Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kwa mujibu wa Taarifa ya Bunge; Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda amefariki leo nchini India alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Balozi Kijazi amethibitisha taarifa hizi na familia imethibitisha kutokea kwa msiba huu.
Apumzike kwa amani
=======
UPDATES:
Toka Serikalini:
Kwa maskitiko makubwa serikali inatangaza Kifo Cha Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda MB. Waziri wa Viwanda na-Biashara kilichotokea katika Hospitali ya Apollo, New Delhi India leo.
Taarifa zaidi kuhusu msiba huu pamoja na mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu-na mazishi- zitaendelea kutolea na serikali hapo mbeleni.
Sisi wote ni wa mwenyezi na kwake- tutarejea.
Imetolewa na Idara ya Habari Maelezo.
Tujifunze kufa?
Au unachotaka kusema ni nini?
Sisi tukifikwa na misiba tunasema "Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun".
Unajuwa maana yake?
Aisee bro una roho mbaya, utaombeaje mtu flani afe ati kisa humpendi?R.I.P Abdala Kigoda!! Mungu kama angeuliza ni nani amchukue badala yako ningemsotea Npe. Alikuwa mkimya,mpole,hana majivuno na hana kauli mbaya.
hawa CCM wameshindwa kuboresha huduma za afya hapa nchini lakini wao wakipiga chafya tu hukumbilia India kutibiwa. pamoja na telekeza wananchi huduma za hospitali kwa wananchi, kifo kikishawadia hakikimbiliki. Mungu ailaze pema roho ya marehemu. Amina.
Alikufa zamani sana ila wabongo ubishi tu
Mbona unasema hatimaye?Hatimaye, RIP Dr kighoda
Mbona unasema hatimaye kwani ulikuwa unasubiria?Hatimaye, RIP Dr kighoda