Waziri Wa Urusi Aikimbia Nchi Yake Na Kwenda Kuwa Dereva Wa Malori Marekani

Waziri Wa Urusi Aikimbia Nchi Yake Na Kwenda Kuwa Dereva Wa Malori Marekani

Ukidhulumiwa na kunyonywa sn na hakuna wa kukuokoa hata akitokea Mandonga ambae anataka kukutetea kwann usimkubali
😂😂 Bwasheeeee.. Africa haidhulumiwi, Africa inajidhulumu yenyewe.
Mfn, inshu ya Bandari mwenye makosa si hao masheikh wa Dubai bali mtu mweusi.
Mashekh wa Dubai wapo kwa ajili ya masirahi yao na ya watoto so, wapo tayari kuingia katika mkataba wowote as long as conditions zinawafavor wao.
Mtu mweusi kasain mkataba kwa kununuliwa Range then mwisho wa siku atakuja kwenye majukwaa ya siasa na kusema " wanatuibiwa,nichagueni mimi nikomeshe hii mikataba ya kifisaidi" as if yeye hakuwepo wakati hii mikataba inasainiwa.
 
Ni maajabu ya Karne Kwa Waziri kuacha kazi yake ya uwaziri toka nchi kubwa, superpower ,na kwenda kuwa dereva wa Malori 🤔
.....
Duh!... Supa-pawa amepatwa na nini tena mpaka mawaziri wakimbie ? Au na wao wanapelekwa Frontline ?
 
Duh!... Supa-pawa amepatwa na nini tena mpaka mawaziri wakimbie ? Au na wao wanapelekwa Frontline ?
kwa hali ilivyokuwa alikimbia bila chochote ukiondoa Lorry aliloondoka nalo akiendesha.Anapinga uvamizi wa Urusi Ukraine!
 
That is truth with modification. Huyo alikuwa waziri kwenye mojawapo ya majimbo ya Urusi linaloitwa Komi republic.Imepakwa rangi hii habari ili itumike katika propoganda za vita.
 
Marekani ikiamini huyo ni mkimbizi kutoka Russia na kumchukulia poa, itakula kwake!
 
Kuwa waziri kwenye jimbo la nchi kama Russia unaona ni kitu kidogo?
Wewe unaona ni jambo kubwa?Mimi nimeandika kwamba sio Rais wa Kilimo wa Urusi ni jimbo la Komi huko Urusi.
 
Ni maajabu ya Karne Kwa Waziri kuacha kazi yake ya uwaziri toka nchi kubwa, superpower ,na kwenda kuwa dereva wa Malori 🤔
.....
Hilo litakuwa lilikuwa pandikizi la US! Lilifikiri US na washiriki watashinda! Alipoona hakuna nafasi ya US na magasho wenzake kushinda kaona bora akimbilie US maana anaweza liwa kichwa! Angekuwa mwana Urusi kweli asingeenda US!
 
Back
Top Bottom