Waziri wa Nishati, January Makamba afanya kikao na mabalozi wa Norway, Sweden na Saudi Arabia

Makamba wizara moja imekushinda, sasa unataka uraisi. Utawezaje mudu wizara zote?
 
Ukisoma kitabu Cha azimio la Arusha kwakweli wanayofanya Hawa viongozi utatamani kulia
 
Watanzania tuna matatizo sana mnapinga kila kitu yule mzee mlimuita kichaa mungu akawaondolea mkaletewa mwenye huruma mnalalamika mnataka raisi wa aina gani ndugu zangu.
 
January anaishi katika dunia yake ya kufikirika kinyume na uhalisia. He has psychiatric disorder called maladaptive daydreams. In his daydreams, he creates fictional characters or idealized versions of himself. ( Labda wa mtu fulani maarufu!)


Hili linaweza kuleta madhara kwa Mama Samia na taifa. Anahitaji usimamizi na uangalizi juu ya uraibu wake hasi, deep inside his mind. Hawa wazungu wanaweza kutumia hii weakness kuingia mikataba ya kilaghai.
 
Tunawaziri kijana lakini katawaliwa na fikra za vijimisaada! Hatuna waziri mwenye ubunifu. Tanzania swala la nishati hivi bado tunalilia misaada na kuongea na mabalozi ofisini tena waziri wa nishati? Waziri ambae anataka sifa toka kwa mabalozi ajioneshe yeye ni yeye! Badala afikirie nje ya box kunamikakati ipi ya ndani kuhakikisha tunakuwa na umeme imara. Tanzania ina kila kitu.

Yeye anapenda zoga ili kujionesha ni mtu wa kimataifa. Nadhani January Makamba, huna ubunifu, umefika mwisho wa kufikiri, huna jipya la kuisaidia Tanzania katika kuondokana na tatizo la nishati. Mawazo yako yanabaki tu kutaka sifa za urais. Nakuhakikishia hutokaa uwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huna sifa na hufai kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…