Waziri wa Michezo, Dr. Mwakyembe alivunja Baraza la Michezo Tanzania(BMT)

Tusubir watuletee kada. .

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Dar ameenda kufanya nn wakati .makao makuu ya wizara yako Dodoma..
 
Kama ilivyo team call me j
Hapa Tanzania kuna vijiji viwili tu (ninavyovikumbuka) vimejizoelea umaarufu wa aina yake:
1. Samunge: Kwa sababu ya Babu wa Kikombe kule Loliondo.
2. Kolomije: Kwa sababu ya Ndugu DAB.
 
Mpaka mkubwa aseme, kama alivyoongea Waziri Mkuu Bungeni ndio wameona mapungufu.

Tasnia ya filamu inapumulia mashine na bado unaambiwa kuna Baraza la sanaa, bodi ya filamu...na kuna watu wanalipwa mishahara kila mwezi.

Hivi COSOTA na Bodi ya Filamu wanafanyaje kuokoa hawa wasaniii !!?? Zaidi ya kwenda Ofisini na kunywa chai. SHAME!!
 
Hivi COSOTA na Bodi ya Filamu wanafanyaje kuokoa hawa wasaniii !!?? Zaidi ya kwenda Ofisini na kunywa chai. SHAME!!
Hawana wazo wala ushauri...tasnia ilijiinua yenyewe na inajifia yenyewe, wao role yao ni ku impose sheria tu, usifanye hivi au vile.

Sio bodi wala wizara yenye Mtu wa kukaa chini na Wasanii/wadau na kujadili tumekosea wapi tufanye nini....wao wakishajibu tu 'bajeti hakuna' wamemaliza mchezo wanasubiri mwisho wa mwezi chao kinaingia maisha yanasonga.
 
Huku dioniz malinzi kule kwingine malinzi yule rais. Duuh, shikamoo wahaya.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Mwakyembe nakuunga mkono 100% kwa kuvunja BMT sijaona kazi yoyote wanayofanya zaidi ya kudidimiza maendeleo ya mpira nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…