Waziri Wa Urusi Aikimbia Nchi Yake Na Kwenda Kuwa Dereva Wa Malori Marekani

Waziri Wa Urusi Aikimbia Nchi Yake Na Kwenda Kuwa Dereva Wa Malori Marekani

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
Urusi ni roho ya mahuti.
Hakuna jema linatoka katika hiyo nchi ukitoa vodika na vileo vingine.
Urusi nchi yenye rasilimali mingi kuliko nchi yoyote imeshindwa gomboka kiuchumi et leo ndiye Nchi kuhani wa watu wa Africa!!
Leo watu weusi wanaitazama Urusi na Wagner kama wana wa Israeli walivyokuwa wakiwatazama Harun na Mussa kule jangwani.
Africa will never see peace.
Wakati Wagner walipotaka kumpindua Putin, Putin akaanza kulia lia kama litoto lidogo ila Leo anafurahia mapinduzi ya la Rais wa Niger.
 
Urusi ni roho ya mahuti.
Hakuna jema linatoka katika hiyo nchi ukitoa vodika na vileo vingine.
Urusi nchi yenye rasilimali mingi kuliko nchi yoyote imeshindwa gomboka kiuchumi et leo ndiye Nchi kuhani wa watu wa Africa!!
Leo watu weusi wanaitazama Urusi na Wagner kama wana wa Israeli walivyokuwa wakiwatazama Harun na Mussa kule jangwani.
Africa will never see peace.
Wakati Wagner walipotaka kumpindua Putin, Putin akaanza kulia lia kama litoto lidogo ila Leo anafurahia mapinduzi ya la Rais wa Niger.
Umeandika as if umelewa
 
Urusi ni roho ya mahuti.
Hakuna jema linatoka katika hiyo nchi ukitoa vodika na vileo vingine.
Urusi nchi yenye rasilimali mingi kuliko nchi yoyote imeshindwa gomboka kiuchumi et leo ndiye Nchi kuhani wa watu wa Africa!!
Leo watu weusi wanaitazama Urusi na Wagner kama wana wa Israeli walivyokuwa wakiwatazama Harun na Mussa kule jangwani.
Africa will never see peace.
Wakati Wagner walipotaka kumpindua Putin, Putin akaanza kulia lia kama litoto lidogo ila Leo anafurahia mapinduzi ya la Rais wa Niger.
Unataka kutueleza nini? Mimi sikuelewi kabisaa!!! Mbona uzungumzii umahili wa Warusi kwenye masuala ya sayansi na teknolojia, bila Urusi si ajabu Ulaya nzima na Afrika na USA wangekuwa wanazungumza Kijerumani baada ya WW2.

Tukirudi kwa masuala ya sayansi na teknolojia, ebu twambie ni taifa gani Duniani liliwahi kupeleka binadamu wa kwanza kwenye outer space, chombo cha kwanza mwezini nakupiga picha the other side of the moon, chombo cha kwanza kwenye sayari za Mars na Venus;first space stations,first space walk, supersonic jet fighter 1955 MiG-21, Nuclear ice breaker,Nuclear Power Reactors kwa ajili ya kuzalisha umeme you name it

Cha ajabu some of you people gotta inbuilt rabid hatred of everything Russian, sababu nyingine ni too laughable - masaa yote kuisema sema vibaya Urusi as if haijawahi ku-contribute chochote hapa Duniani hasa kwenye maendeleo ya sayansi na technolojia - someni unbiased Science journal muone wana sayansi wa Urusi waliyo wahi kuchangia kwenye masuala ya kuendeleza Dunia kwenye nyanja mbali mbali lakini hilo huwa alisemwi na media za magharobi. Masaa yote kuzungumzia masuala ya Vodka na ulevi kwa lengo la kutaka kuidhalilisha Urusi vile wanafikiri watu hawana akili za kujua kwamba hizo ni propaganda zisizo na tija - Leopard na Challenger zikitiwa kiberiti huko na silaha za Urusi media za magharibi zinakaa kimya hasemi kwamba zinalipuliwa kama karatasi kutokana na Scotland kuuza Whiskey nyingi Duniani au Waingereza in general ni walevi wa Whisky ndio maana wanaunda vifaru vya ovyo ovyo.
 
