babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
s
Mboma mwenyewe ndo kwanza km anaanza leo kazi.
i mchezo,km Sarakikya anadunda mpk leo basi walikua na haki ya kuwa na hicho cheo-Kuna watu wamejaariwa uhai na afya.....mtu kastafu 2001,...hadi leo ana afya tele.....ukiwaona vijana na mabinti wadogo waliozaliwa 2001,wanajihusisha na matumizi ya mihadarati,pombe,ngono zembe na kujiuza unaona kabisa wamezeeka hata kufika robo ya miaka ya generali ni mtihani
Mboma mwenyewe ndo kwanza km anaanza leo kazi.