PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega (Mb) ametangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa upanuzi wa barabara kutoka Rangi Tatu hadi Mkuranga, baada ya kupata kibali kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Waziri amesema upanuzi wa barabara hiyo umekubalika ili kuondoa msongamano mkubwa unaosababisha adha kwa wananchi wa Mkuranga, Kibiti, Rufiji na maeneo yote ya ukanda wa Kusin
i.
Waziri amesema upanuzi wa barabara hiyo umekubalika ili kuondoa msongamano mkubwa unaosababisha adha kwa wananchi wa Mkuranga, Kibiti, Rufiji na maeneo yote ya ukanda wa Kusin