Waziri wa TAMISEMI, kwanini mmeajiri Watoto wetu na mnawalazimisha waripoti bila kuwalipa chochote?

Waziri wa TAMISEMI, kwanini mmeajiri Watoto wetu na mnawalazimisha waripoti bila kuwalipa chochote?

Dallas green

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2019
Posts
1,377
Reaction score
2,800
Waziri wa TAMISEMI muwe serious hii ni nchi sasa mnalowalazmisha watoto waripoti bila kuwalipa mnakuwa mnategmea nini?

Sisi wazazi, mahindi mmesema tusiuze nje tunauza kwa hasara tujikimu sasa tena na Watoto mmewaajiri mikoa ya mbali huku mkifosi wafike na hamjawapa nauli pesa ya kuishi wala mshahara, mfano ni Wilaya ya Arusha.

Kumbukeni hii ni nchi sio kampuni na mnatia vitisho kuwa ni kanuni za utumishi mtu kuripoti bila kumlipa matumizi ya anapokuja? Sasa Ummy Mwalimu ujumbe huu nakutumia inbox fuatilia, mbona wilaya nyingine wamepewa watoto?
 
Waziri wa tamisemi muwe sirius hii ni nchi sasa mnalowalazmisha watoto wariport bila kwalipa mnakua mnatgmea nn? Sisi wazaz mahindi mmesema tusiuze nje tunauza kwa hasara tujikimu sasa tena na watoto mmewaajir mikoa ya mbali huku mkifosi wafike na hamjawapa nauli pesa ya kuish uko wala mshahara mfano ni arusha Dc . Kumbukeni hii ni nchi sio kampuni na mnatia vitisho kua ni kanuni za utumish mtu kuriport bila kumlipa matumiz ya uko anapokuja ? Sasa ummy mwalim ujumbe huu nakutumia inbox fuatilia. Mbona wilaya nyingine wamepew watoto
Ummy Mwalimu sio waziri wa Tamisemi. Umechanganya Madesa
 
Na kweli ni value!

Mtumishi hupewa pesa ya kujikimu baada ya kuripoti kazini, na kukamilisha documents zote ikiwa ni pamoja na kusaini makubaliano/mkataba wa ajira.

Sasa ww unataka wakutumie pesa ukiwa nyumbani kwani hiyo ni poket money au Kodi ya meza mkuu! Halafu akisharipoti ndio atawapa na account namba ya Benki ili wamwekee... Asa watampaje akiwa nyumbani? Au unataka wamwachie dukani kwa masawe akaichukuepo? Wengine wakishaajiriwa wanakataa kazi ndio maana lazima asaini mkataba ndio aanze kulipwa.

Halafu, akisharipoti mkurugenzi wake atampa muda wa kukaa home wakati anapoendelea kushughulikia malipo yake ya awali Hadi atakapolipwa ndio aanze kwenda kazini! Kwa hiyo kopa mahali Kisha atarejesha atakapopokea!
 
Hakuna kawaida ya siku 14! We ulisikia wapi? Acha kuishi kwa mazoea. Kama kituo alichopangiwa kina uhitaji mkubwa aende akatumike. Kumbuka waliomba ni wengi lakini waliojaliwa kupata ni wachache! So acha kuwa na shukrani ya punda!
 
Waziri wa TAMISEMI muwe serious hii ni nchi sasa mnalowalazmisha watoto waripoti bila kuwalipa mnakuwa mnategmea nini?

Sisi wazazi, mahindi mmesema tusiuze nje tunauza kwa hasara tujikimu sasa tena na Watoto mmewaajiri mikoa ya mbali huku mkifosi wafike na hamjawapa nauli pesa ya kuishi wala mshahara, mfano ni Wilaya ya Arusha.

Kumbukeni hii ni nchi sio kampuni na mnatia vitisho kuwa ni kanuni za utumishi mtu kuripoti bila kumlipa matumizi ya anapokuja? Sasa Ummy Mwalimu ujumbe huu nakutumia inbox fuatilia, mbona wilaya nyingine wamepewa watoto?
yani mtu amepata ajira bado unalalamika Mungu akupe nini mkuu gunia la chawa au upupu hizo ajira watu wanazisotea
 
Waziri wa TAMISEMI muwe serious hii ni nchi sasa mnalowalazmisha watoto waripoti bila kuwalipa mnakuwa mnategmea nini?

Sisi wazazi, mahindi mmesema tusiuze nje tunauza kwa hasara tujikimu sasa tena na Watoto mmewaajiri mikoa ya mbali huku mkifosi wafike na hamjawapa nauli pesa ya kuishi wala mshahara, mfano ni Wilaya ya Arusha.

Kumbukeni hii ni nchi sio kampuni na mnatia vitisho kuwa ni kanuni za utumishi mtu kuripoti bila kumlipa matumizi ya anapokuja? Sasa Ummy Mwalimu ujumbe huu nakutumia inbox fuatilia, mbona wilaya nyingine wamepewa watoto?
Mkuu Wala usiwaze ,wewe mpe nauli mtoto wako arudi Serikali ilipata hela itamuita kazini 😁😁
 
Back
Top Bottom