app
Nida kwanza wanatakiwa wafungiwe.Leo tarehe23_12_2019 Watanzania wengi wamejiandikisha Nida ili kupata namba za kitambulisho waweze kusajili line zao,wapo watanzania ambao hawajapata hizo namba hadi leo.wakati walishajiandikisha toka mwezi wa kumi.
waziri wa mawasiliano unapokuja hadharani kusema utazifungia line za watanzania ambao hawajasajili line zao kwa alama za vidole,huoni kuwa unawaonea,kwanini usianze na hawa NIDA? kuwafungia?
leo bado watu wanajiandikisha huko nida na watachukua mda mrefu kupata hizo namba huoni kuwa utakuwa umewaonea?ulipaswa waziri wa mawasiliano na waziri wa mambo ya ndani mkae mkubaliane kwa pamoja ili hawa nida ndio wawe wa mwanzo kuwajibika kabla ya watanzania ambao wapo wanasumbuka kila siku kwenda kufatilia namba zao huko NIDA