Umeandika as if umelewa
Honestly hapa nilipo ninatupia kimimiko cha black label.
Nipo Off, Guta Langu bovu so, hapa ninakula ulanzi wa black lebal as it seen on below picture but kanusha nilichokiandika otherwise hupendi ukweli. 😁😁
 

Attachments

  • 20230819_140432.jpg
    20230819_140432.jpg
    193.1 KB · Views: 1
Z
Unataka kutueleza nini? Mimi sikuelewi kabisaa!!! Mbona uzungumzii umahili wa Warusi kwenye masuala ya sayansi na teknolojia, bila Urusi si ajabu Ulaya nzima na Afrika na USA wangekuwa wanazungumza Kirusi baada ya WW2.

Tukirudi kwa masuala ya sayansi na teknolojia ebu twambie na taifa gani Duniani liliwahi kupeleka binadamu wa kwanza kwenye outer space, chombo cha kwanza mwezini nakupiga picha the other side of the moon, chombo cha kwanza kwenye sayari za Mars na Venus;first space stations, supersonic jet fighter, nuclear ice breaker you name it - lakini your inbuilt rabid hatred kuhusu Urusi masaa yote kuisema sema vibaya Urusi as if haijawahi ku-contribute chochote kwenye maendeleo ya sayansi na technolojia - someni unbiased science journal muone wana sayansi wa Urusi waliyo wahi kuchangia kwenye masuala ya kuendeleza Dunia kwenye nyanja mbali mbali lakini hilo huwa alisemwi na media za magharobi.
KHAMIS, nisikilize.
Mimi sijaongelea Soviet, mimi nimeongelea Urusi.
Nikisema NCCR HAIJAWAI FANYA CHOCHOTE BASI UNITAJIE NCCR ILICHOKIFANYA WAKATI IKIWA UKAWA.
 
Unataka kutueleza nini? Mimi sikuelewi kabisaa!!! Mbona uzungumzii umahili wa Warusi kwenye masuala ya sayansi na teknolojia, bila Urusi si ajabu Ulaya nzima na Afrika na USA wangekuwa wanazungumza Kijerumani baada ya WW2.

Tukirudi kwa masuala ya sayansi na teknolojia, ebu twambie ni taifa gani Duniani liliwahi kupeleka binadamu wa kwanza kwenye outer space, chombo cha kwanza mwezini nakupiga picha the other side of the moon, chombo cha kwanza kwenye sayari za Mars na Venus;first space stations,first space walk, supersonic jet fighter 1955 MiG-21, Nuclear ice breaker,Nuclear Power Reactors kwa ajili ya kuzalisha umeme you name it

Cha ajabu some of you people gotta inbuilt rabid hatred of everything Russian, sababu nyingine ni too laughable - masaa yote kuisema sema vibaya Urusi as if haijawahi ku-contribute chochote hapa Duniani hasa kwenye maendeleo ya sayansi na technolojia - someni unbiased Science journal muone wana sayansi wa Urusi waliyo wahi kuchangia kwenye masuala ya kuendeleza Dunia kwenye nyanja mbali mbali lakini hilo huwa alisemwi na media za magharobi. Masaa yote kuzungumzia masuala ya Vodka na ulevi kwa lengo la kutaka kuidhalilisha Urusi vile wanafikiri watu hawana akili za kujua kwamba hizo ni propaganda zisizo na tija - Leopard na Challenger zikitiwa kiberiti huko na silaha za Urusi media za magharibi zinakaa kimya hasemi kwamba zinalipuliwa kama karatasi kutokana na Scotland kuuza Whiskey nyingi Duniani au Waingereza in general ni walevi wa Whisky ndio maana wanaunda vifaru vya ovyo ovyo.
Urusi mwenyewe anakiri bila usaidizi wa US Ujerumani ilikuwa inaiteka Urusi, vingine story tu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Urusi ni roho ya mahuti.
Hakuna jema linatoka katika hiyo nchi ukitoa vodika na vileo vingine.
Urusi nchi yenye rasilimali mingi kuliko nchi yoyote imeshindwa gomboka kiuchumi et leo ndiye Nchi kuhani wa watu wa Africa!!
Leo watu weusi wanaitazama Urusi na Wagner kama wana wa Israeli walivyokuwa wakiwatazama Harun na Mussa kule jangwani.
Africa will never see peace.
Wakati Wagner walipotaka kumpindua Putin, Putin akaanza kulia lia kama litoto lidogo ila Leo anafurahia mapinduzi ya la Rais wa Niger.
Ukidhulumiwa na kunyonywa sn na hakuna wa kukuokoa hata akitokea Mandonga ambae anataka kukutetea kwann usimkubali
 
Back
Top Bottom