Waziri wa Ulinzi Dkt. Stergomena amtembelea Jenerali mstaafu Robert Mboma

s
i mchezo,km Sarakikya anadunda mpk leo basi walikua na haki ya kuwa na hicho cheo-
Mboma mwenyewe ndo kwanza km anaanza leo kazi.
 
Cha kushangaza mtu kama Kova kastaafu juzi tu hapa, leo tayari ameanza kutembelea mkongojo.
 
Ondoa pombe kwenye orodha yako, weka juice za pakti, furusana nk. Mnaokunywa ivi vinywaji mnajiona mko salama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…