Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mh Mchengerwa ameagiza BMT kuchunguza kichapo cha Taifa Stars huko Uganda , ambako walitupwa nje kabisa ya michuano ya CHAN , na pia Mwakinyo ametakiwa kuchunguzwa kutokana na kupoteza pambano lake huko Liverpool baada ya begi lake kupotea .
Chanzo : Mwananchi
Chanzo : Mwananchi