Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ajiuzulu kwa kutoa misaada ya silaha kwa Ukraine

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ajiuzulu kwa kutoa misaada ya silaha kwa Ukraine

F16 Falcon

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
750
Reaction score
1,645
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Christine Lambrecht amejiuzulu kwenye nafasi, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC Swahili).

========

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ajiuzulu​


ujeruman-pic.jpg
- Hatua ya Ujerumani kuisaidia Ukraine silaha kufuatia mapigano yanayoendelea baina ya taifa hilo na Urusi, Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ameoomba kuachia nafasi hiyo kutokana na uamuzi huo.

Dar es Salaam
. Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Christine Lambrecht amejiuzulu kwenye nafasi, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC Swahili).

Uamuzi wa kiongozi huyo unatokana na ukosaji mkali alioupata kutokana na uamizi wa kupeleka silaha nchini Ukraine na uwekezaji mkubwa alioufanya katika jeshi.

Katika mkesha wa Mwaka Mpya, kiongozi huyo alituma ujumbe katika ukurasa wa Instagram akizungumzia mgogoro wa Urusi na Ukraine huku mirindimo ya milipuko nyuma yake ikisikika hali ambayo ilizua utata.

Kufuatia video hiyo, hasira za kumtaka kiongozi waziri huyo ang’oke zilielezwa na uvumi wa waziri huyo wa ulinzi kujiuzulu wadhifa huo ulisambaa zaidi wiki iliyopita.

Mapema leo Jumatatu Januari 16, 2023 Lambrecht amesema, “Kwa muda mrefu vyombo vya habari vinanitazama mimi binafsi. Haviruhusu mjadala wa wazi kwa jamii kuhusu nafasi ya jeshi na sera za usalama za Ujerumani, kwa hiyo nimeamua kuachia nafasi yangu.”
 

Attachments

  • Screenshot_20230116-151933_Facebook.jpg
    Screenshot_20230116-151933_Facebook.jpg
    215.6 KB · Views: 6
Haswaa keshawafukuzisha kazi Waziri wa Italy, UK sasa German Wataelewa tu
Hujui ulaya wewe

Wanatimuliwa na usalama wa taifa wa nchi zao baada ya kuwaona hawafai kwa sasa

Ni forced exit ya kuwa forced na usalama wa Taifa wa nchi zao
 
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Christine Lambrecht amejiuzulu kwenye nafasi, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC Swahili).

========

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ajiuzulu​


ujeruman-pic.jpg
- Hatua ya Ujerumani kuisaidia Ukraine silaha kufuatia mapigano yanayoendelea baina ya taifa hilo na Urusi, Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ameoomba kuachia nafasi hiyo kutokana na uamuzi huo.

Dar es Salaam
. Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Christine Lambrecht amejiuzulu kwenye nafasi, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC Swahili).

Uamuzi wa kiongozi huyo unatokana na ukosaji mkali alioupata kutokana na uamizi wa kupeleka silaha nchini Ukraine na uwekezaji mkubwa alioufanya katika jeshi.

Katika mkesha wa Mwaka Mpya, kiongozi huyo alituma ujumbe katika ukurasa wa Instagram akizungumzia mgogoro wa Urusi na Ukraine huku mirindimo ya milipuko nyuma yake ikisikika hali ambayo ilizua utata.

Kufuatia video hiyo, hasira za kumtaka kiongozi waziri huyo ang’oke zilielezwa na uvumi wa waziri huyo wa ulinzi kujiuzulu wadhifa huo ulisambaa zaidi wiki iliyopita.

Mapema leo Jumatatu Januari 16, 2023 Lambrecht amesema, “Kwa muda mrefu vyombo vya habari vinanitazama mimi binafsi. Haviruhusu mjadala wa wazi kwa jamii kuhusu nafasi ya jeshi na sera za usalama za Ujerumani, kwa hiyo nimeamua kuachia nafasi yangu.”
Huyu mama Ni bonge la Snitch. Kuna taarifa kwamba huyu mama kapewa Mlungura na bwana Putin ili Ujerumani isipeleke Silaha nchini Ukraine. Huyu mama amekuwa mzito kutoa maamuzi linapokuja Suala la Kupeleka Silaha nchini Ukraine na ndio kaandamwa balaa. Sasa Aondoke ili Mrithi wake amwage Silaha za kutosha kulipa jeshi Shupavu la Zelenskyy.
 
