TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

Kutokana na maneno ya kipumbavu aliyoongea.
Kukaa kimya nako Ni busara lkn ma CCM hawakujui Hilo.
Bilioni 11 zilimfanya ajisahau kabisa (sio Mimi, mahakama ilidhibitisha)

..sijui kwanini wenzangu mnaumizwa zaidi na maneno ya kipumbavu ya Mramba, kuliko maamuzi mabaya ya Mkapa.
 
Niache kwanza natesti mitambo

..hivi unafahamu nani alikuwa Waziri wa Uchukuzi wa wakati huo?

..Ninapenda kumjua kwasababu yeye ndiye Waziri aliyekuwa na dhamana ya manunuzi ya ndege ya Raisi.
 
Mwafrika atakuwa na maendeleo pale siku ile roho ya ubinafsi ikimtoka
 
..hivi suala la ununuzi wa ndege ya raisi kwanini analaumiwa mramba peke yake?

..kwanini rais mkapa, na waziri wa uchukuzi[ anayehusika na ndege] wa wakati huo, hawalaumiwi?
Mramba ndie kiranja mkuu
 
Mwafrika atakuwa na maendeleo pale siku ile roho ya ubinafsi ikimtoka
Ni kweli iliyoje? Mwafrika anajifikiria yeye tu! Na hasa mtanzania. Kama siku umezuka mtindo wa kujipendekeza na kuabudu viongozi wa nchi kwa mambo ya kijinga kabisa ili kusaka vyeo. Huu mtindo umekolea zaidi enzi za Magufuli.
 
Ni kweli iliyoje? Mwafrika anajifikiria yeye tu! Na hasa mtanzania. Kama siku umezuka mtindo wa kujipendekeza na kuabudu viongozi wa nchi kwa mambo ya kijinga kabisa ili kusaka vyeo. Huu mtindo umekolea zaidi enzi za Magufuli.
Hapa ni mfano halisi hapa rungu akiabudiwa Ili utumbuzi usimpate,waziri hapo anaangalia pesa

 
..hivi suala la ununuzi wa ndege ya raisi kwanini analaumiwa mramba peke yake?

..kwanini rais mkapa, na waziri wa uchukuzi[ anayehusika na ndege] wa wakati huo, hawalaumiwi?
Hivi ilikuwa ndege au ni ile rada?
 
Naona umesahau kuwa aliwahi kuwa Mfungwa Bandia wakati wa Kikwete. Pia aliteuliwa kuwa msimamizi wa usafi hosipitali ya Sinza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…