Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Moja ya viongozi wa hovyo kabisa ni huyu waziri wa TAMISEMI, kwanza sijawahi kumuelewa huyu jamaa capacity na uwezo wake.
hapo alipo.? Hawa watu walipaswa kuwa wapiga madufu. Unfortunately wameingia kwenye ofisi za Umma wakidhan kwamba kila kitu ni maagizo
Mkwe anakuaje waziri wako, mgongano wa kimasilahi na kuna shida kubwa snaa hapa na hii familia.
Watanzania tusipo amka hii familia itatuvuruga sana , it’s usa kila kitu , tuamke, wao hata elimu zao ni za kudonoa kama kuku wa kienyeji,
hapo alipo.? Hawa watu walipaswa kuwa wapiga madufu. Unfortunately wameingia kwenye ofisi za Umma wakidhan kwamba kila kitu ni maagizo
Mkwe anakuaje waziri wako, mgongano wa kimasilahi na kuna shida kubwa snaa hapa na hii familia.
Watanzania tusipo amka hii familia itatuvuruga sana , it’s usa kila kitu , tuamke, wao hata elimu zao ni za kudonoa kama kuku wa kienyeji,