Huyu mama Ni bonge la Snitch. Kuna taarifa kwamba huyu mama kapewa Mlungura na bwana Putin ili Ujerumani isipeleke Silaha nchini Ukraine. Huyu mama amekuwa mzito kutoa maamuzi linapokuja Suala la Kupeleka Silaha nchini Ukraine na ndio kaandamwa balaa. Sasa Aondoke ili Mrithi wake amwage Silaha za kutosha kulipa jeshi Shupavu la Zelenskyy.
Watu Kwa kujizima data mko vizuri!
 
Huyu mama Ni bonge la Snitch. Kuna taarifa kwamba huyu mama kapewa Mlungura na bwana Putin ili Ujerumani isipeleke Silaha nchini Ukraine. Huyu mama amekuwa mzito kutoa maamuzi linapokuja Suala la Kupeleka Silaha nchini Ukraine na ndio kaandamwa balaa. Sasa Aondoke ili Mrithi wake amwage Silaha za kutosha kulipa jeshi Shupavu la Zelenskyy.
Leta Chanzo cha taarifa yako
 
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Christine Lambrecht amejiuzulu kwenye nafasi, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC Swahili).

========

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ajiuzulu​


ujeruman-pic.jpg
- Hatua ya Ujerumani kuisaidia Ukraine silaha kufuatia mapigano yanayoendelea baina ya taifa hilo na Urusi, Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ameoomba kuachia nafasi hiyo kutokana na uamuzi huo.

Dar es Salaam
. Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Christine Lambrecht amejiuzulu kwenye nafasi, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC Swahili).

Uamuzi wa kiongozi huyo unatokana na ukosaji mkali alioupata kutokana na uamizi wa kupeleka silaha nchini Ukraine na uwekezaji mkubwa alioufanya katika jeshi.

Katika mkesha wa Mwaka Mpya, kiongozi huyo alituma ujumbe katika ukurasa wa Instagram akizungumzia mgogoro wa Urusi na Ukraine huku mirindimo ya milipuko nyuma yake ikisikika hali ambayo ilizua utata.

Kufuatia video hiyo, hasira za kumtaka kiongozi waziri huyo ang’oke zilielezwa na uvumi wa waziri huyo wa ulinzi kujiuzulu wadhifa huo ulisambaa zaidi wiki iliyopita.

Mapema leo Jumatatu Januari 16, 2023 Lambrecht amesema, “Kwa muda mrefu vyombo vya habari vinanitazama mimi binafsi. Haviruhusu mjadala wa wazi kwa jamii kuhusu nafasi ya jeshi na sera za usalama za Ujerumani, kwa hiyo nimeamua kuachia nafasi yangu.”
Kujiuzulu kwa waziri ni habari ya ukweli ila sababu ya kujiuzulu ni ya uongo.
Ukweli wa kujiuzulu ni kwamba alichelewesha misaada kwa Ukraine ambayo ilikuwa imeisha idhinishwa kwa kusudi hilo.
Hii habari haina tofauti na Mandong'a kuripotiwa kupigea huko Kenya kumbe ukweli ulikuwa ni kinyume chake
 
Kujiuzulu kwa waziri ni habari ya ukweli ila sababu ya kujiuzulu ni ya uongo.
Ukweli wa kujiuzulu ni kwamba alichelewesha misaada kwa Ukraine ambayo ilikuwa imeisha idhinishwa kwa kusudi hilo.
Hii habari haina tofauti na Mandong'a kuripotiwa kupigwa huko Kenya kumbe ukweli ulikuwa ni kinyume chake
 
Kujiuzulu kwa waziri ni habari ya ukweli ila sababu ya kujiuzulu ni ya uongo.
Ukweli wa kujiuzulu ni kwamba alichelewesha misaada kwa Ukraine ambayo ilikuwa imeisha idhinishwa kwa kusudi hilo.
Hii habari haina tofauti na Mandong'a kuripotiwa kupigea huko Kenya kumbe ukweli ulikuwa ni kinyume chake
Kwa akili yako akichelewesha misaada wanaandamana waukrein au wajerumani bakisha ka akili hata kadoooogo kakuvukia zebra
 
Back
Top Bottom