Waziri wa mawasiliano kabla ya kufungia line zetu mkawafunge kwanza NIDA

Waziri wa mawasiliano kabla ya kufungia line zetu mkawafunge kwanza NIDA

Kuna tabia ya baadhi ya watu kupuuzia jambo linapoanza, likifika mwisho kama hivi mapovu tu,
Mwingine anasema mda hana lkn mwisho ukikaribia yumo kwa fooeni tena ndefu tu hata siku 3 mfululizo sijui mda anapata wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hao wanaotuambia kuwa walijisajiri toka mwezi wa nane ni waongo?
 
Anko hawezi ruhusu kitu kama hicho nyi endeleeni kusema mtafunga sijui ila The final say hawez kuwaruhusu wakati ujinga unafanywa na NIDA
 
Nilijiandikisha mwaka jana mwezi wa pili wakati wanazunguka kijiji hadi kijiji, mtaa kwa mtaa. Wakati wanaleta picha ili kujua watakaopata vitambulisho, yangu ilikuwepo. Ajabu walipobandika namba, sikuiona ya kwangu. Ikabidi niombe taarifa zaidi mtandaoni. Jibu likawa TAARIFA HAZIPATIKANI TAFADHALI TEMBELEA OFISI ZA NIDA WILAYA YA TARIME. Niliona huu ni ujinga wa kiwango cha reli. Taarifa hazipatikani na mmejuaje niko Tarime.

Hapa nawaza moja kati ya haya
1. Warudie zoezi kwakutembea kama walivyotembea
2. Wafunge tu hii line, kwanza inadaiwa kama 160000. Tuone mimi nq hawa service providers nani atapata hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi picha zilivyorudi kwa uhakiki yangu ilikuwepo cha ajabu familia yangu wote wameshapata vitambulisho na tulijiandikisha siku moja tena tumefuatana kwenye mstari eti leo mimi tu naambiwa taarifa hazipatikani
 
Mimi nasubiri kwa hamu wanifungie laini zangu hawanitishi kabisa haiwezekani usajili wenye huko NIDA miyeyusho na kuzungushana.

WAFUNGE TU BARUA ZIPO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ningechagua namba 2 [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijiandikisha mwaka jana mwezi wa pili wakati wanazunguka kijiji hadi kijiji, mtaa kwa mtaa. Wakati wanaleta picha ili kujua watakaopata vitambulisho, yangu ilikuwepo. Ajabu walipobandika namba, sikuiona ya kwangu. Ikabidi niombe taarifa zaidi mtandaoni. Jibu likawa TAARIFA HAZIPATIKANI TAFADHALI TEMBELEA OFISI ZA NIDA WILAYA YA TARIME. Niliona huu ni ujinga wa kiwango cha reli. Taarifa hazipatikani na mmejuaje niko Tarime.

Hapa nawaza moja kati ya haya
1. Warudie zoezi kwakutembea kama walivyotembea
2. Wafunge tu hii line, kwanza inadaiwa kama 160000. Tuone mimi nq hawa service providers nani atapata hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manengelo said:
Mie toka aug nimejiandikisha had leo bila bila
Bora ww August... Mi ndo kwanza jana nimejaza form, halaf kwenye picha sasa ya kuambatanisha na hyo form... Nimeambiwa njoo piga kesho kutwa maana karatasi za picha zimeisha hadi tuzifuate.

(Nipo huku vijijini).
 
Leo tarehe23_12_2019 Watanzania wengi wamejiandikisha Nida ili kupata namba za kitambulisho waweze kusajili line zao,wapo watanzania ambao hawajapata hizo namba hadi leo.wakati walishajiandikisha toka mwezi wa kumi.

waziri wa mawasiliano unapokuja hadharani kusema utazifungia line za watanzania ambao hawajasajili line zao kwa alama za vidole,huoni kuwa unawaonea,kwanini usianze na hawa NIDA? kuwafungia?

leo bado watu wanajiandikisha huko nida na watachukua mda mrefu kupata hizo namba huoni kuwa utakuwa umewaonea?ulipaswa waziri wa mawasiliano na waziri wa mambo ya ndani mkae mkubaliane kwa pamoja ili hawa nida ndio wawe wa mwanzo kuwajibika kabla ya watanzania ambao wapo wanasumbuka kila siku kwenda kufatilia namba zao huko NIDA
Nida kwanza wanatakiwa wafungiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom