Waziri wa TAMISEMI, kwanini mmeajiri Watoto wetu na mnawalazimisha waripoti bila kuwalipa chochote?

Pesa wanapeleka kwenye kumridhisha rais na ziara zake zenye utitiri wa wanasiasa na kusombwa wananchi.
 
Kuna mtoto wa dada yangu anaambiwa akaripoti ndani ya siku 7 tofauti na kawaida ilivyo ndani ya siku 14. Hapohapo hela hawajaingiziwa.
Nchi moja ya kipuuzi sana hii.
Wataingizaje Hela mtumishi hajafika kituoni
Mimi navofahamu unaripoti then ukiona hakuna pesa unaruhusiwa kuomba ruhusa ya siku saba had 14 arudi nyumbani kwanza huwe Baki sehemu hakuna Hela
 
Wataingizaje Hela mtumishi hajafika kituoni
Mimi navofahamu unaripoti then ukiona hakuna pesa unaruhusiwa kuomba ruhusa ya siku saba had 14 arudi nyumbani kwanza huwe Baki sehemu hakuna Hela
Dogo alisharipoti. Unapewa 14 za kujiandaa sanjari na kuingiziwa pesa.
 
Kuna mtoto wa dada yangu anaambiwa akaripoti ndani ya siku 7 tofauti na kawaida ilivyo ndani ya siku 14. Hapohapo hela hawajaingiziwa.
Nchi moja ya kipuuzi sana hii.
Sasa rafiki,utamlipa mtu hata hajaripoti, asipokuja? Utajuaje account no. yake ili umuingizie hiyo hela kabla ya kumuona ?Utamuingiziaje hela wkt hajajaza mikataba na fomu muhimu? Nawaza tu
 
Aisee! Kwa hiyo ulitaka mtoto wako atumiwe nauli na serikali huko huko aliko!! Huu utaratibu uliwahi kuusikia wapi ndani ya hii Jamhuri yetu? Malipo ya serikali hayafanyiki kwa mtindo huo.

Kwanza unatakiwa kushukuru huyo mtoto wako kupata hiyo nafasi. Maana kuna maelfu ya wahitimu waliomba hizo nafasi kiduchu, na bado walikosa! Huku wakiwa na sifa za kuajiriwa.

Hivyo nakushauri kuuza mahindi, mpunga, mbuzi, sungura, mbwa, kuku, nk ili mtoto apate nauli ya kwenda kuripoti kituo chake kipya cha kazi, na pia umpe na hela ya kujikumu mpaka hapo atakapo jaza mkataba wake wa ajira na serikali, ili kupata stahiki zake.
 
Kupata nafasi hakumfanyi apoteze haki yake, ivi hujui pesa ya kujikimu ni nini?
 
Hizi wizara tumepewa kwa kugawana ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…