Kuna watu wamejaariwa uhai na afya.....mtu kastafu 2001,...hadi leo ana afya tele.....ukiwaona vijana na mabinti wadogo waliozaliwa 2001,wanajihusisha na matumizi ya mihadarati,pombe,ngono zembe na kujiuza unaona kabisa wamezeeka hata kufika robo ya miaka ya generali ni mtihani