Umenielewa nilichokiandika kweli!Kupata nafasi hakumfanyi apoteze haki yake, ivi hujui pesa ya kujikimu ni nini?
Aah wapi huu uzi kauandika yuko vyombo hata lafudhi yake inasadifuWala hatumii hii kinywaji pendwa
Kwa hiyo alivyojaza hizo fomu akarudi nyumbani? Huu mbona ni utaratibu wa kila siku? Hata sisi tulivyoripoti mwaka 2010 ilikuwa hivyo hivyo, tulikuja kulipwa baada ya kama miezi miwili hivi, yaani mpaka jina liliposoma kwenye payroll! Tuache kuipa serikali masharti ya hovyo hovyo! Kama unaona ni usumbufu mwanao asitafute kazi serikalini!Alisharipot siku 14 zilizopita akaambiwa aandike izo barua zao na ya ruhusa sasa hawajamlipa baada ya siku 14 kuisha ila wanasema aende ni lazima
Na huu ndio utaratibu ninaoujua mmNa kweli ni value!
Mtumishi hupewa pesa ya kujikimu baada ya kuripoti kazini, na kukamilisha documents zote ikiwa ni pamoja na kusaini makubaliano/mkataba wa ajira.
Sasa ww unataka wakutumie pesa ukiwa nyumbani kwani hiyo ni poket money au Kodi ya meza mkuu! Halafu akisharipoti ndio atawapa na account namba ya Benki ili wamwekee... Asa watampaje akiwa nyumbani? Au unataka wamwachie dukani kwa masawe akaichukuepo? Wengine wakishaajiriwa wanakataa kazi ndio maana lazima asaini mkataba ndio aanze kulipwa.
Halafu, akisharipoti mkurugenzi wake atampa muda wa kukaa home wakati anapoendelea kushughulikia malipo yake ya awali Hadi atakapolipwa ndio aanze kwenda kazini! Kwa hiyo kopa mahali Kisha atarejesha atakapopokea!
Ok labda sikuweka sawa. Alishakwenda kuripoti. Siku 14 huwa wanapewa kujiandaa ili kurudi kuanza kazi rasmi. Unapoenda kuripoti mambo yanakua formalised ili waingiziwe pesa za kujikimu pindi anapoenda kuanza ajira rasmi.Sasa rafiki,utamlipa mtu hata hajaripoti, asipokuja? Utajuaje account no. yake ili umuingizie hiyo hela kabla ya kumuona ?Utamuingiziaje hela wkt hajajaza mikataba na fomu muhimu? Nawaza tu
Umejuaje bossWe ndo uliechaguliwa kule momba?[emoji23][emoji23]
Mikataba watu wamejaza mpaka fomu za mifuko ya wafanyakazi mzigo hawajapewa fomu walipewa likiz ya siku 14 wengi Jana wameanza safari kurudi shuleni jumatatu kazini mizigo bado kupata vyema ukope ufike kituoniUmenielewa nilichokiandika kweli!
Ni hivi; serikali haina huo utaratibu wa kutuma nauli kwa waajiriwa wake wapya.
Kinachofanyika ni mwajiriwa mpya kuripoti kituo chake kipya cha kazi kwa kujigharamia mwenyewe nauli, na pia hela yake ya kujikimu, mpaka hapo atakapojaza mkataba na taarifa zake muhimu za kuonesha yuko kituo chake cha kazi.
Labda kama mtoa mada angesema mtoto wake ameripoti kituoni na kuanza kazi, halafu serikali imemtelekeza pasipo kumlipa mshahara wake, au posho ya kuripoti kituoni.
Pesa ya kujikimu inatolewa pale tu watakapojaza taarifa binafsi kipindi wanaripoti, maana ukimwachia aondoke tu aende kituoni Sasa pesa ya godoro na nyumba ya kupanga ataitoa WapiUmenielewa nilichokiandika kweli!
Ni hivi; serikali haina huo utaratibu wa kutuma nauli kwa waajiriwa wake wapya.
Kinachofanyika ni mwajiriwa mpya kuripoti kituo chake kipya cha kazi kwa kujigharamia mwenyewe nauli, na pia hela yake ya kujikimu, mpaka hapo atakapojaza mkataba na taarifa zake muhimu za kuonesha yuko kituo chake cha kazi.
Labda kama mtoa mada angesema mtoto wake ameripoti kituoni na kuanza kazi, halafu serikali imemtelekeza pasipo kumlipa mshahara wake, au posho ya kuripoti kituoni.
Mimi naona kama mambo ni magumu hivyo ushauri wangu achana na hiyo kazi ya kisenge fanya mishe zako mitaani fullstopMikataba watu wamejaza mpaka fomu za mifuko ya wafanyakazi mzigo hawajapewa fomu walipewa likiz ya siku 14 wengi Jana wameanza safari kurudi shuleni jumatatu kazini mizigo bado kupata vyema ukope ufike kituoni
Nenda kaedit uzi sasaOk labda sikuweka sawa. Alishakwenda kuripoti. Siku 14 huwa wanapewa kujiandaa ili kurudi kuanza kazi rasmi. Unapoenda kuripoti mambo yanakua formalised ili waingiziwe pesa za kujikimu pindi anapoenda kuanza ajira rasmi.
Zamani ilikua tofauti na sasa. Siku hizi naona mambo yako tofauti hakuna namna lazima mtu akope aende kuanza kazi.
Na ndo navyofahamu mie, huu ndo utaratibu.Na kweli ni value!
Mtumishi hupewa pesa ya kujikimu baada ya kuripoti kazini, na kukamilisha documents zote ikiwa ni pamoja na kusaini makubaliano/mkataba wa ajira.
Sasa ww unataka wakutumie pesa ukiwa nyumbani kwani hiyo ni poket money au Kodi ya meza mkuu! Halafu akisharipoti ndio atawapa na account namba ya Benki ili wamwekee... Asa watampaje akiwa nyumbani? Au unataka wamwachie dukani kwa masawe akaichukuepo? Wengine wakishaajiriwa wanakataa kazi ndio maana lazima asaini mkataba ndio aanze kulipwa.
Halafu, akisharipoti mkurugenzi wake atampa muda wa kukaa home wakati anapoendelea kushughulikia malipo yake ya awali Hadi atakapolipwa ndio aanze kwenda kazini! Kwa hiyo kopa mahali Kisha atarejesha atakapopokea!
Sijakuelewa kabisaaMbana umeandika kama wote tunaonaga mijadala ya humu mkuu